Kibo255
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 4,408
- 3,938
Naona wenye chama wanataka kukitoa chama mikononi kwa watoto wasiokijua chama yaani akina pole pole wanaozani mwenyekiti ndio kila kitu kwenye chama kumbe kuna wazee nao wanataka kusikilizwa kwenye maamuzi ya kichama kuna misingi ya chama lazima ifuatwe