Benki zaanza kukusanya VAT ya tangu 1st, July toka kwa wateja wao

Uncle Jei Jei

JF-Expert Member
Jan 7, 2011
1,684
2,157
Taarifa hizi zimezagaa sana sehemu mbali mbali mwezi huu hasa baada ya watu wengi kukuta upungufu katika miamala yao.

Taarifa zilizopo ni kwamba karibu Benki zote zimekamilisha kuset mashine zao kwa ajili ya kutoza kodi hiyo kutoka kwa wateja wao na wanakusanya kuanzia tar 01.07.2016.

Ni muda muafaka sasa TRA, BOT na Waziri husika waje watueleze tena kama maelezo yao ya mwanzo yalikuwa kutulaghai au kinachofanyika sasa ni kitu gani.

NB. KWA USHAHIDI ZAIDI TEMBELEA TAWI LILOKARIBU YAKO AU CHUKUA BANKI STATEMENT
 
Leo kuna rafiki yangu kahamisha laki 1 kutoka Tigo Pesa kwenda Sim Banking kalambwa 3000 hana hamu
 
Naomba taarifa rasmi kwa anayefahamu! Nilikuwa na mishe zangu ambazo zilitaka kunifikisha bandarini na TRA! Kabla sijaenda huko, kuna mdau akaniambia kodi ya uagizaji magari imepanda... kwamba, kuna kodi mpya imekuwa introduced: Kodi ya ujenzi wa reli! Kuna mwenye taarifa rasmi katika hili? Manake baada ya kusikia tu, nikaishiwa nguvu na hapo hapo nikaanza kuvuta picha ya Horohoro kabla sijafikisha ujumbe kwa mhusika!!
 
Taarifa hizi zimezagaa sana sehemu mbali mbali mwezi huu hasa baada ya watu wengi kukuta upungufu katika miamala yao.

Taarifa zilizopo ni kwamba karibu Benki zote zimekamilisha kuset mashine zao kwa ajili ya kutoza kodi hiyo kutoka kwa wateja wao na wanakusanya kuanzia tar 01.07.2016.

Ni muda muafaka sasa TRA, BOT na Waziri husika waje watueleze tena kama maelezo yao ya mwanzo yalikuwa kutulaghai au kinachofanyika sasa ni kitu gani.

NB. KWA USHAHIDI ZAIDI TEMBELEA TAWI LILOKARIBU YAKO AU CHUKUA BANKI STATEMENT
Hizi bank nyenginezo ukitaka bank statement unatozwa 10,000/- sasa jumlisha na 18%
 
Kwa hili serikali wameumiza sana wananchi na kuwadanganya..!!

Iweje serikali ilitoa tamko, mara kadhaa, VAT watakatwa watoa huduma na si mwananchi... ila imegeuka, sasa mwananchi ndio anabebeshwa mzigo...na umezidi maradufu ya ile 18% + 10%...!!

Kwa hili serikali imetudanganya... na siisupoti serikali yangu ya CCM.. hapa ni NOOOOOOO.... na hii itakuwa na impact kubwa ktk uchaguzi..
 
Watuonee huruma mishahara yenyewe kalaga bao jamani tena makato ya PAYE + KODI tena watuekee na hiyo VAT Bank
Basi mashirika na kampuni tunaomba mshahara tupewr mkononi kabisaaa

Let say mtu take hom 350,000 kuna bank charges, kuna withdrawal charges, tena na ile ATM fee sijui (unakatwa kwa mwaka mara 1 shs 20000) ndio zikutane na hiyo VAT tena
Hapo una familia kodi ya nyumba bills ( maji na umeme) chakula
Plz wawe na utu jamani
 
Taarifa hizi zimezagaa sana sehemu mbali mbali mwezi huu hasa baada ya watu wengi kukuta upungufu katika miamala yao.

Taarifa zilizopo ni kwamba karibu Benki zote zimekamilisha kuset mashine zao kwa ajili ya kutoza kodi hiyo kutoka kwa wateja wao na wanakusanya kuanzia tar 01.07.2016.

Ni muda muafaka sasa TRA, BOT na Waziri husika waje watueleze tena kama maelezo yao ya mwanzo yalikuwa kutulaghai au kinachofanyika sasa ni kitu gani.

NB. KWA USHAHIDI ZAIDI TEMBELEA TAWI LILOKARIBU YAKO AU CHUKUA BANKI STATEMENT
Wala huna haja ya kuchukua benki statement, hapo hapo benki imebandikwa notice kutoka TRA ikiwaongoza/kuwaambia BANKERS wakusanye 18% kutoka kwenye miamala. Na wamesema wazi iongezwe 18% na sio itoke kwenye gharama wqalizoweka awali. Wametoa mfano: 1000*18%=1180 ndio benki inatakiwa itutoze.

Kwa kifupi TRA imekubali ukweli na bila kutuambia.
 
Kuna jamaa mmoja ni mwanaccm kweli Jana alikuwa analiliaa khsu hili la kukatwaaa asilimia 18...nlitamani SANA kumpa nakoz kwa jnsi alivyokuwa anaelezea anavyoumiaa Wakati waking@ Kama hawa ndy walikuwa mstari wa mbele kushabikiaa ccm...

Ova
 
Wala huna haja ya kuchukua benki statement, hapo hapo benki imebandikwa notice kutoka TRA ikiwaongoza/kuwaambia BANKERS wakusanye 18% kutoka kwenye miamala. Na wamesema wazi iongezwe 18% na sio itoke kwenye gharama wqalizoweka awali. Wametoa mfano: 1000*18%=1180 ndio benki inatakiwa itutoze.

Kwa kifupi TRA imekubali ukweli na bila kutuambia.
Kipindi kile walipokuwa wanatoa matamko kila kukicha kwenye vyombo vya habari sio siri nilikuwa napata hasira jinsi walivyokuwa wanadanganya umma hazarani hasa baada ya kupitia definition tu ya VAT. Na watanzania wengi eti wakaamini.
 
Watuonee huruma mishahara yenyewe kalaga bao jamani tena makato ya PAYE + KODI tena watuekee na hiyo VAT Bank
Basi mashirika na kampuni tunaomba mshahara tupewr mkononi kabisaaa

Let say mtu take hom 350,000 kuna bank charges, kuna withdrawal charges, tena na ile ATM fee sijui (unakatwa kwa mwaka mara 1 shs 20000) ndio zikutane na hiyo VAT tena
Hapo una familia kodi ya nyumba bills ( maji na umeme) chakula
Plz wawe na utu jamani
sio kwa awamu hii, kura ulitupa mwenyewee
 
Back
Top Bottom