TUTASHINDA TENA
Senior Member
- Aug 12, 2014
- 141
- 77
Uchaguzi wa Bavicha ndio joto linaanza kupanda.Ni jambo la hatari sana kuwa na mtu kama Ben Saanane kwenye nafasi ya juu ya BAVICHA.Tumeamua kuitendea haki BAVICHA na sasa kanuni za uchaguzi ndizo zitakazozingatiwa tu.Kiongozi ambaye kazi yake ni kufikiria namna ya kulipiza visasi hafai hata kidogo kuwa kiongozi wa juu.
Maandiko yake na misimamo yake siku zote hataki hata kutambua mchango wa uongozi uliopo na hii ni kutokana na roho na misimamo ya visasi aliyonayo.Sasa kama atachukua fomu moja kwa moja itaenda kwenye pipa la takataka.Mtu huyu mwenye rekodi ya usaliti na mwanamkakati wa Pm-7 alizaliwa 13/12/1983 kwa hiyo moja kwa moja hana vigezo vya uongozi.kanuni tumeweka awe amezaliwa 1984 na kuendelea sasa kelele ni za nini.
Ninashangaa sana vibaraka wake huku wanamsujudia na kumshabikia tutaona sasa muda wa kuchukua na kurudisha fomu. Kazi yake aendelee kulipwa kwa ajili ya kukesha kwenye mitandao tu. Post ya Dady Igogo FB jana ililenga kwenye mfupa na tunampongeza na wengine kama hao.
Maandiko yake na misimamo yake siku zote hataki hata kutambua mchango wa uongozi uliopo na hii ni kutokana na roho na misimamo ya visasi aliyonayo.Sasa kama atachukua fomu moja kwa moja itaenda kwenye pipa la takataka.Mtu huyu mwenye rekodi ya usaliti na mwanamkakati wa Pm-7 alizaliwa 13/12/1983 kwa hiyo moja kwa moja hana vigezo vya uongozi.kanuni tumeweka awe amezaliwa 1984 na kuendelea sasa kelele ni za nini.
Ninashangaa sana vibaraka wake huku wanamsujudia na kumshabikia tutaona sasa muda wa kuchukua na kurudisha fomu. Kazi yake aendelee kulipwa kwa ajili ya kukesha kwenye mitandao tu. Post ya Dady Igogo FB jana ililenga kwenye mfupa na tunampongeza na wengine kama hao.