Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,896
Nasubiri apigwe ban na wenye mavazi yao! Te te te te, Benny!
Hili ni vazi la heshima sana, hakuna ambae anaweza kuva na lisimpendezi.
Hili ni vazi si la watu fulani tu, ni vazi la ye yote anayelipenda. Kihistoria hili ni vazi la utamaduni wa watu wa mashariki ya kazi ambalo limekuja kuwa kama vazi rasimi la dini za Kiyahudi, kikristo na Kiislamu.
Ukiona wachungaji huko mashariki ya kati hata wasio na dini huvaa vali hili hata wawapo machungani kuangalia kondoo zao.
May be you are right! Nilitaka kusikia Ally Kombo atasemaje! Mkuu vazi hili linapendeza sana; je naruhusiwa kutinga nalo kwa church?
Kama Mheshimiwa Speaker wa bunge la Muungano wa Tanzania alivyotinga Ikulu ya Zanzibar na hijabu, vazi lina mvuto wa aina yake na kumbadili kabisa mwonekano wake.
Big Ben, kanzu imekaa mahala pake...
Big Ben, kanzu imekaa mahala pake...
Aah wap! Alikuwa kama mchawi wa MombasaUmenifurahisha sana Mwali.
Wakumbuka Speaker Makinda alivyofalia Hijabu alipoenda kumpa pole Rais wa Zanzibar hivi karibuni kufuatia ajali ya meli, alibadilika na kuonekana kama si Makinda tuliyemzoea bali kijana mbichi tu.
Acha kwikwi wewe...Hamna kitu hapo bora angevaa kama alivyovaa mkuu wa mkoa.
Kama Mheshimiwa Speaker wa bunge la Muungano wa Tanzania alivyotinga Ikulu ya Zanzibar na hijabu, vazi lina mvuto wa aina yake na kumbadili kabisa mwonekano wake.
Hili ni vazi la heshima sana, hakuna ambae anaweza kuva na lisimpendezi.
Ni kweli linawapendeza na inaonekana bila shaka kuwa ni wazee wa ubwabwa wa kweli.