Jamani hapo mnakosea, hata kama ni karne ya 21, ubora wa turntable bado hauna mpinzani! soud inayotoka kwenye cd huwezi kufanananisha na sound inayotoka kwenye LP. Ukitaka kujua hilo waulize wenye taaluma na mambo ya sound, kama madj wa ukweli, sound engineers, n.k. Jiulize kwanini kwenye club za mbele au shows mbalimbali turntables ndio zinahusika zaidi!
Mkubwa inategemea unataka ya companya gani, sonny, sumsung au LG? na yenye ukubwa gani na speed ya kiasi gani? na je unaulizia bei ya dar au kwa wenzetu wakaribu wa Dubai?
Mkubwa inategemea unataka ya companya gani, sonny, sumsung au LG? na yenye ukubwa gani na speed ya kiasi gani? na je unaulizia bei ya dar au kwa wenzetu wakaribu wa Dubai?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.