Wakuu,kwa wale wa Dar,petrol imefika zaidi ya Sh 2,000 kwa lita.Nadhani mkoani huenda ikawa juu zaidi.Kwenye taarifa ya habari ITV petrol Kenya ni KSh 100 kwa lita,ukibadilisha kwa TSh17.9/KSh1 utagundua kua kenya mafuta yako chini zaidi.Mi najiuliza Tanzania kila kitu tuko nyuma?Hata kuwathibiti walanguzi tunashindwa?