Anfaal
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 1,154
- 113
Kufuati hali tete ya uchumi Ulaya na Marekani, bei ya mafuta leo imeshuka kwa karibu ya asilimia 10 katika soko la dunia na huenda ikashuka zaidi hivi karibuni. Kushuka huku kutakuwa na faida tu kama hali ile itaonekana kwenye pump zetu nyumbani na pia hali ya fedha yetu ikaimarika.
Matarajio ya baadae ni kwamba; Kwa kuwa Marekani sasa hivi wanafanya quantitative easing yaani wanaongeza pesa kwenye mzunguko ili angalau uchumi usonge mbele, program hiyo inatarajiwa kuisha mwezi June kwahiyo huenda demand ya mafuta ikapungua na hivyo bei kuporomoka.
Lakini angalizo kwa upande mwingine, licha ya bei kupungua pesa ya Marekani nchini kwetu hutumika ndio kama measure ya fedha yetu kwenda nyingine. Kwahiyo kama sera za fedha nchini kwetu zitakuwa zinafuatilia hali hii, ni lazima ifike wakati intervention itumike. Uchumi wetu si ule wa kuendeshwa ni demand na supply maana kuna factor nyingi zaidi ya hizo. Labda mfano mmoja; Baada ya kugundulika wizi wa fedha za EPA, tulitarajia mtikisiko mkubwa saana hasa kwa Bank ya CRDB ambayo ilikuwa implicated, lakini hilo halikuonekana. Kwahiyo, ni vyema taasisi husika ikautazama upya uchumi wa nchi yetu. Lakini wakati huo tufikirie, je hatuna njia zaidi za kupunguza mafuta kwa kufikiria vyanzo vipya vya energy? je hatuwezi kurekebisha barabara zetu ili huu uchumi unaosua uweze kuimarika?
Matarajio ya baadae ni kwamba; Kwa kuwa Marekani sasa hivi wanafanya quantitative easing yaani wanaongeza pesa kwenye mzunguko ili angalau uchumi usonge mbele, program hiyo inatarajiwa kuisha mwezi June kwahiyo huenda demand ya mafuta ikapungua na hivyo bei kuporomoka.
Lakini angalizo kwa upande mwingine, licha ya bei kupungua pesa ya Marekani nchini kwetu hutumika ndio kama measure ya fedha yetu kwenda nyingine. Kwahiyo kama sera za fedha nchini kwetu zitakuwa zinafuatilia hali hii, ni lazima ifike wakati intervention itumike. Uchumi wetu si ule wa kuendeshwa ni demand na supply maana kuna factor nyingi zaidi ya hizo. Labda mfano mmoja; Baada ya kugundulika wizi wa fedha za EPA, tulitarajia mtikisiko mkubwa saana hasa kwa Bank ya CRDB ambayo ilikuwa implicated, lakini hilo halikuonekana. Kwahiyo, ni vyema taasisi husika ikautazama upya uchumi wa nchi yetu. Lakini wakati huo tufikirie, je hatuna njia zaidi za kupunguza mafuta kwa kufikiria vyanzo vipya vya energy? je hatuwezi kurekebisha barabara zetu ili huu uchumi unaosua uweze kuimarika?