Bei mpya za bima za magari hizi hapa

GAMBALESI

Member
Mar 12, 2013
57
11
Haya kwa wenye vyombo vinavyoitwa vya moto a.k.a magari . Angalieni Maumivu mapya kuanzia leo Tarehe Moja July 2013
 

Attachments

  • FINAL REVISED MOTOR RATES- by ATI-TIBA Task Force-22-02-13.xlsx
    15.8 KB · Views: 1,349
Kwa taarifa zilizonifikia ni kwamba
rate mpya zimesitishwa kwa muda
usiojulikana. Zaidi baadaye!
 
Kwa taarifa zilizonifikia ni kwamba
rate mpya zimesitishwa kwa muda
usiojulikana. Zaidi baadaye!

Charminglady..naomba unipe huo waraka wakusitisha mimi huku nimeshalambwa sasa nilitaka nilipie na lingine sasa baada ya kupitia hapa basi naomba unitumie huo waraka wa kusitisha muda huu..
Asante kwa msaada
 
Charminglady..naomba unipe huo waraka wakusitisha mimi huku nimeshalambwa sasa nilitaka nilipie na lingine sasa baada ya kupitia hapa basi naomba unitumie huo waraka wa kusitisha muda huu..
Asante kwa msaada

Nikumbushe kesho!
 
haya mambo ya kuchelewa kukata bima wakati imeisha,kizazaa ndio hichi,bajeti yangu ya mwezi imepanda duh!:A S 13:
 
Back
Top Bottom