Bei elekezi ya sukari imeota mbawa?

Dotto C. Rangimoto

JF-Expert Member
Nov 22, 2012
1,985
1,282
1466354023218.jpg


Bei elekezi ya sukari tsh 1800/= lakini mitaani watu wanunua sukari hadi tsh 4000/=

Haya ndio madhara ya bei elekezi kutolewa na mtu ambaye sukari anayotumia kila siku katika familia yake ananunuliwa na serikali kwa fedha za umma.

Bunge sasa lazima liwe upande wa wananchi katika kipindi hichi ambacho serikali haieleweki. Kipindi ambacho serikali inashindwa kuratibu bei ya sukari inavyo takikana.

Dotto Rangimoto Chamchua.
call/whats 0622845394 Morogoro
 
kama kuna maala serikali ili kosea ni kuku bali kuyumbishwa na wafanya biashara.

Kwa kusalim amri ya kufuta bei elekezi, serikali ni lazima ingefia maneno yake kuliko kukubali kuwaachia wafanyabiashara wapige vigelegele vya kuitunishia serikali misuli na serikali ikalegeza msimamo wake.

Hapa serikali kweli ilikosea na hawa wafanyabiashara watakuwa wameona tayari udhaifu wa serikali.

Wakati mwingine ni kheri serikali ikawa na msimamo thabiti kwenye kauli au maamuzi yake.

Serikali ingetafuta hata njia ya kuyarudisha maduka ya ushirika. Kila mkoa ili kuwafikia wananchi kwa haraka hii ingepelekea wafanya biashara kuufyata kabisa na taifa lingepona.
 
View attachment 358094

Bei elekezi ya sukari tsh 1800/= lakini mitaani watu wanunua sukari hadi tsh 4000/=

Haya ndio madhara ya bei elekezi kutolewa na mtu ambaye sukari anayotumia kila siku katika familia yake ananunuliwa na serikali kwa fedha za umma.

Bunge sasa lazima liwe upande wa wananchi katika kipindi hichi ambacho serikali haieleweki. Kipindi ambacho serikali inashindwa kuratibu bei ya sukari inavyo takikana.

Dotto Rangimoto Chamchua.
call/whats 0622845394 Morogoro


Bunge la awamu hii limekuwa la watu wanao jipenda wenyewe na kutusahau tulio wachagua. Ee Mungu ibariki Tanzania
 
kama kuna maala serikali ili kosea ni kuku bali kuyumbishwa na wafanya biashara.

Kwa kusalim amri ya kufuta bei elekezi, serikali ni lazima ingefia maneno yake kuliko kukubali kuwaachia wafanyabiashara wapige vigelegele vya kuitunishia serikali misuli na serikali ikalegeza msimamo wake.

Hapa serikali kweli ilikosea na hawa wafanyabiashara watakuwa wameona tayari udhaifu wa serikali.

Wakati mwingine ni kheri serikali ikawa na msimamo thabiti kwenye kauli au maamuzi yake.

Serikali ingetafuta hata njia ya kuyarudisha maduka ya ushirika. Kila mkoa ili kuwafikia wananchi kwa haraka hii ingepelekea wafanya biashara kuufyata kabisa na taifa lingepona.
Unaota ndoto za mchana wewe.
Mimi ninunue mzigo kwa gharama ya sh.100 alafu wewe unilazimishe niuze kwa sh.90?
Hivi mna akili nyie watu?
 
Prez n'a serikali yake yote wanafanya mambo Yao kwa kukurupuka tu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom