Bed wetting kwenye ndoa!!

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,148
Usione watu wanaishi kwa furaha wako ndani ya yesu wanakula utamu wa yesu ...aijalishi unashida gani ukiwa unakula utamu wa yesu wala akuna kinachoshindikana,,ndugu mpendwampenzi nimeona mungu akitenda sana miujiza kwa wale wenye matatizo ya ved wetting aijalishi mwanamke ama mwanamume...kuna roho zinatokea kukufanya uwe hivi na hili hufurahia kama mkiwa wanandoa na mwenzakommoja kuamua kukimbia...sasa basi ukiacha hilo pepo hilihushikilia tumbola uzazi na mwanzo 1:24 naambiwa wakazaliane wakajaze nchi sasa uoni hii sio mapenzi ya mungu

usiku wa leo naomba kamauna matatizo haya ingia ndan na mwenzako omba
1
toba mungu akusamehe kwa maovu yote uliyofanya aijalishi uchafu gani na kwakuwa ukona mwenzio ngumu kuyataja nyie mwambien mungu awasamehe

2.ombeni rehema ya mungu zab 51 ama nehemia1 mstari wa 4 mpaka 25
3.mwambie mungu aonyeshe makusudi ya ko namwenzio kuwa mmoja na si kwa wazazi wenu....
4jitahd uache uovu na kma linakutokeahili aujaoa fwata hapo juu soma kwamakini mwombe mungu miujiza

5 omba kwa ajili ya uzao huwa inapiga sehemu za uzazi sana sana ...nakueleza haya kumbuka farao aliota ndotoya miaka 7 ya njaa baada yha miaka 14 ikadhirika so wewe ukikalia matatizo yako sasa siku unasubiri uoe ama uolewe upone we utashambuliwa mbaya na kama uko kwenye ndoa yenuyawe kimoja pigaen sala akuna lisilowezekana kwa mungu
wanaosema nakkuwacheka kukosa watot watwaletea nepi mwezi kama huu mwakani in jesus name print na uifanyie kazi nikumbuke kwenye uzao wako mungu azidi kuongeza didy com babies
 
Pddy I am curious... na samahani naongea OFF TOPIC...

Hua unakua na threads nyiiingi saaana ambazo unatoa na za maaana...
Interest yangu ni haya....

  1. Kwanini una post mo' than four kwa wakati mmoja na ni ndefu mno.... naona hututendei haki maana personaly hua nazipenda but nikosoma mbili tena bado nyingine labda tatu inakua kazi kweli kusoma na zingine....
  2. Nyiingi hua unatoa na inahitaji mjadala kwamba members twaweza comment alafu ukatudadafulia zaidi ili tueliewe kwa vizuri.... Si bora ungekua walau mmoja kwa siku ili tuwe bega kwa bega...
  3. Na labda kuna speacial reasons zanakufanya lazima upost zoote kwa mpigo...
Natanguliza shukrani... na naomba saaana unijibu maana thread zako nyiiingi hua napenda but nakua dissapointed kua haiendelezwi... hasa nawee.

Pamoja Saaana....
ADI
 
Pddy I am curious... na samahani naongea OFF TOPIC...<br />
<br />
Hua unakua na threads nyiiingi saaana ambazo unatoa na za maaana...<br />
Interest yangu ni haya....<br />
<ol class="decimal"><li>Kwanini una post mo' than four kwa wakati mmoja na ni ndefu mno.... naona hututendei haki maana personaly hua nazipenda but nikosoma mbili tena bado nyingine labda tatu inakua kazi kweli kusoma na zingine....</li><li>Nyiingi hua unatoa na inahitaji mjadala kwamba members twaweza comment alafu ukatudadafulia zaidi ili tueliewe kwa vizuri.... Si bora ungekua walau mmoja kwa siku ili tuwe bega kwa bega...</li><li>Na labda kuna speacial reasons zanakufanya lazima upost zoote kwa mpigo...</li></ol>Natanguliza shukrani... na naomba saaana unijibu maana thread zako nyiiingi hua napenda but nakua dissapointed kua haiendelezwi... hasa nawee.<br />
<br />
Pamoja Saaana....<br />
ADI
<br />
<br />
Asante dada!
 
Ashadii umenena hata mie nilishawahi kumwambia ila naona ni style yake na yeye hasa anapoona kuna thread zilezile anatumwagia zake,kuna siku zilikuwa kama kumi hivi na zote karibu ni nzuri ila unazisomaje sasa maana huwa ndefu sana,othrwise,respect kwa thread hii ya leo,Mungu aakubariki
 
amen ....... ushauri wako utawasaidia wengi - anzisha basi counseling centre jamani??? au andika kitabu???? najua unayo mengi ya kuelimisha.

blessings to you.
 
Usione watu wanaishi kwa furaha wako ndani ya yesu wanakula utamu wa yesu ...aijalishi unashida gani ukiwa unakula utamu wa yesu wala akuna kinachoshindikana,,ndugu mpendwampenzi nimeona mungu akitenda sana miujiza kwa wale wenye matatizo ya ved wetting aijalishi mwanamke ama mwanamume...kuna roho zinatokea kukufanya uwe hivi na hili hufurahia kama mkiwa wanandoa na mwenzakommoja kuamua kukimbia...sasa basi ukiacha hilo pepo hilihushikilia tumbola uzazi na mwanzo 1:24 naambiwa wakazaliane wakajaze nchi sasa uoni hii sio mapenzi ya mungu

usiku wa leo naomba kamauna matatizo haya ingia ndan na mwenzako omba
1
toba mungu akusamehe kwa maovu yote uliyofanya aijalishi uchafu gani na kwakuwa ukona mwenzio ngumu kuyataja nyie mwambien mungu awasamehe

2.ombeni rehema ya mungu zab 51 ama nehemia1 mstari wa 4 mpaka 25
3.mwambie mungu aonyeshe makusudi ya ko namwenzio kuwa mmoja na si kwa wazazi wenu....
4jitahd uache uovu na kma linakutokeahili aujaoa fwata hapo juu soma kwamakini mwombe mungu miujiza

5 omba kwa ajili ya uzao huwa inapiga sehemu za uzazi sana sana ...nakueleza haya kumbuka farao aliota ndotoya miaka 7 ya njaa baada yha miaka 14 ikadhirika so wewe ukikalia matatizo yako sasa siku unasubiri uoe ama uolewe upone we utashambuliwa mbaya na kama uko kwenye ndoa yenuyawe kimoja pigaen sala akuna lisilowezekana kwa mungu
wanaosema nakkuwacheka kukosa watot watwaletea nepi mwezi kama huu mwakani in jesus name print na uifanyie kazi nikumbuke kwenye uzao wako mungu azidi kuongeza didy com babies
asante kwa thread lakini unataka kumaanisha bed wetting inasababishwa na pepo? na unashauri watu wapige sala ndo suluhisho la bed wetting? kuuliza hivo si maanishi mimi mpinga kristu, hapana ni ufafanuzi tu naomba
 
Back
Top Bottom