Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Usione watu wanaishi kwa furaha wako ndani ya yesu wanakula utamu wa yesu ...aijalishi unashida gani ukiwa unakula utamu wa yesu wala akuna kinachoshindikana,,ndugu mpendwampenzi nimeona mungu akitenda sana miujiza kwa wale wenye matatizo ya ved wetting aijalishi mwanamke ama mwanamume...kuna roho zinatokea kukufanya uwe hivi na hili hufurahia kama mkiwa wanandoa na mwenzakommoja kuamua kukimbia...sasa basi ukiacha hilo pepo hilihushikilia tumbola uzazi na mwanzo 1:24 naambiwa wakazaliane wakajaze nchi sasa uoni hii sio mapenzi ya mungu
usiku wa leo naomba kamauna matatizo haya ingia ndan na mwenzako omba
1
toba mungu akusamehe kwa maovu yote uliyofanya aijalishi uchafu gani na kwakuwa ukona mwenzio ngumu kuyataja nyie mwambien mungu awasamehe
2.ombeni rehema ya mungu zab 51 ama nehemia1 mstari wa 4 mpaka 25
3.mwambie mungu aonyeshe makusudi ya ko namwenzio kuwa mmoja na si kwa wazazi wenu....
4jitahd uache uovu na kma linakutokeahili aujaoa fwata hapo juu soma kwamakini mwombe mungu miujiza
5 omba kwa ajili ya uzao huwa inapiga sehemu za uzazi sana sana ...nakueleza haya kumbuka farao aliota ndotoya miaka 7 ya njaa baada yha miaka 14 ikadhirika so wewe ukikalia matatizo yako sasa siku unasubiri uoe ama uolewe upone we utashambuliwa mbaya na kama uko kwenye ndoa yenuyawe kimoja pigaen sala akuna lisilowezekana kwa mungu
wanaosema nakkuwacheka kukosa watot watwaletea nepi mwezi kama huu mwakani in jesus name print na uifanyie kazi nikumbuke kwenye uzao wako mungu azidi kuongeza didy com babies
usiku wa leo naomba kamauna matatizo haya ingia ndan na mwenzako omba
1
toba mungu akusamehe kwa maovu yote uliyofanya aijalishi uchafu gani na kwakuwa ukona mwenzio ngumu kuyataja nyie mwambien mungu awasamehe
2.ombeni rehema ya mungu zab 51 ama nehemia1 mstari wa 4 mpaka 25
3.mwambie mungu aonyeshe makusudi ya ko namwenzio kuwa mmoja na si kwa wazazi wenu....
4jitahd uache uovu na kma linakutokeahili aujaoa fwata hapo juu soma kwamakini mwombe mungu miujiza
5 omba kwa ajili ya uzao huwa inapiga sehemu za uzazi sana sana ...nakueleza haya kumbuka farao aliota ndotoya miaka 7 ya njaa baada yha miaka 14 ikadhirika so wewe ukikalia matatizo yako sasa siku unasubiri uoe ama uolewe upone we utashambuliwa mbaya na kama uko kwenye ndoa yenuyawe kimoja pigaen sala akuna lisilowezekana kwa mungu
wanaosema nakkuwacheka kukosa watot watwaletea nepi mwezi kama huu mwakani in jesus name print na uifanyie kazi nikumbuke kwenye uzao wako mungu azidi kuongeza didy com babies