MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,675
- 48,449
- Thread starter
- #21
Vipi yule kiongozi mkubwa wa alshabab kule somalia anaitwa IMANi? Haya bas mkatae kuwa sio mkenya tuone
Sent from my TECNO BC2c using JamiiForums mobile app
Nilitaja awali Kenya kuna mkoa mzima uliojaa Wakenya wenye asili ya Kisomali, hivyo sio vigumu kwa mtu kujiita Mkenya na kwenda kuwa shababi, ila nyie Mpare anaacha migomba huko Upareni kuja kulipua mabomu Garissa, mwingine ndiye huyo kiherehere cha mihemko ya kidini kimemtuma akawe kiongozi wa wauaji Msumbiji.