Taarifa mkuu.....anahusiana vipi na hoja mchanganyiko?
Taharifa zinasema ''kidume'' amefariki jana mchana nyumbani kwake kwa ugonjwa wa apendix
wengi watamkumbuka kwa jinsi alivyokuwa analinda usalama kwenye matamasha mengi yaliyokuwa yakifanyika dar es salaam
RIP BAZIR