mafuta nywele upara
Member
- Oct 22, 2019
- 13
- 16
arusha will become one of greatest cities EA japo watu hawaitili maanani nilitembelea mwaka jana 10+ floor buildings zinajengwa kila kona nazani sa hv papu watajenga 20 floor building kingine arusha kuna estate dealers wa viwanja kila mahali yani makazi holela yaliyopo arusha ndio hayohayo hayaongezeki maana watu wananua kwa estate dealers ivo viwanja vimepangika its a matter of time arusha itakua ya kipekee na dodoma EAKwahyo hii ndio best road kwa Mombasa ....
Hasa hata Arusha anakidude jam hiki from Tengeru to Sakina tena chaukweli tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app