Basi linakodishwa. Socra group

Mayolela

JF-Expert Member
Sep 21, 2009
384
6
Basi aina ya Isuzu uwezo wa kubeba abiria 40,bila matatizo.lipo sokono kwa ajili ya kukodishwa kwa Ofisi,shule , sherehe kama harusi, nk au taasisi yoyote inayotambulika kwa hapahapa Dar es salaam (city limit) .
Bei ni TSH 150,000= kwa siku yaani mpaka saa 3 usiku.malipo ni kwa mwezi mmoja moja kwa moja kwenye akaunti ya kampuni
Dereva yupo kwa ajili ya kazi hiyo,kwa sasa lipo barabarani katika hali nziri kabisa.
mwenye nia ,tafadhali tuwasiliane.
 
Back
Top Bottom