Hakuna waliokufa?Taarifa nilizozipata hivi punde kuna ajali ya basi la kampuni ya shabaha limepata ajali wilayani same mkoani kilimanjaro na inasadikiwa watu 29 wamejeruhiwa
Ulikurupuka kuwahi kubandika post kabla hujajiandaa?Niko kwenye mchakato
Ulikurupuka kuwahi kubandika post kabla hujajiandaa?