Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,069
- 8,327
Mwenzio kauliza kwa kiswahili wee umejibu kizungu sasa jina la basi ni lipi hapo?
Duuuh!!
Mwenzio kauliza kwa kiswahili wee umejibu kizungu sasa jina la basi ni lipi hapo?
Zuberi mkuu.Tena ukipata Zuberi ya kichina mbona raha?!!
Najmunisa
usisahau mwamvuli. . mwanza kuna mvua
Mwanza ipi hiyo? Nipo mwanza jua linawaka haswaa.
city boy, kisbo safaris au kidia one
Habari zenu wadau...
Nina safari ya Mwanza kikazi na ndio mara yangu ya kwanza kufika kwenye mji huo...
Ni basi gani ambalo lina huduma nzuri linalofanya safari zake Kati ya Dar na Mwanza..
Shukran za dhati kwa watakaonipa majibu ya swali langu
Panda Jordan ila uwe na pesa ya kulala guest house njiani.
hahahahaha.mbavu zangu tafadhariNenda ubungo yapo mengi tuu, utachagua mwenyewe hukohuko kuliko kutujazia thread za kichovu kama hizi
Panda Princess Muro au Princess Shabaha wako vizuri sana kwa huduma zao ukikoswa kabisa chukua hata Isamilo. Safari njema mkuu