Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,876
- 18,882
Wewe basi ni mzembe, hakuna aliyekunyima kuuza mzigo wako kwa bei nzuriSure ndugu mimi mkulima sikuwai huza soko la nje silijui na mzigo mkubwa nilishautembeza kitambo kwa bei ya kawaida nashaa asaivi nasingiziwa nauza mzigo nje kwa bei iliyotukuka wakati hapo ni dhaili wafanya biashara walilangua sasa wanauza kwa bei hiyo hapo watu wanajizima data ety wanamfuta jasho mkulima wakati hapo hata mtoto wa miaka miwili adanganywi wanaofutwa jasho asaivi ni wafanya biashara wakulima wanauziaga mzao shamba tena kwa kipind kile ni mengi uwez pata bei nzuri