BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 2,712
- 6,517
Nilimsikia Bashe anasema mazao ya wakulima sio mali ya umma ni mali yao binafisi na faster wajinga wakaunga Mkono hoja.
Bashe hajui kwamba swala la kulisha raia ni jukumu la Serikali yoyote ile Duniani? Bashe analijua hili ila vilaza hatujui hili.
Swala la Chakula ni swala sensitive kwa Serikali zote Duniani isipo kuwa hii ya Tanzania ambayo inajua fika ina raia wa aina gani. Katila vitu ambavyo Serikali nyingi Duniani ziko makini nalo ni swala la Chakula hasa kile chakula kikuu ambacho kina liwa na mamilion ya Raia, kuna baadhi ya nchi huwa ngano ndio chakula kikuu, kwa Africa sana ni mahindi na Mchele.
Serikali nyingi zinajua fika kabisa kupanda kwa bei ya chakula kunaweza pelekea misuko suko mikubwa sana ya kisiasa na sana maandamano na hata Serikali kuangushwa na ndio maana zinaogopa sana swala la bei ya vyakula kupanda
Kwa Tanzania kwa bahati nzuri Raia hawajawahi jitambua kwa hilo ni neema kwa wakina Bashe, na Serikali inajua fika kwamba hata Chakula kikifikia kuuzwa Sh 20, 000/ kilo ya Mchele bado raia wanatanunua tu na watalalamika mchana usiku watalala.
Bashe wanakwepa jukumu kuu la kuhakikisha raia wanapata chakula cha kutosha na kwa bei ya chini kabisa, hilo hutamsikia Bashe anazungumzia hata siku moja.
KUHUSU WAKULIMA
Ukienda mfano pale Mang'ota Karatu wanalima sana vitunguu lalini wale wakulima hakuna hata mmoja anajua Mpaka wa Namanga unafananaje, na Vitunguu vinauzwa saba Kenya, Bashe aseme ni mkulima gani ana export mahindi mkulima sio wafanya Biashara/Madalali.
Bashe ashukuru kwamba Tanzania ina raia walio lala sana.
Wakenya hadi wameagiziwa Meli ya mahindi na ni kwa ajili ya binadamu na mifugo, Kenya hata Pumba ikianza kuadimika Serikali huagiza wafanya biashara walete mahindi kwa kutolipa kodi.
Wakenya Chakula kikipanda sana bei huwa Nairobi pape hapakaliki na Serikali inaogopa sana hilo wakati wowote huwa raia wanaweza lianzisha.
Bongo huku tuendelee kulala na tuendelee kumuona Bashe ni Geneous.
Bashe hajui kwamba swala la kulisha raia ni jukumu la Serikali yoyote ile Duniani? Bashe analijua hili ila vilaza hatujui hili.
Swala la Chakula ni swala sensitive kwa Serikali zote Duniani isipo kuwa hii ya Tanzania ambayo inajua fika ina raia wa aina gani. Katila vitu ambavyo Serikali nyingi Duniani ziko makini nalo ni swala la Chakula hasa kile chakula kikuu ambacho kina liwa na mamilion ya Raia, kuna baadhi ya nchi huwa ngano ndio chakula kikuu, kwa Africa sana ni mahindi na Mchele.
Serikali nyingi zinajua fika kabisa kupanda kwa bei ya chakula kunaweza pelekea misuko suko mikubwa sana ya kisiasa na sana maandamano na hata Serikali kuangushwa na ndio maana zinaogopa sana swala la bei ya vyakula kupanda
Kwa Tanzania kwa bahati nzuri Raia hawajawahi jitambua kwa hilo ni neema kwa wakina Bashe, na Serikali inajua fika kwamba hata Chakula kikifikia kuuzwa Sh 20, 000/ kilo ya Mchele bado raia wanatanunua tu na watalalamika mchana usiku watalala.
Bashe wanakwepa jukumu kuu la kuhakikisha raia wanapata chakula cha kutosha na kwa bei ya chini kabisa, hilo hutamsikia Bashe anazungumzia hata siku moja.
KUHUSU WAKULIMA
Ukienda mfano pale Mang'ota Karatu wanalima sana vitunguu lalini wale wakulima hakuna hata mmoja anajua Mpaka wa Namanga unafananaje, na Vitunguu vinauzwa saba Kenya, Bashe aseme ni mkulima gani ana export mahindi mkulima sio wafanya Biashara/Madalali.
Bashe ashukuru kwamba Tanzania ina raia walio lala sana.
Wakenya hadi wameagiziwa Meli ya mahindi na ni kwa ajili ya binadamu na mifugo, Kenya hata Pumba ikianza kuadimika Serikali huagiza wafanya biashara walete mahindi kwa kutolipa kodi.
Wakenya Chakula kikipanda sana bei huwa Nairobi pape hapakaliki na Serikali inaogopa sana hilo wakati wowote huwa raia wanaweza lianzisha.
Bongo huku tuendelee kulala na tuendelee kumuona Bashe ni Geneous.