Barua za Spika Ndugai kuomba mchango wa 200m ilikuwa ni kwaajili ya Wabunge au Taifa stars?

Huu ufisadi umehusisha mpaka Wabunge wa Chadema, Msigwa alikuwepo Egypt kutafuna 200M za bodi ya Utalii
 
Mokonda kula sahani moja na 'huyu mtu' hadi acheue hizo pesa! kamwe usirudi nyuma tuko pamoja. akimaliza kucheua tunataka na hizo za matibabu acheue pia.
 
Of all the people,mbunge wa JMT nae ni wa kuomba msaada kwenda cairo kweli? Let us be serious guys,tuache kupiga hela kirahisirahisi
Wale washazoea mteremko
Washazoea kuishi kwa kuombaomba
Ndomana wakitoka kwenye system wanaishi maisha magumu

Ova
 
Hiyo hela bora wangepewa wahamasishaji wale wa kwenye ndondo cup ndy Waende huko cairo
Wakapige ngoma+vigodoro mwanzo mwenga....viongozi wangeenda 4 tu
Kuliko hao waliyokwenda kuuza sura

Ova
 
Mbona kimya hapo Kinondoni! Vijana wameomba muongozo, kwenye hili wasimame na nani, Spika au Makonda?
 
Hata hivyo bunge haikuwa sawa kuomba pesa kwa Bodi ya utalii wakati bunge Lima kasma yake na bodi y utalii ina kasma yake Kwani hiyo bodi ya utalii ingetoa katika bajeti gani hizo pesa. Hivi kwa utaratibu huo huyo Mkurugenzi akiwa na makandokando kwenye kukagua hesabu zake hilo bunge litapendekeza achuliwe hatua wakati wanamuomba pesa.

Ukivuta kumbukumbu zako utagundua kuwa Ndugai alishawahi kuwa mmoja wa wajumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Maliasili kabla ya kuwa Spika, hivyo vichochoro vya Kasma za kupiga huko Utalii anavijua ndani nje na ndio maana CAG akigusa maeneo ya ulaji kama huo basi inakuwa inshuuu
 
View attachment 1147579View attachment 1147581
Kutokana na kauli ya Makonda inaonekana wazi ilililenga Bunge, kuwa limechangisha fedha kwa jina la Timu ya Taifa ila hazijafika.

Binafsi nilijiuliza sana, haya mahaba ya wabunge kwa Taifa Stars yametoka wapi, yameanza lini? Kumbe kulikuwa na posho.


______________

HARUFU YA UFISADI
Kama pesa hazikufika ina maana walizitumia wabunge. Spika anasema KWA WABUNGE 65 WALIPUNGUKIWA 200M, tukigawanya ina maana kila mbunge alipungukiwa Tsh. 3,100,000. Nauli ya kwenda Cairo na kurudi haizidi Tsh. 1,700,000 kwa kichwa, swali ni kuwa walihitaji zaidi ya Tsh. 3,100,000 kwa kichwa za kazi gani?

Labda Makonda arekebishe kauli kuwa hiyo taasisi ilipeleka fedha nusu hapo tutaelewa kidogo

View attachment 1147731

Heche kaongeza utata zaidi



Kama Spika alichangisha pesa ambazo wabunge hawajapewa kwa mujibu wa heche wala Timu haijapewa kwa mujibu wa Makonda, je fedha hizi zimetumika kufanya nini, ziko wapi?
MH. SPIKA MAJIBU TAFADHALI

Makonda alidai kuwa taasisi moja ilichangisha fedha kwa jili ya gharama za timu. Barua ya Spika kwenda TTB inaeleza bayana kuwa mchango unaoombwa ni kwa ajili ya gharama za wabunge kwenda kushiriki kuhamasisha timu. Sidhani kama mambo haya yanafanana kwa namna yoyote
 
Hata hivyo bunge haikuwa sawa kuomba pesa kwa Bodi ya utalii wakati bunge Lima kasma yake na bodi y utalii ina kasma yake Kwani hiyo bodi ya utalii ingetoa katika bajeti gani hizo pesa. Hivi kwa utaratibu huo huyo Mkurugenzi akiwa na makandokando kwenye kukagua hesabu zake hilo bunge litapendekeza achuliwe hatua wakati wanamuomba pesa.

Taasisi kama TTB ina some line in their budgets kwa ajili ya CSR
 
View attachment 1147579View attachment 1147581
Kutokana na kauli ya Makonda inaonekana wazi ilililenga Bunge, kuwa limechangisha fedha kwa jina la Timu ya Taifa ila hazijafika.

Binafsi nilijiuliza sana, haya mahaba ya wabunge kwa Taifa Stars yametoka wapi, yameanza lini? Kumbe kulikuwa na posho.


______________

HARUFU YA UFISADI
Kama pesa hazikufika ina maana walizitumia wabunge. Spika anasema KWA WABUNGE 65 WALIPUNGUKIWA 200M, tukigawanya ina maana kila mbunge alipungukiwa Tsh. 3,100,000. Nauli ya kwenda Cairo na kurudi haizidi Tsh. 1,700,000 kwa kichwa, swali ni kuwa walihitaji zaidi ya Tsh. 3,100,000 kwa kichwa za kazi gani?

Labda Makonda arekebishe kauli kuwa hiyo taasisi ilipeleka fedha nusu hapo tutaelewa kidogo

View attachment 1147731

Heche kaongeza utata zaidi



Kama Spika alichangisha pesa ambazo wabunge hawajapewa kwa mujibu wa heche wala Timu haijapewa kwa mujibu wa Makonda, je fedha hizi zimetumika kufanya nini, ziko wapi?
MH. SPIKA MAJIBU TAFADHALI
Hiyo bei yako si kweli ni Us$ 759 X 2 X 2280 = TZS 3,461,040
bado gharama za malazi ambazo nadhani (sina uhakika) ni US$ 400 per day per head
 
Haya majizi hayana aibu Mkuu, yakiona upenyo tu basi yanafanya yao.

Ukiona kuna figisu figisu jua kuna mshiko umepigwa hapo hawa jamaa mapenzi yao yaliibuka ghafra kwa Stars kumbe kuna upigaji walijiandaa aisee sawa subwoofer.
 
Efm ya majizo(rafiki yake Makonda),na swali likaulizwa kimakusudi.
Akikujibu uni tag mkuu.

Nimemsikia John Heche aki hojiwa juu ya hilo yeye anasema wabunge walienda kwa ghalama zao wenyewe. kwa maana walilipia wao wenyewe na sio mfuko wa bunge
 
Back
Top Bottom