neha mimi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 344
- 151
habari zenu jaman, naombeni kuuliza hivo ule utaratibu wa kuandika barua ya maombi ya kazi kwa mkono yan hand writing bado upo au n muhimu zote zichapishwe coz nataka niapply serikalini ila sijajua bado lakini mara nyingine naona huwa wanahimiza watu waandike kwa mkono
ni hayo tu
ni hayo tu