Communist
JF-Expert Member
- Jun 1, 2012
- 5,400
- 1,181
Kundi la virusi katika harakati za kijitanabaisha. Mtajisema wenyewe.With no offense, imani yangu na niko sahihi kabisa ni kwamba KITU KITAKACHO IMALIZA CHADEMA NI JOSEPHINE MUSHUMBUSI either
kwa michezo kama hii, au mingine atakayo iamua.
NB: Ni mtazamo tu, msinitoe meno na kucha zangu please.