Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,146
- 16,222
utaishia kumaliza sabuni tu...
Ili kunusuru hili inabidi magazeti ya shigongo yafungiwe
utaishia kumaliza sabuni tu...
utaishia kumaliza sabuni tu...
mwenzio anaandika huku machozi yakimdondoka kwa uchu wa kumpata WEMA SEPETO, sijui SEPETU aaaagh......
Kimbweka ntake radhi...
Siwezi kuwa na mwenzangu zezeta kama huyo.
Mpendwa,
Wema Sepetu,
Ukweli utokao moyoni ni kwamba nakupenda saaaaana, wewe mwenyewe,kazi zako n.k.
Lakini lengo hasa la kuandika barua hii na vile navyohisi juu yako yani ni kama vile umeniloga!Kwasababu kila ukiandikwa vibaya kwenye magazeti mm moyo wangu ndio unalipuka zaidi kwa upendo juu yako.Mfano nikisikia Wema kafumaniwa yani siku hiyo sitalala kwa malavdav juu yako.Namuomba Mola japo siku moja tu nile chakula cha mchana au jioni na wewe,kwakuwa uwezowangu wa kifedha hauwezi kukumiliki basi ntaishia tu kukumiliki kwa-bluetooth!AM CRAZY OVER U!
Wako akupendaye
Nyuli!
mpendwa upo! Nakusabahi. Mi sijambo, kitambo hatujapeana Hi!ooops all ze best
mpendwa upo! Nakusabahi. Mi sijambo, kitambo hatujapeana Hi!
Mimi binafsi Wema Sepetu nampenda sana,ila nashindwa jinsi ya kumpata japo uwezo wa kumtoa out naweza lakini kimyakimya bila watu kujua,maana sitaki kuandikwa na magazeti.Mwenye kujua jinsi ya kumpata au kuniunganisha na Wema Sepetu angalau one night naomba ani PM
Hata ukipima na majibu yawe NEGATIVE humpati.......... Tatizo ni hivyo vijisenti vyakoMpendwa,
Wema Sepetu,
Ukweli utokao moyoni ni kwamba nakupenda saaaaana, wewe mwenyewe,kazi zako n.k.
Lakini lengo hasa la kuandika barua hii na vile navyohisi juu yako yani ni kama vile umeniloga!Kwasababu kila ukiandikwa vibaya kwenye magazeti mm moyo wangu ndio unalipuka zaidi kwa upendo juu yako.Mfano nikisikia Wema kafumaniwa yani siku hiyo sitalala kwa malavdav juu yako.Namuomba Mola japo siku moja tu nile chakula cha mchana au jioni na wewe,kwakuwa uwezowangu wa kifedha hauwezi kukumiliki basi ntaishia tu kukumiliki kwa-bluetooth!AM CRAZY OVER U!
Wako akupendaye
Nyuli!