George ngarasoni
Member
- Jun 6, 2012
- 40
- 9
BARUA YA WAZI KWA SIR GOD
eeeeeh mungu nihurumie mwanafunzi wako wa kidato cha 6,
mwanzo walianza kuturefushia mdaa wakasema tumalize mwezi wa 5 tukakubali,
PILI wakaja tena eee mungu wakasema tukimaliza twende jeshi tukakubali
TATU mwenyezi mungu wakaja na kutupandishia alama za ufaulu tukasema tutafanyaje ee baba
NNE wakaja na jipya kabisa kama cyo muujiza wakutuwekea dvsn 5 munguwangu turehemu sisis maana tunavurugwa na elimu yetu,
hebu angalia wadogo zetu walishaambiwa kuna dvsn 5
wanatoka tyna wanaambiwa imefutwa wanafurugwa jaman wadogo zetu,
EEEEEEEEEEE BABA MUNGU WA MAJESHI
waziri huyu Murugo ndiyo yule aliya sema tanzania imepakana na visiwa vya pemba na zimbabwe mungu tupe mkono wako bababa ww ni mungu wa majeshi!!
eeeeeh mungu nihurumie mwanafunzi wako wa kidato cha 6,
mwanzo walianza kuturefushia mdaa wakasema tumalize mwezi wa 5 tukakubali,
PILI wakaja tena eee mungu wakasema tukimaliza twende jeshi tukakubali
TATU mwenyezi mungu wakaja na kutupandishia alama za ufaulu tukasema tutafanyaje ee baba
NNE wakaja na jipya kabisa kama cyo muujiza wakutuwekea dvsn 5 munguwangu turehemu sisis maana tunavurugwa na elimu yetu,
hebu angalia wadogo zetu walishaambiwa kuna dvsn 5
wanatoka tyna wanaambiwa imefutwa wanafurugwa jaman wadogo zetu,
EEEEEEEEEEE BABA MUNGU WA MAJESHI
waziri huyu Murugo ndiyo yule aliya sema tanzania imepakana na visiwa vya pemba na zimbabwe mungu tupe mkono wako bababa ww ni mungu wa majeshi!!