Barua ya wazi kwa Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu Tanzania

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Oct 29, 2018
539
3,507
Mhe. Rais, nakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwanza nianze kukupongeza kwa nafasi uliyonayo ambayo ni nafasi kubwa kiutawala wa mwanadamu katika Taifa letu. Pili, nikupongeze kwa jitiada zako na kiu yako yakutaka kuiona Tanzania inasonga mbele.

Baada ya salamu naomba kukujulisha mambo yafuatayo si kama kiongozi wako Bali Kama Mtanzania mwenye upeo wa kuona namna nchi inavyokwenda.

1. Kuhusu ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi; Hii Ni ofisi kubwa kiutumishi katika Taifa letu. Ni ofisi iliyokosewa kimuundo na hivyo kuifanya kutokuwa na taarifa sahahihi kuhusu taasisi zilizopo chini yake. Ni ofisi iliyoundwa kwa misingi ya kutoa huduma na kumshauri Mhe. Rais lakini haina nguvu kazi yenye diversity ya mawazo Kama inavyotakiwa. Naomba nikushauri ikikupendeza, na ikimpendeza katiklbu mkuu kiongozi mputie upya muundo wa ofisi ikiwemo upatikanaji wa rasilimali watu. Ni maoni yangu kwamba ofisi hii inapaswa kupata watu kutoka kila sekta ndani ya Utumishi wa Umma, vyombo vya ulinzi na usalama na sekta binafsi. Uwepo wa mchanganyiko wa nguvu kazi hii huku wahusika wakiwa ni watu waliobobea au wenye umairi kwenye sekta zao itakusaidia sana kupata ushauri sahihi kutoka kwa watu sahihi. Kwa Sasa mambo mengi yanafeli kwa sababu wanaounda ofisi hii ni watu walioajiriwa katika ofisi Kama kituo chao Cha Kwanza Cha kazi na wakakulia humo ndani, wakichukua sana wanachukua ndani ya ofisi ya Rais pekee.
Madhara ya mfumo huu na muundo wa Sasa Ni haya yanayotokea Sasa ambapo unafanya uteuzi wa watu usiowajua na pale unapowajua kupitia mitandao unalazimika kutengua uteuzi wao, unapitisha Jambo kwenye baraza la Mawaziri na linakwenda Bungeni Kisha unasaini sheria ikifika kwa wananchi malalamiko yanazidi nk. Hii yote ni matokeo ya kukosekana wadhibiti wa hoja za kisekta katika ofisi ya Katibu mkuu kiongozi. Ni Kama vile hoja hizi zinatoka kwenye wizara Hadi kwako bila kuchujwa na ofisi ya Katibu Mkuu kiongozi ambaye ndiye mshauri wako katika maeneo mengi.

2. Muundo na usimamizi wa vyombo vya dola ; Jukumu kubwa la vyombo vya dola nikulinda nchi, kulinda wananchi, kulinda rasilimali za nchi, kufanya ujasusi wa kiuchumi na kuibua vichocheo vya uchumi ndani au nje ikiwemo masoko pamoja na kumshauri ipasavyo Mhe. Rais aliyepo madarakani na serikali yake. Naomba kukiri kwamba kwa mwonekano wa Sasa wa mambo yanvyokwenda, nchi haina vyombo vya dola vinavyotekeleza majukumu yake na kuyasimamia bali vyombo vyetu vimekuwa vikipokea na kutekeleza majukumu ya wanasiasa ambao kwa muundo wa nchi yetu wengi wao si Wataalamu. Najaribu kuangalia Nani Mwenyekiti wa kamati za ulinzi na usalama Mikoa na wilaya, nabaini wapo akina Nick wa Pili, Joketi, Hapi nk. Hawa watu ndio wamepewa dhamana yakuwasimamia Polisi, usalama, Jeshi nk katika ngazi ya Mkoa na wilaya. Hapa Kuna tatizo la msingi kabisa na hakutakuwa na nidhamu ana Wala hoja za kiusalama hazitajadiliwa kwenye ngazi hizi kwa sababu Wana usalama serious hawana uhakika na usalama wa Taarifa zao. Kinachotokea Sasa hivi ni vyombo vya dola kujikita zaidi kwenye agenda moja tu nayo ni agenda ya kisiasa. Kwa mazingira haya ni vigumu kuwa na vyombo vinavyowaza na kutekeleza majukumu yake.
Lakini katika ngazi ya Kitaifa Hali Ni mbaya zaidi, niwapongeze jeshi la wananchi kwamba Waziri na Katibu mkuu wa Wizara hawaingilii majukumu ya jeshi Bali wanafanya specific task ambazo haziathiri mfumo wa jeshi. Ni tofauti na vyombo vingine, Waziri wa Mambo ya ndani anamkoromea IGP, CGP, CGI nk na Rais asipokuwa makini unaweza ukashangaa Waziri akamfukuza kazi Mkuu wa chombo kwa sababu tu hawaelewani au mkuu wa chombo ana nguvu na anajiamini. Tofauti na Waziri, Katibu mkuu naye ana mamlaka kubwa hivyo hivyo. Hii inakwenda mbali zaidi Hadi kwa vyombo vyetu vya Siri navyo unyenyekevu umekuwa mkubwa Sana kwa wanasiasa na hii inapelekea wakuu wa vyombo kukosa nguvu ya kuzima harakati za wanasiasa au kumshauri Mhe. Rais vyema kabla ya Hali mbaya aidha ya kiuchumi au kiusalama kutokea. Nitoe Rai kwako, wajengee confidence vyombo vya ulinzi na usalama, walinyang'anywa nguvu awamu iliyopita na hadi sasa nguvu hiyo hawana. Nilikuwa nazungumza na mtu mmoja akaniambia zipo wizara ambazo wakuu wa vyombo hawawezi kupendekeza na kuwasilisha wateule wanaotaka kufanya nao kazi kwako anayeleta mapendekezo ni katibu Mkuu wa Wizara. Nikajiuliza, Kama mkuu wa chombo Hana mamlaka yakupanga rasilimali watu ikiwemo kupendekeza majina ni ipi nguvu yake? Lakini pia Kama Katibu mkuu anaweza kupendekeza kuondolewa kwa mteule wako katika eneo flani bila kumshirikisha mkuu wa chombo ni ipi nguvu ya wakuu wa vyombo?

3. Uwepo wa wataka Urais wanaowaza kwamba wanaweza kuliko unavyofanya wewe. Nadhani unatambua kwamba baadhi ya Mawaziri na manaibu Waziri ulionao Wana malengo makubwa sana kisiaasa. Ili watimize malengo yao ni pamoja na kutotilia maanani kukusaidia badala yake wao kwa uzembe kabisa wanarelax na kukuangusha. Nikuombe mama chagua mawaziri wanaotaka kuwatumikia wananchi achana na Mawaziri wanaowaza Urais. Watu wanaposema Mwigulu na Masauni hawakufaa kukaa wizara ya fedha wanamaanisha kwa sababu wanawajua. Lakini pia hao watu wametumika na watu mbalimbali kabla ya kuwa hapo walipo, waliotumika nao ndio wanaowaona performance yao ilivyo chini. Toka umemteua Masauni Hadi leo ukiomba kujua amefanya Nini utashangaa kusikia ajafanya kitu, ukitaka kujua Kama anafanya kazi na Mwigulu kwa umoja utashangaa kusikia Hawa watu hawaelewani kimfumo toka wakiwa huko mambo ya ndani, tuliwashuhudia walivyokuwa wanatifuaana na kuwindana mmoja ashuke mwingine apande. Hawatokaa wakakufaa kwenye nafasi hizo. Ondoa wataka Urais weka wachapa kazi.

4. Mapambano dhidi ya vyama vya upinzani na vuguvugu la Katiba mpya; Mhe. Rais nikuombe chondechonde Bora uonekane mpole au usiyejua majukumu yako kuliko kuanza kupambana na upinzani. Waache wafanye siasa wewe hudumia wananchi. Acha wapige kelele wawezavyo kuhusu Katiba mpya then utaona Kama Ni agenda yakuchukua na kuifanyia kazi au muda wake Bado. Wakiongea toka asubuhi Hadi jioni kuhusu Katiba mpya na wasivunje sheria ni jukumu la viongozi wa CcM kuwaziba mdomo kwa majibizano ya hoja. Wameanza kukuingiza kwenye agenda yao ya Katiba na mwisho wa siku usipowaruhusu wapambane kwa hoja utajikuta nchi inakuwa na sintofahamu, kamatakamata za kutosha na wawekezaji watakoma kuja. Usione mwangwi wa sauti zao ni mdogo, Wana sauti kali Sana na inayosikika kote Duniani. Usiwape nafasi wakuondoe kwenye mstari na Wala huna aja ya kukutana nao chamsingi waruhusu wafanye siasa Kama Katiba inavyotaka, wewe chapa kazi. Wananchi wataamua 2015.

5. Ulinzi na usalama; Nikuombe pamoja na kwamba unakaa na vyombo mara kwa mara safari hii kaa navyo kwa agenda maalumu. Wana changamoto za vitendea kazi na ilo lipo wazi, rejea moto uliowaka Kariakoo. Upo umuhimu wakukaa na vyombo na kuziba mianya ya kiutawala ndani ya vyombo hivyo, kuwapatia vifaa, kuimarisha maslahi yao na kuwatenga na amri za wqnasiasa. Ukiwajengea confidence kila kitu kitakwenda sawia.

6. Mrundikano wa wafungwa na mahabusu pamoja na uboreshaji wa miundombinu ya Magereza. Mhe Rais Kama umewafutia kesi wahujumu uchumi na nchi ipo salama naamini unaweza kumsahuri Jaji mkuu kwamba mahakama isiwajaze watu ndani,. Ofisi ya DPP ina watendaji wazembe Sana, wamekuzwa kuarisha kesi siyo kuruhusu kesi isikilizwe. Wamekuzwa kusema asipewe dhamana kwa sababu ataarobu uchunguzi badala yakukamilisha uchunguzi. Nikuombe utamke neno kwa mahakama iwe na nguvu yakumpinga DPP pale mazingira yanaporuhusu. Tuwe na mahabusu wachache. Lakini pia ikikupendeza kwa sababu unazoona zinafaa basi ongeza wigo wa msamaha wa wafungwa. Kuhusu ukarabati wa Magereza hii naomba iwe agenda na mwelekeze mkuu wa Magereza asimamie upanuzi wa Magereza kwa kutumia wafungwa lakini pia miundombinu iwe na kiwango Cha kimataifa. Tuachane na mentality za kikoloni za kumfanya binadamu anye anapolala tukiamini tunamkomoa kumbe tunawakomoa askari wanaowalinda wafungwa na mahabusu. Tukirekebisha mahabusu zetu automatically na Askari Magereza watatambua umuhimu wakuishi maisha Bora.

7. Huduma za kijamii; Malalamiko kuhusu utoaji wa huduma za afya Ni makubwa sana, watoa huduma wanajisau Sana. Elimu nayo hivyo hivyo usimamizi na umakini umeshuka, maji yamekuwa changamoto, watoa huduma za maji wamegeuka miungu watu. Kudorora kwa huduma kunatokana na wasimamizi uliowateua kutokuwa na nia ya kukusaidia bali wanajisaidia. Nikuombe soma malalamiko kwenye mails za taasisi za umma, soma comments mfano kuhusu ubovu wa huduma za DAWASCO ambao wanakurasa yao hapa JF utagundua Kama watu wanabambikiwa bili za maji na wakaguzi wa hesabu wanabalansi mahesabu yao basi lipo tatizo. Lakini pia taasisi hizi zimekuwa zikitoa huduma kwa kusua sua kwa sababu Mawaziri,makati wakuu, wakuu wa Mikoa na wilaya wapo busy na majukumu binafsi au wamejifungia ofisini. Je uoni ni wakati Sasa kuwaomba eGa wafungue mtandao ambao watu watakuwa wanatupia malalamiko yao Kama ilivyo hapa JF? Hii itwasaidia watendaji hata wakiwa ofisini kuona namna wananchi wanavyoathirika na huduma zao na kuxhukua hatua. Nikuombe utengeneza single window ya kupokea claims publically itakusaidia kujua wapo tunakwama na wapo kuko sawa.

8. Mahusiano ya kimataifa na diplomasia; Mhe. Rais utajubaliana na mimi kwamba Balozi zetu na Wizara ya Mambo ya nje wamelala usingizi wa pono. Suala la uandikishaji wageni wanaoishi nje limekuwa na changamoto kubwa si kwa sababu watu hawataki kujiandikisha kwenye register Kama ulivyoelekeza ukiwa Burundi. Tatizo ni mfumo Duni wa hutoaji huduma unaofanywa na mabolozi wetu. Wanashindwa Nini kushirikiana na eGa wakaongeza kipengele Cha online registration kwa wakaazi wa nchi za nje au pale mtu anaposafiri akafika nchi flani Basi akiwa zake hotelini anaingia kwenye website anafanya registration akitoa taarifa zake binafsi, shuguli yake, muda anaotegemea kukaa kwenye nchi hiyo, shuguli anayofanya na fursa mbalimbali tunazoona zinafaa. Kuweka huduma ya uandikishaji kwenye mtandao itatusaidia Sana kuwajua Watanzania nje na kuwahudumia. Tuache kulala vijana walioajiriwa serikali haya ndiyo majukumu yao, we need reforms ambazo Ni positive. Hii itasaidia Sana kwenye mipango ya uchumi na pia kutusaidia kuwafahamu na kuwasaidia ndugu zetu waliopo nje. Lakini pia Jambo baya zaidi, wizara ya mambo ya nje hawana mobile number ,whatasp number amabayo Watanzania wanaweza kutumia kutoa malalamiko au hoja zao hasa pale wanapokuwa hataririni nje ya nchi. Mhe. Rais jukumu langu kwenye barua hii nikuchokoza mada na kuibua discusion yakukusaidia na kuisaidia nchi yangu kwenda mbele. Mpe task Mama Mulamula aboreshe huduma zake na pelekeni vijana kwenye mabalozi yatu wenye ujuzi, suala lakuweka masecretary ndo watoe huduma ubalozini huku wakiwa hawana uelewe wowote ondokaneni nalo, pelekeni watu kutokana na area of expertise, nakumbuka wakati flan nikiwa ulaya nilishindwa kupata pasipoti ya kielektronic kisa muhudumu wa Ubalozi ajui mahitaji na awezi kufanya kazi kukamilisha maombi na kuyatuma Tanzania ikanilazimu nirudi Tanzania. Nilipofuatilia qualifications za yule mtoa huduma nikagundua Hana sifa ila alipewa shavu na Wizara ya mambo ya nje. Badilikeni Diaspora wanatisubiri tuwaone nao Ni watu

9. Biashara na uchumi; Mama yangu nakuomba hapa niandike machache ila yanayoweza kuliponya Taifa " Dunia kwa miaka mitatu Sasa inamdororo wa uchumi, Mataifa mengi yametengeneza sera na mifumo yakuwainua wafanyabiashara wasifilisike, imewajengea mazingira wananchi wake waweze kupata baadhi ya huduma free nk Sisi Tanzania tupo tofauti, tumetengeneza bajeti yenye tozo nyingi zakuwanyonya wananchi". Naomba nikuulize kwa upole, Kama Walioendelea wanalegeza masharti ya Kodi kuvutia mzunguko wa fedha na kuwawezesha watu wasikimbie sokoni sisi Tanzania tutaamini wananchi wetu fedha wamezitoa wapi? Nakuomba kwenye eneo hili ruhusu washauri wako wa usalama,diplomasia, siasa na uchumi mkae hata siku tatu mjifundie mjadili Dunia mkuihusianisha na Tanzania naamini mtagundua Kuna kosa na mlirekebishe. Lakini pia Kama nilivyoeleza hapo juu, imarisha ofisi ya Katibu Mkuu kiongozi, tengeneza independent security organ zenye confidence na pia weka Wataalamu wa uchumia na biashara ndio wawe Mawaziri achana na wasomi wa uchumi wasio na exposure.

10. Changamoto ya Ajira. Kama nilivyoeleza hapo awali kuhusu matumizi ya tehama kuwatambua Diaspora. Hapa niwaombe Idara ya kazi waachane kabisa na jukumu walilojipa la kushugulikia vibali vya kazi vya wageni huku nikupoteza muda na rasilimali za Taifa. Mgeni Hana aja ya kwenda Labour Kisha Uhamiaji kwa kazi ambayo ingeweza kufanywa na chombo kimoja. Nilifanya utafiti wa kwanini wageni wanalalamikia mfumo wa vibali vya kazi na ukaazi Tanzania , pamoja na urasimu na Rushwa sababu kubwa iliyoonekana nikuwepo kwa ofisi ya kazi iliyotofauti na ofisi ya vibali vya ukaazi . Idara ya kazi imewekeza muda wake kusajili wageni wanaofanya kazi nchini kitu ambacho si jukumu lao la msingi, wao walipaswa kuwa watafiti na wachambuzi wa mahitaji ya ajira nchini na Kisha kuwasiliana na taasisi nyingine kuwapa maeneo yakutilia mkazo kwenye Utoaji ajra. Nikushauri Mhe. Rais kwa kuanza angalia Ni namna gani wageni watashughulikia Kama Ni Uhamiaji Basi labour wafanya clearence bila kulazimisha watu kwenda ofisini kwao na Uhamiaji watoe kibali kimoja tu, hapa Ni kwa ajira kwa wageni.
Kwa watanzainia idara ya kazi iandae kanzidata au website ambayo Watanzania watajiandikisha kuomba kazi, then Idara ya kazi ifungue dawati la kushugulikia upatikanaji wa ajira kwa waajiri kuwasilisha maombi yao ya wafanyakazi, hii itawafanya idara ya kazi iwe msaada kwa Watanzania kuliko ilivyo Sasa ambavyo wanalipwa pesa za mishaara na posho kwa ajili ya kuwataftia wageni ajira hapa nchini.
Unaenda idara ya kazi unakuta wanajua wageni wangapi wanahitaji na wanahitajika sekta gani lakini hawana sehemu wanawasiadia Watanzania kupata huduma Kama hiyo. Mhe. Rais waelekeze Hawa watu wajikite kuwahudumia Watanzania wapate ajira lakini wakusanye data nakukuambia ukubwa wa changamoto ya Ajira nchini kwa Watanzania waache kutumia Kodi zetu kuwataftia kazi wageni.
Watutaftie ajira ndani na nje. Kama taasisi ndogo ndogo zinaweza kuwatafuta wafanyakazi na kuwaunganisha na waajiri kwanini sisi tusiweze?

11. Ulinzi wa rasiliamali za nchi na ukwepaji Kodi. Mhe. Rais nikuombe uimarishe ulinzi hasa wa kimfumo mipakani, weka scaner na imarisha ukaguzi wizi Ni mkubwa. Simamia udhibiti wa mizigo na watu. Imarisha maslahi ya vyombo vyetu mipakani bila kujali udogo na ukubwa mpaka hii itasiadia Sana kudhibiti utoroshaji wa rasilimali zetu na kuingiza bidhaa na vitu visivyofaa. Ukizungumza na wafanyabiashara hasa mipakani huko utabaini hakuna udhibiti unaofanya, lakini pia upo umuhimu wa kuwekeza kwenye mifumo ya TEHAMA katika kukusanya taarifa za mizigo na abiria itakusaidia sana kujua tunavyopigwa. Wekeza kwenye ili eneo litakusaidia kwenye ulinzi wa rasilimali zetu, ishu za gari kutolewa Tanzania kimagendo likaingizwa Zambia Kisha likaja kusajiliwa Tanzania zinapaswa kufa pale utakapofunga mifumo ukaachana na mifumo inayokaa dar es salaam. Juzi nilikusikia ukisema unafungua mipaka ya kigoma, rukwa na katavi. Ni hatua nzuri ila naomba ujue hiyo mipaka watendaji wamelala na sidhani Kama mfano manyovu Kuna hata mfumo wa Kodi wa TRA acha taasisi nyingine. Unapowaza kufungua mipaka hii waza zaidi kuweka mifumo itakayokusiadi kupata taarifa ukiwa popote pale ndani au nje unapoifungua.

Kwa hoja hizi naamini Leo nimeitendea haki siku yangu, nimejiondoa kwenye kundi la wale wazee wastaafu wanaoshiba wakaanza kuikosoa serikali na Sasa nimefanya kazi yakuishauri serikali kwa kuzingatia upeo wangu. Naomba nichukue fursa hii kukuomba ujipe muda wakusoma, ila usitekeleze pale niliposhauri vibaya maana wewe Kama mkuu wa nchi una macho yanayoona mbali kuliko sisi. Mchana mwema na eid njema.

Kazi iendelee
 
Mhe. Rais, nakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwanza nianze kukupongeza kwa nafasi uliyonayo ambayo ni nafasi kubwa kiutawala wa mwanadamu katika Taifa letu. Pili, nikupongeze kwa jitiada zako na kiu yako yakutaka kuiona Tanzania inasonga mbele.

Baada ya salamu naomba kukujulisha mambo yafuatayo si kama kiongozi wako Bali Kama Mtanzania mwenye upeo wa kuona namna nchi inavyokwenda.

1. Kuhusu ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi; Hii Ni ofisi kubwa kiutumishi katika Taifa letu. Ni ofisi iliyokosewa kimuundo na hivyo kuifanya kutokuwa na taarifa sahahihi kuhusu taasisi zilizopo chini yake. Ni ofisi iliyoundwa kwa misingi ya kutoa huduma na kumshauri Mhe. Rais lakini haina nguvu kazi yenye diversity ya mawazo Kama inavyotakiwa. Naomba nikushauri ikikupendeza, na ikimpendeza katiklbu mkuu kiongozi mputie upya muundo wa ofisi ikiwemo upatikanaji wa rasilimali watu. Ni maoni yangu kwamba ofisi hii inapaswa kupata watu kutoka kila sekta ndani ya Utumishi wa Umma, vyombo vya ulinzi na usalama na sekta binafsi. Uwepo wa mchanganyiko wa nguvu kazi hii huku wahusika wakiwa ni watu waliobobea au wenye umairi kwenye sekta zao itakusaidia sana kupata ushauri sahihi kutoka kwa watu sahihi. Kwa Sasa mambo mengi yanafeli kwa sababu wanaounda ofisi hii ni watu walioajiriwa katika ofisi Kama kituo chao Cha Kwanza Cha kazi na wakakulia humo ndani, wakichukua sana wanachukua ndani ya ofisi ya Rais pekee.
Madhara ya mfumo huu na muundo wa Sasa Ni haya yanayotokea Sasa ambapo unafanya uteuzi wa watu usiowajua na pale unapowajua kupitia mitandao unalazimika kutengua uteuzi wao, unapitisha Jambo kwenye baraza la Mawaziri na linakwenda Bungeni Kisha unasaini sheria ikifika kwa wananchi malalamiko yanazidi nk. Hii yote ni matokeo ya kukosekana wadhibiti wa hoja za kisekta katika ofisi ya Katibu mkuu kiongozi. Ni Kama vile hoja hizi zinatoka kwenye wizara Hadi kwako bila kuchujwa na ofisi ya Katibu Mkuu kiongozi ambaye ndiye mshauri wako katika maeneo mengi.

2. Muundo na usimamizi wa vyombo vya dola ; Jukumu kubwa la vyombo vya dola nikulinda nchi, kulinda wananchi, kulinda rasilimali za nchi, kufanya ujasusi wa kiuchumi na kuibua vichocheo vya uchumi ndani au nje ikiwemo masoko pamoja na kumshauri ipasavyo Mhe. Rais aliyepo madarakani na serikali yake. Naomba kukiri kwamba kwa mwonekano wa Sasa wa mambo yanvyokwenda, nchi haina vyombo vya dola vinavyotekeleza majukumu yake na kuyasimamia bali vyombo vyetu vimekuwa vikipokea na kutekeleza majukumu ya wanasiasa ambao kwa muundo wa nchi yetu wengi wao si Wataalamu. Najaribu kuangalia Nani Mwenyekiti wa kamati za ulinzi na usalama Mikoa na wilaya, nabaini wapo akina Nick wa Pili, Joketi, Hapi nk. Hawa watu ndio wamepewa dhamana yakuwasimamia Polisi, usalama, Jeshi nk katika ngazi ya Mkoa na wilaya. Hapa Kuna tatizo la msingi kabisa na hakutakuwa na nidhamu ana Wala hoja za kiusalama hazitajadiliwa kwenye ngazi hizi kwa sababu Wana usalama serious hawana uhakika na usalama wa Taarifa zao. Kinachotokea Sasa hivi ni vyombo vya dola kujikita zaidi kwenye agenda moja tu nayo ni agenda ya kisiasa. Kwa mazingira haya ni vigumu kuwa na vyombo vinavyowaza na kutekeleza majukumu yake.
Lakini katika ngazi ya Kitaifa Hali Ni mbaya zaidi, niwapongeze jeshi la wananchi kwamba Waziri na Katibu mkuu wa Wizara hawaingilii majukumu ya jeshi Bali wanafanya specific task ambazo haziathiri mfumo wa jeshi. Ni tofauti na vyombo vingine, Waziri wa Mambo ya ndani anamkoromea IGP, CGP, CGI nk na Rais asipokuwa makini unaweza ukashangaa Waziri akamfukuza kazi Mkuu wa chombo kwa sababu tu hawaelewani au mkuu wa chombo ana nguvu na anajiamini. Tofauti na Waziri, Katibu mkuu naye ana mamlaka kubwa hivyo hivyo. Hii inakwenda mbali zaidi Hadi kwa vyombo vyetu vya Siri navyo unyenyekevu umekuwa mkubwa Sana kwa wanasiasa na hii inapelekea wakuu wa vyombo kukosa nguvu ya kuzima harakati za wanasiasa au kumshauri Mhe. Rais vyema kabla ya Hali mbaya aidha ya kiuchumi au kiusalama kutokea. Nitoe Rai kwako, wajengee confidence vyombo vya ulinzi na usalama, walinyang'anywa nguvu awamu iliyopita na hadi sasa nguvu hiyo hawana. Nilikuwa nazungumza na mtu mmoja akaniambia zipo wizara ambazo wakuu wa vyombo hawawezi kupendekeza na kuwasilisha wateule wanaotaka kufanya nao kazi kwako anayeleta mapendekezo ni katibu Mkuu wa Wizara. Nikajiuliza, Kama mkuu wa chombo Hana mamlaka yakupanga rasilimali watu ikiwemo kupendekeza majina ni ipi nguvu yake? Lakini pia Kama Katibu mkuu anaweza kupendekeza kuondolewa kwa mteule wako katika eneo flani bila kumshirikisha mkuu wa chombo ni ipi nguvu ya wakuu wa vyombo?

3. Uwepo wa wataka Urais wanaowaza kwamba wanaweza kuliko unavyofanya wewe. Nadhani unatambua kwamba baadhi ya Mawaziri na manaibu Waziri ulionao Wana malengo makubwa sana kisiaasa. Ili watimize malengo yao ni pamoja na kutotilia maanani kukusaidia badala yake wao kwa uzembe kabisa wanarelax na kukuangusha. Nikuombe mama chagua mawaziri wanaotaka kuwatumikia wananchi achana na Mawaziri wanaowaza Urais. Watu wanaposema Mwigulu na Masauni hawakufaa kukaa wizara ya fedha wanamaanisha kwa sababu wanawajua. Lakini pia hao watu wametumika na watu mbalimbali kabla ya kuwa hapo walipo, waliotumika nao ndio wanaowaona performance yao ilivyo chini. Toka umemteua Masauni Hadi leo ukiomba kujua amefanya Nini utashangaa kusikia ajafanya kitu, ukitaka kujua Kama anafanya kazi na Mwigulu kwa umoja utashangaa kusikia Hawa watu hawaelewani kimfumo toka wakiwa huko mambo ya ndani, tuliwashuhudia walivyokuwa wanatifuaana na kuwindana mmoja ashuke mwingine apande. Hawatokaa wakakufaa kwenye nafasi hizo. Ondoa wataka Urais weka wachapa kazi.

4. Mapambano dhidi ya vyama vya upinzani na vuguvugu la Katiba mpya; Mhe. Rais nikuombe chondechonde Bora uonekane mpole au usiyejua majukumu yako kuliko kuanza kupambana na upinzani. Waache wafanye siasa wewe hudumia wananchi. Acha wapige kelele wawezavyo kuhusu Katiba mpya then utaona Kama Ni agenda yakuchukua na kuifanyia kazi au muda wake Bado. Wakiongea toka asubuhi Hadi jioni kuhusu Katiba mpya na wasivunje sheria ni jukumu la viongozi wa CcM kuwaziba mdomo kwa majibizano ya hoja. Wameanza kukuingiza kwenye agenda yao ya Katiba na mwisho wa siku usipowaruhusu wapambane kwa hoja utajikuta nchi inakuwa na sintofahamu, kamatakamata za kutosha na wawekezaji watakoma kuja. Usione mwangwi wa sauti zao ni mdogo, Wana sauti kali Sana na inayosikika kote Duniani. Usiwape nafasi wakuondoe kwenye mstari na Wala huna aja ya kukutana nao chamsingi waruhusu wafanye siasa Kama Katiba inavyotaka, wewe chapa kazi. Wananchi wataamua 2015.

5. Ulinzi na usalama; Nikuombe pamoja na kwamba unakaa na vyombo mara kwa mara safari hii kaa navyo kwa agenda maalumu. Wana changamoto za vitendea kazi na ilo lipo wazi, rejea moto uliowaka Kariakoo. Upo umuhimu wakukaa na vyombo na kuziba mianya ya kiutawala ndani ya vyombo hivyo, kuwapatia vifaa, kuimarisha maslahi yao na kuwatenga na amri za wqnasiasa. Ukiwajengea confidence kila kitu kitakwenda sawia.

6. Mrundikano wa wafungwa na mahabusu pamoja na uboreshaji wa miundombinu ya Magereza. Mhe Rais Kama umewafutia kesi wahujumu uchumi na nchi ipo salama naamini unaweza kumsahuri Jaji mkuu kwamba mahakama isiwajaze watu ndani,. Ofisi ya DPP ina watendaji wazembe Sana, wamekuzwa kuarisha kesi siyo kuruhusu kesi isikilizwe. Wamekuzwa kusema asipewe dhamana kwa sababu ataarobu uchunguzi badala yakukamilisha uchunguzi. Nikuombe utamke neno kwa mahakama iwe na nguvu yakumpinga DPP pale mazingira yanaporuhusu. Tuwe na mahabusu wachache. Lakini pia ikikupendeza kwa sababu unazoona zinafaa basi ongeza wigo wa msamaha wa wafungwa. Kuhusu ukarabati wa Magereza hii naomba iwe agenda na mwelekeze mkuu wa Magereza asimamie upanuzi wa Magereza kwa kutumia wafungwa lakini pia miundombinu iwe na kiwango Cha kimataifa. Tuachane na mentality za kikoloni za kumfanya binadamu anye anapolala tukiamini tunamkomoa kumbe tunawakomoa askari wanaowalinda wafungwa na mahabusu. Tukirekebisha mahabusu zetu automatically na Askari Magereza watatambua umuhimu wakuishi maisha Bora.

7. Huduma za kijamii; Malalamiko kuhusu utoaji wa huduma za afya Ni makubwa sana, watoa huduma wanajisau Sana. Elimu nayo hivyo hivyo usimamizi na umakini umeshuka, maji yamekuwa changamoto, watoa huduma za maji wamegeuka miungu watu. Kudorora kwa huduma kunatokana na wasimamizi uliowateua kutokuwa na nia ya kukusaidia bali wanajisaidia. Nikuombe soma malalamiko kwenye mails za taasisi za umma, soma comments mfano kuhusu ubovu wa huduma za DAWASCO ambao wanakurasa yao hapa JF utagundua Kama watu wanabambikiwa bili za maji na wakaguzi wa hesabu wanabalansi mahesabu yao basi lipo tatizo. Lakini pia taasisi hizi zimekuwa zikitoa huduma kwa kusua sua kwa sababu Mawaziri,makati wakuu, wakuu wa Mikoa na wilaya wapo busy na majukumu binafsi au wamejifungia ofisini. Je uoni ni wakati Sasa kuwaomba eGa wafungue mtandao ambao watu watakuwa wanatupia malalamiko yao Kama ilivyo hapa JF? Hii itwasaidia watendaji hata wakiwa ofisini kuona namna wananchi wanavyoathirika na huduma zao na kuxhukua hatua. Nikuombe utengeneza single window ya kupokea claims publically itakusaidia kujua wapo tunakwama na wapo kuko sawa.

8. Mahusiano ya kimataifa na diplomasia; Mhe. Rais utajubaliana na mimi kwamba Balozi zetu na Wizara ya Mambo ya nje wamelala usingizi wa pono. Suala la uandikishaji wageni wanaoishi nje limekuwa na changamoto kubwa si kwa sababu watu hawataki kujiandikisha kwenye register Kama ulivyoelekeza ukiwa Burundi. Tatizo ni mfumo Duni wa hutoaji huduma unaofanywa na mabolozi wetu. Wanashindwa Nini kushirikiana na eGa wakaongeza kipengele Cha online registration kwa wakaazi wa nchi za nje au pale mtu anaposafiri akafika nchi flani Basi akiwa zake hotelini anaingia kwenye website anafanya registration akitoa taarifa zake binafsi, shuguli yake, muda anaotegemea kukaa kwenye nchi hiyo, shuguli anayofanya na fursa mbalimbali tunazoona zinafaa. Kuweka huduma ya uandikishaji kwenye mtandao itatusaidia Sana kuwajua Watanzania nje na kuwahudumia. Tuache kulala vijana walioajiriwa serikali haya ndiyo majukumu yao, we need reforms ambazo Ni positive. Hii itasaidia Sana kwenye mipango ya uchumi na pia kutusaidia kuwafahamu na kuwasaidia ndugu zetu waliopo nje. Lakini pia Jambo baya zaidi, wizara ya mambo ya nje hawana mobile number ,whatasp number amabayo Watanzania wanaweza kutumia kutoa malalamiko au hoja zao hasa pale wanapokuwa hataririni nje ya nchi. Mhe. Rais jukumu langu kwenye barua hii nikuchokoza mada na kuibua discusion yakukusaidia na kuisaidia nchi yangu kwenda mbele. Mpe task Mama Mulamula aboreshe huduma zake na pelekeni vijana kwenye mabalozi yatu wenye ujuzi, suala lakuweka masecretary ndo watoe huduma ubalozini huku wakiwa hawana uelewe wowote ondokaneni nalo, pelekeni watu kutokana na area of expertise, nakumbuka wakati flan nikiwa ulaya nilishindwa kupata pasipoti ya kielektronic kisa muhudumu wa Ubalozi ajui mahitaji na awezi kufanya kazi kukamilisha maombi na kuyatuma Tanzania ikanilazimu nirudi Tanzania. Nilipofuatilia qualifications za yule mtoa huduma nikagundua Hana sifa ila alipewa shavu na Wizara ya mambo ya nje. Badilikeni Diaspora wanatisubiri tuwaone nao Ni watu

9. Biashara na uchumi; Mama yangu nakuomba hapa niandike machache ila yanayoweza kuliponya Taifa " Dunia kwa miaka mitatu Sasa inamdororo wa uchumi, Mataifa mengi yametengeneza sera na mifumo yakuwainua wafanyabiashara wasifilisike, imewajengea mazingira wananchi wake waweze kupata baadhi ya huduma free nk Sisi Tanzania tupo tofauti, tumetengeneza bajeti yenye tozo nyingi zakuwanyonya wananchi". Naomba nikuulize kwa upole, Kama Walioendelea wanalegeza masharti ya Kodi kuvutia mzunguko wa fedha na kuwawezesha watu wasikimbie sokoni sisi Tanzania tutaamini wananchi wetu fedha wamezitoa wapi? Nakuomba kwenye eneo hili ruhusu washauri wako wa usalama,diplomasia, siasa na uchumi mkae hata siku tatu mjifundie mjadili Dunia mkuihusianisha na Tanzania naamini mtagundua Kuna kosa na mlirekebishe. Lakini pia Kama nilivyoeleza hapo juu, imarisha ofisi ya Katibu Mkuu kiongozi, tengeneza independent security organ zenye confidence na pia weka Wataalamu wa uchumia na biashara ndio wawe Mawaziri achana na wasomi wa uchumi wasio na exposure.

10. Changamoto ya Ajira. Kama nilivyoeleza hapo awali kuhusu matumizi ya tehama kuwatambua Diaspora. Hapa niwaombe Idara ya kazi waachane kabisa na jukumu walilojipa la kushugulikia vibali vya kazi vya wageni huku nikupoteza muda na rasilimali za Taifa. Mgeni Hana aja ya kwenda Labour Kisha Uhamiaji kwa kazi ambayo ingeweza kufanywa na chombo kimoja. Nilifanya utafiti wa kwanini wageni wanalalamikia mfumo wa vibali vya kazi na ukaazi Tanzania , pamoja na urasimu na Rushwa sababu kubwa iliyoonekana nikuwepo kwa ofisi ya kazi iliyotofauti na ofisi ya vibali vya ukaazi . Idara ya kazi imewekeza muda wake kusajili wageni wanaofanya kazi nchini kitu ambacho si jukumu lao la msingi, wao walipaswa kuwa watafiti na wachambuzi wa mahitaji ya ajira nchini na Kisha kuwasiliana na taasisi nyingine kuwapa maeneo yakutilia mkazo kwenye Utoaji ajra. Nikushauri Mhe. Rais kwa kuanza angalia Ni namna gani wageni watashughulikia Kama Ni Uhamiaji Basi labour wafanya clearence bila kulazimisha watu kwenda ofisini kwao na Uhamiaji watoe kibali kimoja tu, hapa Ni kwa ajira kwa wageni.
Kwa watanzainia idara ya kazi iandae kanzidata au website ambayo Watanzania watajiandikisha kuomba kazi, then Idara ya kazi ifungue dawati la kushugulikia upatikanaji wa ajira kwa waajiri kuwasilisha maombi yao ya wafanyakazi, hii itawafanya idara ya kazi iwe msaada kwa Watanzania kuliko ilivyo Sasa ambavyo wanalipwa pesa za mishaara na posho kwa ajili ya kuwataftia wageni ajira hapa nchini.
Unaenda idara ya kazi unakuta wanajua wageni wangapi wanahitaji na wanahitajika sekta gani lakini hawana sehemu wanawasiadia Watanzania kupata huduma Kama hiyo. Mhe. Rais waelekeze Hawa watu wajikite kuwahudumia Watanzania wapate ajira lakini wakusanye data nakukuambia ukubwa wa changamoto ya Ajira nchini kwa Watanzania waache kutumia Kodi zetu kuwataftia kazi wageni.
Watutaftie ajira ndani na nje. Kama taasisi ndogo ndogo zinaweza kuwatafuta wafanyakazi na kuwaunganisha na waajiri kwanini sisi tusiweze?

11. Ulinzi wa rasiliamali za nchi na ukwepaji Kodi. Mhe. Rais nikuombe uimarishe ulinzi hasa wa kimfumo mipakani, weka scaner na imarisha ukaguzi wizi Ni mkubwa. Simamia udhibiti wa mizigo na watu. Imarisha maslahi ya vyombo vyetu mipakani bila kujali udogo na ukubwa mpaka hii itasiadia Sana kudhibiti utoroshaji wa rasilimali zetu na kuingiza bidhaa na vitu visivyofaa. Ukizungumza na wafanyabiashara hasa mipakani huko utabaini hakuna udhibiti unaofanya, lakini pia upo umuhimu wa kuwekeza kwenye mifumo ya TEHAMA katika kukusanya taarifa za mizigo na abiria itakusaidia sana kujua tunavyopigwa. Wekeza kwenye ili eneo litakusaidia kwenye ulinzi wa rasilimali zetu, ishu za gari kutolewa Tanzania kimagendo likaingizwa Zambia Kisha likaja kusajiliwa Tanzania zinapaswa kufa pale utakapofunga mifumo ukaachana na mifumo inayokaa dar es salaam. Juzi nilikusikia ukisema unafungua mipaka ya kigoma, rukwa na katavi. Ni hatua nzuri ila naomba ujue hiyo mipaka watendaji wamelala na sidhani Kama mfano manyovu Kuna hata mfumo wa Kodi wa TRA acha taasisi nyingine. Unapowaza kufungua mipaka hii waza zaidi kuweka mifumo itakayokusiadi kupata taarifa ukiwa popote pale ndani au nje unapoifungua.

Kwa hoja hizi naamini Leo nimeitendea haki siku yangu, nimejiondoa kwenye kundi la wale wazee wastaafu wanaoshiba wakaanza kuikosoa serikali na Sasa nimefanya kazi yakuishauri serikali kwa kuzingatia upeo wangu. Naomba nichukue fursa hii kukuomba ujipe muda wakusoma, ila usitekeleze pale niliposhauri vibaya maana wewe Kama mkuu wa nchi una macho yanayoona mbali kuliko sisi. Mchana mwema na eid njema.

Kazi iendelee
Ofisi ya Katibu Mkuu kiongozi kimsingi ni Ofisinya Kamati Tendaji ya CCM? ndio mahali panafanyika mikakati ya kuhakikisha CCM inashinda mvua inyesha au jiwa liwake.
 
Ofisi ya Katibu Mkuu kiongozi kimsingi ni Ofisinya Kamati Tendaji ya CCM? ndio mahali panafanyika mikakati ya kuhakikisha CCM inashinda mvua inyesha au jiwa liwake.
Hivi hii haipaswi kuwa ndo ofisi kubwa ya juu kabisa kwa kila anayejiita mtumishi wa umma? Wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wakiwemo, kuwa kimuundo wanapaswa kuwa chini ya huyu KMK? Si teuzi zao zinapitia kwake kwenda kwa mkuu kabisa?
 

 
Je uoni ni wakati Sasa kuwaomba eGa wafungue mtandao ambao watu watakuwa wanatupia malalamiko yao Kama ilivyo hapa JF? Hii itwasaidia watendaji hata wakiwa ofisini kuona namna wananchi wanavyoathirika na huduma zao na kuxhukua hatua. Nikuombe utengeneza single window ya kupokea claims publically itakusaidia kujua wapo tunakwama na wapo kuko sawa.

 
Hivi hii haipaswi kuwa ndo ofisi kubwa ya juu kabisa kwa kila anayejiita mtumishi wa umma? Wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wakiwemo, kuwa kimuundo wanapaswa kuwa chini ya huyu KMK? Si teuzi zao zinapitia kwake kwenda kwa mkuu kabisa?
kimsingi inapaswa kuwa hivyo. Ni katibu wa Wizara na idala zote za taifa
 
Mhe. Rais, nakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwanza nianze kukupongeza kwa nafasi uliyonayo ambayo ni nafasi kubwa kiutawala wa mwanadamu katika Taifa letu. Pili, nikupongeze kwa jitiada zako na kiu yako yakutaka kuiona Tanzania inasonga mbele.

Baada ya salamu naomba kukujulisha mambo yafuatayo si kama kiongozi wako Bali Kama Mtanzania mwenye upeo wa kuona namna nchi inavyokwenda.

1. Kuhusu ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi; Hii Ni ofisi kubwa kiutumishi katika Taifa letu. Ni ofisi iliyokosewa kimuundo na hivyo kuifanya kutokuwa na taarifa sahahihi kuhusu taasisi zilizopo chini yake. Ni ofisi iliyoundwa kwa misingi ya kutoa huduma na kumshauri Mhe. Rais lakini haina nguvu kazi yenye diversity ya mawazo Kama inavyotakiwa. Naomba nikushauri ikikupendeza, na ikimpendeza katiklbu mkuu kiongozi mputie upya muundo wa ofisi ikiwemo upatikanaji wa rasilimali watu. Ni maoni yangu kwamba ofisi hii inapaswa kupata watu kutoka kila sekta ndani ya Utumishi wa Umma, vyombo vya ulinzi na usalama na sekta binafsi. Uwepo wa mchanganyiko wa nguvu kazi hii huku wahusika wakiwa ni watu waliobobea au wenye umairi kwenye sekta zao itakusaidia sana kupata ushauri sahihi kutoka kwa watu sahihi. Kwa Sasa mambo mengi yanafeli kwa sababu wanaounda ofisi hii ni watu walioajiriwa katika ofisi Kama kituo chao Cha Kwanza Cha kazi na wakakulia humo ndani, wakichukua sana wanachukua ndani ya ofisi ya Rais pekee.
Madhara ya mfumo huu na muundo wa Sasa Ni haya yanayotokea Sasa ambapo unafanya uteuzi wa watu usiowajua na pale unapowajua kupitia mitandao unalazimika kutengua uteuzi wao, unapitisha Jambo kwenye baraza la Mawaziri na linakwenda Bungeni Kisha unasaini sheria ikifika kwa wananchi malalamiko yanazidi nk. Hii yote ni matokeo ya kukosekana wadhibiti wa hoja za kisekta katika ofisi ya Katibu mkuu kiongozi. Ni Kama vile hoja hizi zinatoka kwenye wizara Hadi kwako bila kuchujwa na ofisi ya Katibu Mkuu kiongozi ambaye ndiye mshauri wako katika maeneo mengi.

2. Muundo na usimamizi wa vyombo vya dola ; Jukumu kubwa la vyombo vya dola nikulinda nchi, kulinda wananchi, kulinda rasilimali za nchi, kufanya ujasusi wa kiuchumi na kuibua vichocheo vya uchumi ndani au nje ikiwemo masoko pamoja na kumshauri ipasavyo Mhe. Rais aliyepo madarakani na serikali yake. Naomba kukiri kwamba kwa mwonekano wa Sasa wa mambo yanvyokwenda, nchi haina vyombo vya dola vinavyotekeleza majukumu yake na kuyasimamia bali vyombo vyetu vimekuwa vikipokea na kutekeleza majukumu ya wanasiasa ambao kwa muundo wa nchi yetu wengi wao si Wataalamu. Najaribu kuangalia Nani Mwenyekiti wa kamati za ulinzi na usalama Mikoa na wilaya, nabaini wapo akina Nick wa Pili, Joketi, Hapi nk. Hawa watu ndio wamepewa dhamana yakuwasimamia Polisi, usalama, Jeshi nk katika ngazi ya Mkoa na wilaya. Hapa Kuna tatizo la msingi kabisa na hakutakuwa na nidhamu ana Wala hoja za kiusalama hazitajadiliwa kwenye ngazi hizi kwa sababu Wana usalama serious hawana uhakika na usalama wa Taarifa zao. Kinachotokea Sasa hivi ni vyombo vya dola kujikita zaidi kwenye agenda moja tu nayo ni agenda ya kisiasa. Kwa mazingira haya ni vigumu kuwa na vyombo vinavyowaza na kutekeleza majukumu yake.
Lakini katika ngazi ya Kitaifa Hali Ni mbaya zaidi, niwapongeze jeshi la wananchi kwamba Waziri na Katibu mkuu wa Wizara hawaingilii majukumu ya jeshi Bali wanafanya specific task ambazo haziathiri mfumo wa jeshi. Ni tofauti na vyombo vingine, Waziri wa Mambo ya ndani anamkoromea IGP, CGP, CGI nk na Rais asipokuwa makini unaweza ukashangaa Waziri akamfukuza kazi Mkuu wa chombo kwa sababu tu hawaelewani au mkuu wa chombo ana nguvu na anajiamini. Tofauti na Waziri, Katibu mkuu naye ana mamlaka kubwa hivyo hivyo. Hii inakwenda mbali zaidi Hadi kwa vyombo vyetu vya Siri navyo unyenyekevu umekuwa mkubwa Sana kwa wanasiasa na hii inapelekea wakuu wa vyombo kukosa nguvu ya kuzima harakati za wanasiasa au kumshauri Mhe. Rais vyema kabla ya Hali mbaya aidha ya kiuchumi au kiusalama kutokea. Nitoe Rai kwako, wajengee confidence vyombo vya ulinzi na usalama, walinyang'anywa nguvu awamu iliyopita na hadi sasa nguvu hiyo hawana. Nilikuwa nazungumza na mtu mmoja akaniambia zipo wizara ambazo wakuu wa vyombo hawawezi kupendekeza na kuwasilisha wateule wanaotaka kufanya nao kazi kwako anayeleta mapendekezo ni katibu Mkuu wa Wizara. Nikajiuliza, Kama mkuu wa chombo Hana mamlaka yakupanga rasilimali watu ikiwemo kupendekeza majina ni ipi nguvu yake? Lakini pia Kama Katibu mkuu anaweza kupendekeza kuondolewa kwa mteule wako katika eneo flani bila kumshirikisha mkuu wa chombo ni ipi nguvu ya wakuu wa vyombo?

3. Uwepo wa wataka Urais wanaowaza kwamba wanaweza kuliko unavyofanya wewe. Nadhani unatambua kwamba baadhi ya Mawaziri na manaibu Waziri ulionao Wana malengo makubwa sana kisiaasa. Ili watimize malengo yao ni pamoja na kutotilia maanani kukusaidia badala yake wao kwa uzembe kabisa wanarelax na kukuangusha. Nikuombe mama chagua mawaziri wanaotaka kuwatumikia wananchi achana na Mawaziri wanaowaza Urais. Watu wanaposema Mwigulu na Masauni hawakufaa kukaa wizara ya fedha wanamaanisha kwa sababu wanawajua. Lakini pia hao watu wametumika na watu mbalimbali kabla ya kuwa hapo walipo, waliotumika nao ndio wanaowaona performance yao ilivyo chini. Toka umemteua Masauni Hadi leo ukiomba kujua amefanya Nini utashangaa kusikia ajafanya kitu, ukitaka kujua Kama anafanya kazi na Mwigulu kwa umoja utashangaa kusikia Hawa watu hawaelewani kimfumo toka wakiwa huko mambo ya ndani, tuliwashuhudia walivyokuwa wanatifuaana na kuwindana mmoja ashuke mwingine apande. Hawatokaa wakakufaa kwenye nafasi hizo. Ondoa wataka Urais weka wachapa kazi.

4. Mapambano dhidi ya vyama vya upinzani na vuguvugu la Katiba mpya; Mhe. Rais nikuombe chondechonde Bora uonekane mpole au usiyejua majukumu yako kuliko kuanza kupambana na upinzani. Waache wafanye siasa wewe hudumia wananchi. Acha wapige kelele wawezavyo kuhusu Katiba mpya then utaona Kama Ni agenda yakuchukua na kuifanyia kazi au muda wake Bado. Wakiongea toka asubuhi Hadi jioni kuhusu Katiba mpya na wasivunje sheria ni jukumu la viongozi wa CcM kuwaziba mdomo kwa majibizano ya hoja. Wameanza kukuingiza kwenye agenda yao ya Katiba na mwisho wa siku usipowaruhusu wapambane kwa hoja utajikuta nchi inakuwa na sintofahamu, kamatakamata za kutosha na wawekezaji watakoma kuja. Usione mwangwi wa sauti zao ni mdogo, Wana sauti kali Sana na inayosikika kote Duniani. Usiwape nafasi wakuondoe kwenye mstari na Wala huna aja ya kukutana nao chamsingi waruhusu wafanye siasa Kama Katiba inavyotaka, wewe chapa kazi. Wananchi wataamua 2015.

5. Ulinzi na usalama; Nikuombe pamoja na kwamba unakaa na vyombo mara kwa mara safari hii kaa navyo kwa agenda maalumu. Wana changamoto za vitendea kazi na ilo lipo wazi, rejea moto uliowaka Kariakoo. Upo umuhimu wakukaa na vyombo na kuziba mianya ya kiutawala ndani ya vyombo hivyo, kuwapatia vifaa, kuimarisha maslahi yao na kuwatenga na amri za wqnasiasa. Ukiwajengea confidence kila kitu kitakwenda sawia.

6. Mrundikano wa wafungwa na mahabusu pamoja na uboreshaji wa miundombinu ya Magereza. Mhe Rais Kama umewafutia kesi wahujumu uchumi na nchi ipo salama naamini unaweza kumsahuri Jaji mkuu kwamba mahakama isiwajaze watu ndani,. Ofisi ya DPP ina watendaji wazembe Sana, wamekuzwa kuarisha kesi siyo kuruhusu kesi isikilizwe. Wamekuzwa kusema asipewe dhamana kwa sababu ataarobu uchunguzi badala yakukamilisha uchunguzi. Nikuombe utamke neno kwa mahakama iwe na nguvu yakumpinga DPP pale mazingira yanaporuhusu. Tuwe na mahabusu wachache. Lakini pia ikikupendeza kwa sababu unazoona zinafaa basi ongeza wigo wa msamaha wa wafungwa. Kuhusu ukarabati wa Magereza hii naomba iwe agenda na mwelekeze mkuu wa Magereza asimamie upanuzi wa Magereza kwa kutumia wafungwa lakini pia miundombinu iwe na kiwango Cha kimataifa. Tuachane na mentality za kikoloni za kumfanya binadamu anye anapolala tukiamini tunamkomoa kumbe tunawakomoa askari wanaowalinda wafungwa na mahabusu. Tukirekebisha mahabusu zetu automatically na Askari Magereza watatambua umuhimu wakuishi maisha Bora.

7. Huduma za kijamii; Malalamiko kuhusu utoaji wa huduma za afya Ni makubwa sana, watoa huduma wanajisau Sana. Elimu nayo hivyo hivyo usimamizi na umakini umeshuka, maji yamekuwa changamoto, watoa huduma za maji wamegeuka miungu watu. Kudorora kwa huduma kunatokana na wasimamizi uliowateua kutokuwa na nia ya kukusaidia bali wanajisaidia. Nikuombe soma malalamiko kwenye mails za taasisi za umma, soma comments mfano kuhusu ubovu wa huduma za DAWASCO ambao wanakurasa yao hapa JF utagundua Kama watu wanabambikiwa bili za maji na wakaguzi wa hesabu wanabalansi mahesabu yao basi lipo tatizo. Lakini pia taasisi hizi zimekuwa zikitoa huduma kwa kusua sua kwa sababu Mawaziri,makati wakuu, wakuu wa Mikoa na wilaya wapo busy na majukumu binafsi au wamejifungia ofisini. Je uoni ni wakati Sasa kuwaomba eGa wafungue mtandao ambao watu watakuwa wanatupia malalamiko yao Kama ilivyo hapa JF? Hii itwasaidia watendaji hata wakiwa ofisini kuona namna wananchi wanavyoathirika na huduma zao na kuxhukua hatua. Nikuombe utengeneza single window ya kupokea claims publically itakusaidia kujua wapo tunakwama na wapo kuko sawa.

8. Mahusiano ya kimataifa na diplomasia; Mhe. Rais utajubaliana na mimi kwamba Balozi zetu na Wizara ya Mambo ya nje wamelala usingizi wa pono. Suala la uandikishaji wageni wanaoishi nje limekuwa na changamoto kubwa si kwa sababu watu hawataki kujiandikisha kwenye register Kama ulivyoelekeza ukiwa Burundi. Tatizo ni mfumo Duni wa hutoaji huduma unaofanywa na mabolozi wetu. Wanashindwa Nini kushirikiana na eGa wakaongeza kipengele Cha online registration kwa wakaazi wa nchi za nje au pale mtu anaposafiri akafika nchi flani Basi akiwa zake hotelini anaingia kwenye website anafanya registration akitoa taarifa zake binafsi, shuguli yake, muda anaotegemea kukaa kwenye nchi hiyo, shuguli anayofanya na fursa mbalimbali tunazoona zinafaa. Kuweka huduma ya uandikishaji kwenye mtandao itatusaidia Sana kuwajua Watanzania nje na kuwahudumia. Tuache kulala vijana walioajiriwa serikali haya ndiyo majukumu yao, we need reforms ambazo Ni positive. Hii itasaidia Sana kwenye mipango ya uchumi na pia kutusaidia kuwafahamu na kuwasaidia ndugu zetu waliopo nje. Lakini pia Jambo baya zaidi, wizara ya mambo ya nje hawana mobile number ,whatasp number amabayo Watanzania wanaweza kutumia kutoa malalamiko au hoja zao hasa pale wanapokuwa hataririni nje ya nchi. Mhe. Rais jukumu langu kwenye barua hii nikuchokoza mada na kuibua discusion yakukusaidia na kuisaidia nchi yangu kwenda mbele. Mpe task Mama Mulamula aboreshe huduma zake na pelekeni vijana kwenye mabalozi yatu wenye ujuzi, suala lakuweka masecretary ndo watoe huduma ubalozini huku wakiwa hawana uelewe wowote ondokaneni nalo, pelekeni watu kutokana na area of expertise, nakumbuka wakati flan nikiwa ulaya nilishindwa kupata pasipoti ya kielektronic kisa muhudumu wa Ubalozi ajui mahitaji na awezi kufanya kazi kukamilisha maombi na kuyatuma Tanzania ikanilazimu nirudi Tanzania. Nilipofuatilia qualifications za yule mtoa huduma nikagundua Hana sifa ila alipewa shavu na Wizara ya mambo ya nje. Badilikeni Diaspora wanatisubiri tuwaone nao Ni watu

9. Biashara na uchumi; Mama yangu nakuomba hapa niandike machache ila yanayoweza kuliponya Taifa " Dunia kwa miaka mitatu Sasa inamdororo wa uchumi, Mataifa mengi yametengeneza sera na mifumo yakuwainua wafanyabiashara wasifilisike, imewajengea mazingira wananchi wake waweze kupata baadhi ya huduma free nk Sisi Tanzania tupo tofauti, tumetengeneza bajeti yenye tozo nyingi zakuwanyonya wananchi". Naomba nikuulize kwa upole, Kama Walioendelea wanalegeza masharti ya Kodi kuvutia mzunguko wa fedha na kuwawezesha watu wasikimbie sokoni sisi Tanzania tutaamini wananchi wetu fedha wamezitoa wapi? Nakuomba kwenye eneo hili ruhusu washauri wako wa usalama,diplomasia, siasa na uchumi mkae hata siku tatu mjifundie mjadili Dunia mkuihusianisha na Tanzania naamini mtagundua Kuna kosa na mlirekebishe. Lakini pia Kama nilivyoeleza hapo juu, imarisha ofisi ya Katibu Mkuu kiongozi, tengeneza independent security organ zenye confidence na pia weka Wataalamu wa uchumia na biashara ndio wawe Mawaziri achana na wasomi wa uchumi wasio na exposure.

10. Changamoto ya Ajira. Kama nilivyoeleza hapo awali kuhusu matumizi ya tehama kuwatambua Diaspora. Hapa niwaombe Idara ya kazi waachane kabisa na jukumu walilojipa la kushugulikia vibali vya kazi vya wageni huku nikupoteza muda na rasilimali za Taifa. Mgeni Hana aja ya kwenda Labour Kisha Uhamiaji kwa kazi ambayo ingeweza kufanywa na chombo kimoja. Nilifanya utafiti wa kwanini wageni wanalalamikia mfumo wa vibali vya kazi na ukaazi Tanzania , pamoja na urasimu na Rushwa sababu kubwa iliyoonekana nikuwepo kwa ofisi ya kazi iliyotofauti na ofisi ya vibali vya ukaazi . Idara ya kazi imewekeza muda wake kusajili wageni wanaofanya kazi nchini kitu ambacho si jukumu lao la msingi, wao walipaswa kuwa watafiti na wachambuzi wa mahitaji ya ajira nchini na Kisha kuwasiliana na taasisi nyingine kuwapa maeneo yakutilia mkazo kwenye Utoaji ajra. Nikushauri Mhe. Rais kwa kuanza angalia Ni namna gani wageni watashughulikia Kama Ni Uhamiaji Basi labour wafanya clearence bila kulazimisha watu kwenda ofisini kwao na Uhamiaji watoe kibali kimoja tu, hapa Ni kwa ajira kwa wageni.
Kwa watanzainia idara ya kazi iandae kanzidata au website ambayo Watanzania watajiandikisha kuomba kazi, then Idara ya kazi ifungue dawati la kushugulikia upatikanaji wa ajira kwa waajiri kuwasilisha maombi yao ya wafanyakazi, hii itawafanya idara ya kazi iwe msaada kwa Watanzania kuliko ilivyo Sasa ambavyo wanalipwa pesa za mishaara na posho kwa ajili ya kuwataftia wageni ajira hapa nchini.
Unaenda idara ya kazi unakuta wanajua wageni wangapi wanahitaji na wanahitajika sekta gani lakini hawana sehemu wanawasiadia Watanzania kupata huduma Kama hiyo. Mhe. Rais waelekeze Hawa watu wajikite kuwahudumia Watanzania wapate ajira lakini wakusanye data nakukuambia ukubwa wa changamoto ya Ajira nchini kwa Watanzania waache kutumia Kodi zetu kuwataftia kazi wageni.
Watutaftie ajira ndani na nje. Kama taasisi ndogo ndogo zinaweza kuwatafuta wafanyakazi na kuwaunganisha na waajiri kwanini sisi tusiweze?

11. Ulinzi wa rasiliamali za nchi na ukwepaji Kodi. Mhe. Rais nikuombe uimarishe ulinzi hasa wa kimfumo mipakani, weka scaner na imarisha ukaguzi wizi Ni mkubwa. Simamia udhibiti wa mizigo na watu. Imarisha maslahi ya vyombo vyetu mipakani bila kujali udogo na ukubwa mpaka hii itasiadia Sana kudhibiti utoroshaji wa rasilimali zetu na kuingiza bidhaa na vitu visivyofaa. Ukizungumza na wafanyabiashara hasa mipakani huko utabaini hakuna udhibiti unaofanya, lakini pia upo umuhimu wa kuwekeza kwenye mifumo ya TEHAMA katika kukusanya taarifa za mizigo na abiria itakusaidia sana kujua tunavyopigwa. Wekeza kwenye ili eneo litakusaidia kwenye ulinzi wa rasilimali zetu, ishu za gari kutolewa Tanzania kimagendo likaingizwa Zambia Kisha likaja kusajiliwa Tanzania zinapaswa kufa pale utakapofunga mifumo ukaachana na mifumo inayokaa dar es salaam. Juzi nilikusikia ukisema unafungua mipaka ya kigoma, rukwa na katavi. Ni hatua nzuri ila naomba ujue hiyo mipaka watendaji wamelala na sidhani Kama mfano manyovu Kuna hata mfumo wa Kodi wa TRA acha taasisi nyingine. Unapowaza kufungua mipaka hii waza zaidi kuweka mifumo itakayokusiadi kupata taarifa ukiwa popote pale ndani au nje unapoifungua.

Kwa hoja hizi naamini Leo nimeitendea haki siku yangu, nimejiondoa kwenye kundi la wale wazee wastaafu wanaoshiba wakaanza kuikosoa serikali na Sasa nimefanya kazi yakuishauri serikali kwa kuzingatia upeo wangu. Naomba nichukue fursa hii kukuomba ujipe muda wakusoma, ila usitekeleze pale niliposhauri vibaya maana wewe Kama mkuu wa nchi una macho yanayoona mbali kuliko sisi. Mchana mwema na eid njema.

Kazi iendelee
Yaani ni ndefu mpaka usingizii yaan
 
Mnaamini wananchi kwa makundi mbalimbali wamewatuma mkatumie dola kuwanyanyasa mnaowaongoza? Mbona yapo mambo mengi hayajafanyika? Kwamba tuna miaka minne yakufanya siasa za chama kimoja kwa lengo la kutaka kutawala 2025 Tena. Bungeni mmevurunda, mtaani mmevurunda si kwa sababu nyingine bali kwa sababu kipimo chenu Cha mafanikio kimekuwa kupambana na chadema siyo kuwapatia maisha Bora Watanzania .Endeleeni
 
Mhe. Rais, nakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwanza nianze kukupongeza kwa nafasi uliyonayo ambayo ni nafasi kubwa kiutawala wa mwanadamu katika Taifa letu. Pili, nikupongeze kwa jitiada zako na kiu yako yakutaka kuiona Tanzania inasonga mbele.

Baada ya salamu naomba kukujulisha mambo yafuatayo si kama kiongozi wako Bali Kama Mtanzania mwenye upeo wa kuona namna nchi inavyokwenda.

1. Kuhusu ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi; Hii Ni ofisi kubwa kiutumishi katika Taifa letu. Ni ofisi iliyokosewa kimuundo na hivyo kuifanya kutokuwa na taarifa sahahihi kuhusu taasisi zilizopo chini yake. Ni ofisi iliyoundwa kwa misingi ya kutoa huduma na kumshauri Mhe. Rais lakini haina nguvu kazi yenye diversity ya mawazo Kama inavyotakiwa. Naomba nikushauri ikikupendeza, na ikimpendeza katiklbu mkuu kiongozi mputie upya muundo wa ofisi ikiwemo upatikanaji wa rasilimali watu. Ni maoni yangu kwamba ofisi hii inapaswa kupata watu kutoka kila sekta ndani ya Utumishi wa Umma, vyombo vya ulinzi na usalama na sekta binafsi. Uwepo wa mchanganyiko wa nguvu kazi hii huku wahusika wakiwa ni watu waliobobea au wenye umairi kwenye sekta zao itakusaidia sana kupata ushauri sahihi kutoka kwa watu sahihi. Kwa Sasa mambo mengi yanafeli kwa sababu wanaounda ofisi hii ni watu walioajiriwa katika ofisi Kama kituo chao Cha Kwanza Cha kazi na wakakulia humo ndani, wakichukua sana wanachukua ndani ya ofisi ya Rais pekee.
Madhara ya mfumo huu na muundo wa Sasa Ni haya yanayotokea Sasa ambapo unafanya uteuzi wa watu usiowajua na pale unapowajua kupitia mitandao unalazimika kutengua uteuzi wao, unapitisha Jambo kwenye baraza la Mawaziri na linakwenda Bungeni Kisha unasaini sheria ikifika kwa wananchi malalamiko yanazidi nk. Hii yote ni matokeo ya kukosekana wadhibiti wa hoja za kisekta katika ofisi ya Katibu mkuu kiongozi. Ni Kama vile hoja hizi zinatoka kwenye wizara Hadi kwako bila kuchujwa na ofisi ya Katibu Mkuu kiongozi ambaye ndiye mshauri wako katika maeneo mengi.

2. Muundo na usimamizi wa vyombo vya dola ; Jukumu kubwa la vyombo vya dola nikulinda nchi, kulinda wananchi, kulinda rasilimali za nchi, kufanya ujasusi wa kiuchumi na kuibua vichocheo vya uchumi ndani au nje ikiwemo masoko pamoja na kumshauri ipasavyo Mhe. Rais aliyepo madarakani na serikali yake. Naomba kukiri kwamba kwa mwonekano wa Sasa wa mambo yanvyokwenda, nchi haina vyombo vya dola vinavyotekeleza majukumu yake na kuyasimamia bali vyombo vyetu vimekuwa vikipokea na kutekeleza majukumu ya wanasiasa ambao kwa muundo wa nchi yetu wengi wao si Wataalamu. Najaribu kuangalia Nani Mwenyekiti wa kamati za ulinzi na usalama Mikoa na wilaya, nabaini wapo akina Nick wa Pili, Joketi, Hapi nk. Hawa watu ndio wamepewa dhamana yakuwasimamia Polisi, usalama, Jeshi nk katika ngazi ya Mkoa na wilaya. Hapa Kuna tatizo la msingi kabisa na hakutakuwa na nidhamu ana Wala hoja za kiusalama hazitajadiliwa kwenye ngazi hizi kwa sababu Wana usalama serious hawana uhakika na usalama wa Taarifa zao. Kinachotokea Sasa hivi ni vyombo vya dola kujikita zaidi kwenye agenda moja tu nayo ni agenda ya kisiasa. Kwa mazingira haya ni vigumu kuwa na vyombo vinavyowaza na kutekeleza majukumu yake.
Lakini katika ngazi ya Kitaifa Hali Ni mbaya zaidi, niwapongeze jeshi la wananchi kwamba Waziri na Katibu mkuu wa Wizara hawaingilii majukumu ya jeshi Bali wanafanya specific task ambazo haziathiri mfumo wa jeshi. Ni tofauti na vyombo vingine, Waziri wa Mambo ya ndani anamkoromea IGP, CGP, CGI nk na Rais asipokuwa makini unaweza ukashangaa Waziri akamfukuza kazi Mkuu wa chombo kwa sababu tu hawaelewani au mkuu wa chombo ana nguvu na anajiamini. Tofauti na Waziri, Katibu mkuu naye ana mamlaka kubwa hivyo hivyo. Hii inakwenda mbali zaidi Hadi kwa vyombo vyetu vya Siri navyo unyenyekevu umekuwa mkubwa Sana kwa wanasiasa na hii inapelekea wakuu wa vyombo kukosa nguvu ya kuzima harakati za wanasiasa au kumshauri Mhe. Rais vyema kabla ya Hali mbaya aidha ya kiuchumi au kiusalama kutokea. Nitoe Rai kwako, wajengee confidence vyombo vya ulinzi na usalama, walinyang'anywa nguvu awamu iliyopita na hadi sasa nguvu hiyo hawana. Nilikuwa nazungumza na mtu mmoja akaniambia zipo wizara ambazo wakuu wa vyombo hawawezi kupendekeza na kuwasilisha wateule wanaotaka kufanya nao kazi kwako anayeleta mapendekezo ni katibu Mkuu wa Wizara. Nikajiuliza, Kama mkuu wa chombo Hana mamlaka yakupanga rasilimali watu ikiwemo kupendekeza majina ni ipi nguvu yake? Lakini pia Kama Katibu mkuu anaweza kupendekeza kuondolewa kwa mteule wako katika eneo flani bila kumshirikisha mkuu wa chombo ni ipi nguvu ya wakuu wa vyombo?

3. Uwepo wa wataka Urais wanaowaza kwamba wanaweza kuliko unavyofanya wewe. Nadhani unatambua kwamba baadhi ya Mawaziri na manaibu Waziri ulionao Wana malengo makubwa sana kisiaasa. Ili watimize malengo yao ni pamoja na kutotilia maanani kukusaidia badala yake wao kwa uzembe kabisa wanarelax na kukuangusha. Nikuombe mama chagua mawaziri wanaotaka kuwatumikia wananchi achana na Mawaziri wanaowaza Urais. Watu wanaposema Mwigulu na Masauni hawakufaa kukaa wizara ya fedha wanamaanisha kwa sababu wanawajua. Lakini pia hao watu wametumika na watu mbalimbali kabla ya kuwa hapo walipo, waliotumika nao ndio wanaowaona performance yao ilivyo chini. Toka umemteua Masauni Hadi leo ukiomba kujua amefanya Nini utashangaa kusikia ajafanya kitu, ukitaka kujua Kama anafanya kazi na Mwigulu kwa umoja utashangaa kusikia Hawa watu hawaelewani kimfumo toka wakiwa huko mambo ya ndani, tuliwashuhudia walivyokuwa wanatifuaana na kuwindana mmoja ashuke mwingine apande. Hawatokaa wakakufaa kwenye nafasi hizo. Ondoa wataka Urais weka wachapa kazi.

4. Mapambano dhidi ya vyama vya upinzani na vuguvugu la Katiba mpya; Mhe. Rais nikuombe chondechonde Bora uonekane mpole au usiyejua majukumu yako kuliko kuanza kupambana na upinzani. Waache wafanye siasa wewe hudumia wananchi. Acha wapige kelele wawezavyo kuhusu Katiba mpya then utaona Kama Ni agenda yakuchukua na kuifanyia kazi au muda wake Bado. Wakiongea toka asubuhi Hadi jioni kuhusu Katiba mpya na wasivunje sheria ni jukumu la viongozi wa CcM kuwaziba mdomo kwa majibizano ya hoja. Wameanza kukuingiza kwenye agenda yao ya Katiba na mwisho wa siku usipowaruhusu wapambane kwa hoja utajikuta nchi inakuwa na sintofahamu, kamatakamata za kutosha na wawekezaji watakoma kuja. Usione mwangwi wa sauti zao ni mdogo, Wana sauti kali Sana na inayosikika kote Duniani. Usiwape nafasi wakuondoe kwenye mstari na Wala huna aja ya kukutana nao chamsingi waruhusu wafanye siasa Kama Katiba inavyotaka, wewe chapa kazi. Wananchi wataamua 2015.

5. Ulinzi na usalama; Nikuombe pamoja na kwamba unakaa na vyombo mara kwa mara safari hii kaa navyo kwa agenda maalumu. Wana changamoto za vitendea kazi na ilo lipo wazi, rejea moto uliowaka Kariakoo. Upo umuhimu wakukaa na vyombo na kuziba mianya ya kiutawala ndani ya vyombo hivyo, kuwapatia vifaa, kuimarisha maslahi yao na kuwatenga na amri za wqnasiasa. Ukiwajengea confidence kila kitu kitakwenda sawia.

6. Mrundikano wa wafungwa na mahabusu pamoja na uboreshaji wa miundombinu ya Magereza. Mhe Rais Kama umewafutia kesi wahujumu uchumi na nchi ipo salama naamini unaweza kumsahuri Jaji mkuu kwamba mahakama isiwajaze watu ndani,. Ofisi ya DPP ina watendaji wazembe Sana, wamekuzwa kuarisha kesi siyo kuruhusu kesi isikilizwe. Wamekuzwa kusema asipewe dhamana kwa sababu ataarobu uchunguzi badala yakukamilisha uchunguzi. Nikuombe utamke neno kwa mahakama iwe na nguvu yakumpinga DPP pale mazingira yanaporuhusu. Tuwe na mahabusu wachache. Lakini pia ikikupendeza kwa sababu unazoona zinafaa basi ongeza wigo wa msamaha wa wafungwa. Kuhusu ukarabati wa Magereza hii naomba iwe agenda na mwelekeze mkuu wa Magereza asimamie upanuzi wa Magereza kwa kutumia wafungwa lakini pia miundombinu iwe na kiwango Cha kimataifa. Tuachane na mentality za kikoloni za kumfanya binadamu anye anapolala tukiamini tunamkomoa kumbe tunawakomoa askari wanaowalinda wafungwa na mahabusu. Tukirekebisha mahabusu zetu automatically na Askari Magereza watatambua umuhimu wakuishi maisha Bora.

7. Huduma za kijamii; Malalamiko kuhusu utoaji wa huduma za afya Ni makubwa sana, watoa huduma wanajisau Sana. Elimu nayo hivyo hivyo usimamizi na umakini umeshuka, maji yamekuwa changamoto, watoa huduma za maji wamegeuka miungu watu. Kudorora kwa huduma kunatokana na wasimamizi uliowateua kutokuwa na nia ya kukusaidia bali wanajisaidia. Nikuombe soma malalamiko kwenye mails za taasisi za umma, soma comments mfano kuhusu ubovu wa huduma za DAWASCO ambao wanakurasa yao hapa JF utagundua Kama watu wanabambikiwa bili za maji na wakaguzi wa hesabu wanabalansi mahesabu yao basi lipo tatizo. Lakini pia taasisi hizi zimekuwa zikitoa huduma kwa kusua sua kwa sababu Mawaziri,makati wakuu, wakuu wa Mikoa na wilaya wapo busy na majukumu binafsi au wamejifungia ofisini. Je uoni ni wakati Sasa kuwaomba eGa wafungue mtandao ambao watu watakuwa wanatupia malalamiko yao Kama ilivyo hapa JF? Hii itwasaidia watendaji hata wakiwa ofisini kuona namna wananchi wanavyoathirika na huduma zao na kuxhukua hatua. Nikuombe utengeneza single window ya kupokea claims publically itakusaidia kujua wapo tunakwama na wapo kuko sawa.

8. Mahusiano ya kimataifa na diplomasia; Mhe. Rais utajubaliana na mimi kwamba Balozi zetu na Wizara ya Mambo ya nje wamelala usingizi wa pono. Suala la uandikishaji wageni wanaoishi nje limekuwa na changamoto kubwa si kwa sababu watu hawataki kujiandikisha kwenye register Kama ulivyoelekeza ukiwa Burundi. Tatizo ni mfumo Duni wa hutoaji huduma unaofanywa na mabolozi wetu. Wanashindwa Nini kushirikiana na eGa wakaongeza kipengele Cha online registration kwa wakaazi wa nchi za nje au pale mtu anaposafiri akafika nchi flani Basi akiwa zake hotelini anaingia kwenye website anafanya registration akitoa taarifa zake binafsi, shuguli yake, muda anaotegemea kukaa kwenye nchi hiyo, shuguli anayofanya na fursa mbalimbali tunazoona zinafaa. Kuweka huduma ya uandikishaji kwenye mtandao itatusaidia Sana kuwajua Watanzania nje na kuwahudumia. Tuache kulala vijana walioajiriwa serikali haya ndiyo majukumu yao, we need reforms ambazo Ni positive. Hii itasaidia Sana kwenye mipango ya uchumi na pia kutusaidia kuwafahamu na kuwasaidia ndugu zetu waliopo nje. Lakini pia Jambo baya zaidi, wizara ya mambo ya nje hawana mobile number ,whatasp number amabayo Watanzania wanaweza kutumia kutoa malalamiko au hoja zao hasa pale wanapokuwa hataririni nje ya nchi. Mhe. Rais jukumu langu kwenye barua hii nikuchokoza mada na kuibua discusion yakukusaidia na kuisaidia nchi yangu kwenda mbele. Mpe task Mama Mulamula aboreshe huduma zake na pelekeni vijana kwenye mabalozi yatu wenye ujuzi, suala lakuweka masecretary ndo watoe huduma ubalozini huku wakiwa hawana uelewe wowote ondokaneni nalo, pelekeni watu kutokana na area of expertise, nakumbuka wakati flan nikiwa ulaya nilishindwa kupata pasipoti ya kielektronic kisa muhudumu wa Ubalozi ajui mahitaji na awezi kufanya kazi kukamilisha maombi na kuyatuma Tanzania ikanilazimu nirudi Tanzania. Nilipofuatilia qualifications za yule mtoa huduma nikagundua Hana sifa ila alipewa shavu na Wizara ya mambo ya nje. Badilikeni Diaspora wanatisubiri tuwaone nao Ni watu

9. Biashara na uchumi; Mama yangu nakuomba hapa niandike machache ila yanayoweza kuliponya Taifa " Dunia kwa miaka mitatu Sasa inamdororo wa uchumi, Mataifa mengi yametengeneza sera na mifumo yakuwainua wafanyabiashara wasifilisike, imewajengea mazingira wananchi wake waweze kupata baadhi ya huduma free nk Sisi Tanzania tupo tofauti, tumetengeneza bajeti yenye tozo nyingi zakuwanyonya wananchi". Naomba nikuulize kwa upole, Kama Walioendelea wanalegeza masharti ya Kodi kuvutia mzunguko wa fedha na kuwawezesha watu wasikimbie sokoni sisi Tanzania tutaamini wananchi wetu fedha wamezitoa wapi? Nakuomba kwenye eneo hili ruhusu washauri wako wa usalama,diplomasia, siasa na uchumi mkae hata siku tatu mjifundie mjadili Dunia mkuihusianisha na Tanzania naamini mtagundua Kuna kosa na mlirekebishe. Lakini pia Kama nilivyoeleza hapo juu, imarisha ofisi ya Katibu Mkuu kiongozi, tengeneza independent security organ zenye confidence na pia weka Wataalamu wa uchumia na biashara ndio wawe Mawaziri achana na wasomi wa uchumi wasio na exposure.

10. Changamoto ya Ajira. Kama nilivyoeleza hapo awali kuhusu matumizi ya tehama kuwatambua Diaspora. Hapa niwaombe Idara ya kazi waachane kabisa na jukumu walilojipa la kushugulikia vibali vya kazi vya wageni huku nikupoteza muda na rasilimali za Taifa. Mgeni Hana aja ya kwenda Labour Kisha Uhamiaji kwa kazi ambayo ingeweza kufanywa na chombo kimoja. Nilifanya utafiti wa kwanini wageni wanalalamikia mfumo wa vibali vya kazi na ukaazi Tanzania , pamoja na urasimu na Rushwa sababu kubwa iliyoonekana nikuwepo kwa ofisi ya kazi iliyotofauti na ofisi ya vibali vya ukaazi . Idara ya kazi imewekeza muda wake kusajili wageni wanaofanya kazi nchini kitu ambacho si jukumu lao la msingi, wao walipaswa kuwa watafiti na wachambuzi wa mahitaji ya ajira nchini na Kisha kuwasiliana na taasisi nyingine kuwapa maeneo yakutilia mkazo kwenye Utoaji ajra. Nikushauri Mhe. Rais kwa kuanza angalia Ni namna gani wageni watashughulikia Kama Ni Uhamiaji Basi labour wafanya clearence bila kulazimisha watu kwenda ofisini kwao na Uhamiaji watoe kibali kimoja tu, hapa Ni kwa ajira kwa wageni.
Kwa watanzainia idara ya kazi iandae kanzidata au website ambayo Watanzania watajiandikisha kuomba kazi, then Idara ya kazi ifungue dawati la kushugulikia upatikanaji wa ajira kwa waajiri kuwasilisha maombi yao ya wafanyakazi, hii itawafanya idara ya kazi iwe msaada kwa Watanzania kuliko ilivyo Sasa ambavyo wanalipwa pesa za mishaara na posho kwa ajili ya kuwataftia wageni ajira hapa nchini.
Unaenda idara ya kazi unakuta wanajua wageni wangapi wanahitaji na wanahitajika sekta gani lakini hawana sehemu wanawasiadia Watanzania kupata huduma Kama hiyo. Mhe. Rais waelekeze Hawa watu wajikite kuwahudumia Watanzania wapate ajira lakini wakusanye data nakukuambia ukubwa wa changamoto ya Ajira nchini kwa Watanzania waache kutumia Kodi zetu kuwataftia kazi wageni.
Watutaftie ajira ndani na nje. Kama taasisi ndogo ndogo zinaweza kuwatafuta wafanyakazi na kuwaunganisha na waajiri kwanini sisi tusiweze?

11. Ulinzi wa rasiliamali za nchi na ukwepaji Kodi. Mhe. Rais nikuombe uimarishe ulinzi hasa wa kimfumo mipakani, weka scaner na imarisha ukaguzi wizi Ni mkubwa. Simamia udhibiti wa mizigo na watu. Imarisha maslahi ya vyombo vyetu mipakani bila kujali udogo na ukubwa mpaka hii itasiadia Sana kudhibiti utoroshaji wa rasilimali zetu na kuingiza bidhaa na vitu visivyofaa. Ukizungumza na wafanyabiashara hasa mipakani huko utabaini hakuna udhibiti unaofanya, lakini pia upo umuhimu wa kuwekeza kwenye mifumo ya TEHAMA katika kukusanya taarifa za mizigo na abiria itakusaidia sana kujua tunavyopigwa. Wekeza kwenye ili eneo litakusaidia kwenye ulinzi wa rasilimali zetu, ishu za gari kutolewa Tanzania kimagendo likaingizwa Zambia Kisha likaja kusajiliwa Tanzania zinapaswa kufa pale utakapofunga mifumo ukaachana na mifumo inayokaa dar es salaam. Juzi nilikusikia ukisema unafungua mipaka ya kigoma, rukwa na katavi. Ni hatua nzuri ila naomba ujue hiyo mipaka watendaji wamelala na sidhani Kama mfano manyovu Kuna hata mfumo wa Kodi wa TRA acha taasisi nyingine. Unapowaza kufungua mipaka hii waza zaidi kuweka mifumo itakayokusiadi kupata taarifa ukiwa popote pale ndani au nje unapoifungua.

Kwa hoja hizi naamini Leo nimeitendea haki siku yangu, nimejiondoa kwenye kundi la wale wazee wastaafu wanaoshiba wakaanza kuikosoa serikali na Sasa nimefanya kazi yakuishauri serikali kwa kuzingatia upeo wangu. Naomba nichukue fursa hii kukuomba ujipe muda wakusoma, ila usitekeleze pale niliposhauri vibaya maana wewe Kama mkuu wa nchi una macho yanayoona mbali kuliko sisi. Mchana mwema na eid njema.

Kazi iendelee
Nzuri sana sema urefu ni changamoto Mh Rais ikimpendeza aifanyie kazi na hicho kipengele cha mahabusu na Magereza kimenigusa sana ufike wakati mahabusu na wafungwa watambulike kuwa ni binadamu na si wanyama hali ni mbaya sana sana sana
 
Mhe. Rais, nakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwanza nianze kukupongeza kwa nafasi uliyonayo ambayo ni nafasi kubwa kiutawala wa mwanadamu katika Taifa letu. Pili, nikupongeze kwa jitiada zako na kiu yako yakutaka kuiona Tanzania inasonga mbele.

Baada ya salamu naomba kukujulisha mambo yafuatayo si kama kiongozi wako Bali Kama Mtanzania mwenye upeo wa kuona namna nchi inavyokwenda.

1. Kuhusu ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi; Hii Ni ofisi kubwa kiutumishi katika Taifa letu. Ni ofisi iliyokosewa kimuundo na hivyo kuifanya kutokuwa na taarifa sahahihi kuhusu taasisi zilizopo chini yake. Ni ofisi iliyoundwa kwa misingi ya kutoa huduma na kumshauri Mhe. Rais lakini haina nguvu kazi yenye diversity ya mawazo Kama inavyotakiwa. Naomba nikushauri ikikupendeza, na ikimpendeza katiklbu mkuu kiongozi mputie upya muundo wa ofisi ikiwemo upatikanaji wa rasilimali watu. Ni maoni yangu kwamba ofisi hii inapaswa kupata watu kutoka kila sekta ndani ya Utumishi wa Umma, vyombo vya ulinzi na usalama na sekta binafsi. Uwepo wa mchanganyiko wa nguvu kazi hii huku wahusika wakiwa ni watu waliobobea au wenye umairi kwenye sekta zao itakusaidia sana kupata ushauri sahihi kutoka kwa watu sahihi. Kwa Sasa mambo mengi yanafeli kwa sababu wanaounda ofisi hii ni watu walioajiriwa katika ofisi Kama kituo chao Cha Kwanza Cha kazi na wakakulia humo ndani, wakichukua sana wanachukua ndani ya ofisi ya Rais pekee.
Madhara ya mfumo huu na muundo wa Sasa Ni haya yanayotokea Sasa ambapo unafanya uteuzi wa watu usiowajua na pale unapowajua kupitia mitandao unalazimika kutengua uteuzi wao, unapitisha Jambo kwenye baraza la Mawaziri na linakwenda Bungeni Kisha unasaini sheria ikifika kwa wananchi malalamiko yanazidi nk. Hii yote ni matokeo ya kukosekana wadhibiti wa hoja za kisekta katika ofisi ya Katibu mkuu kiongozi. Ni Kama vile hoja hizi zinatoka kwenye wizara Hadi kwako bila kuchujwa na ofisi ya Katibu Mkuu kiongozi ambaye ndiye mshauri wako katika maeneo mengi.

2. Muundo na usimamizi wa vyombo vya dola ; Jukumu kubwa la vyombo vya dola nikulinda nchi, kulinda wananchi, kulinda rasilimali za nchi, kufanya ujasusi wa kiuchumi na kuibua vichocheo vya uchumi ndani au nje ikiwemo masoko pamoja na kumshauri ipasavyo Mhe. Rais aliyepo madarakani na serikali yake. Naomba kukiri kwamba kwa mwonekano wa Sasa wa mambo yanvyokwenda, nchi haina vyombo vya dola vinavyotekeleza majukumu yake na kuyasimamia bali vyombo vyetu vimekuwa vikipokea na kutekeleza majukumu ya wanasiasa ambao kwa muundo wa nchi yetu wengi wao si Wataalamu. Najaribu kuangalia Nani Mwenyekiti wa kamati za ulinzi na usalama Mikoa na wilaya, nabaini wapo akina Nick wa Pili, Joketi, Hapi nk. Hawa watu ndio wamepewa dhamana yakuwasimamia Polisi, usalama, Jeshi nk katika ngazi ya Mkoa na wilaya. Hapa Kuna tatizo la msingi kabisa na hakutakuwa na nidhamu ana Wala hoja za kiusalama hazitajadiliwa kwenye ngazi hizi kwa sababu Wana usalama serious hawana uhakika na usalama wa Taarifa zao. Kinachotokea Sasa hivi ni vyombo vya dola kujikita zaidi kwenye agenda moja tu nayo ni agenda ya kisiasa. Kwa mazingira haya ni vigumu kuwa na vyombo vinavyowaza na kutekeleza majukumu yake.
Lakini katika ngazi ya Kitaifa Hali Ni mbaya zaidi, niwapongeze jeshi la wananchi kwamba Waziri na Katibu mkuu wa Wizara hawaingilii majukumu ya jeshi Bali wanafanya specific task ambazo haziathiri mfumo wa jeshi. Ni tofauti na vyombo vingine, Waziri wa Mambo ya ndani anamkoromea IGP, CGP, CGI nk na Rais asipokuwa makini unaweza ukashangaa Waziri akamfukuza kazi Mkuu wa chombo kwa sababu tu hawaelewani au mkuu wa chombo ana nguvu na anajiamini. Tofauti na Waziri, Katibu mkuu naye ana mamlaka kubwa hivyo hivyo. Hii inakwenda mbali zaidi Hadi kwa vyombo vyetu vya Siri navyo unyenyekevu umekuwa mkubwa Sana kwa wanasiasa na hii inapelekea wakuu wa vyombo kukosa nguvu ya kuzima harakati za wanasiasa au kumshauri Mhe. Rais vyema kabla ya Hali mbaya aidha ya kiuchumi au kiusalama kutokea. Nitoe Rai kwako, wajengee confidence vyombo vya ulinzi na usalama, walinyang'anywa nguvu awamu iliyopita na hadi sasa nguvu hiyo hawana. Nilikuwa nazungumza na mtu mmoja akaniambia zipo wizara ambazo wakuu wa vyombo hawawezi kupendekeza na kuwasilisha wateule wanaotaka kufanya nao kazi kwako anayeleta mapendekezo ni katibu Mkuu wa Wizara. Nikajiuliza, Kama mkuu wa chombo Hana mamlaka yakupanga rasilimali watu ikiwemo kupendekeza majina ni ipi nguvu yake? Lakini pia Kama Katibu mkuu anaweza kupendekeza kuondolewa kwa mteule wako katika eneo flani bila kumshirikisha mkuu wa chombo ni ipi nguvu ya wakuu wa vyombo?

3. Uwepo wa wataka Urais wanaowaza kwamba wanaweza kuliko unavyofanya wewe. Nadhani unatambua kwamba baadhi ya Mawaziri na manaibu Waziri ulionao Wana malengo makubwa sana kisiaasa. Ili watimize malengo yao ni pamoja na kutotilia maanani kukusaidia badala yake wao kwa uzembe kabisa wanarelax na kukuangusha. Nikuombe mama chagua mawaziri wanaotaka kuwatumikia wananchi achana na Mawaziri wanaowaza Urais. Watu wanaposema Mwigulu na Masauni hawakufaa kukaa wizara ya fedha wanamaanisha kwa sababu wanawajua. Lakini pia hao watu wametumika na watu mbalimbali kabla ya kuwa hapo walipo, waliotumika nao ndio wanaowaona performance yao ilivyo chini. Toka umemteua Masauni Hadi leo ukiomba kujua amefanya Nini utashangaa kusikia ajafanya kitu, ukitaka kujua Kama anafanya kazi na Mwigulu kwa umoja utashangaa kusikia Hawa watu hawaelewani kimfumo toka wakiwa huko mambo ya ndani, tuliwashuhudia walivyokuwa wanatifuaana na kuwindana mmoja ashuke mwingine apande. Hawatokaa wakakufaa kwenye nafasi hizo. Ondoa wataka Urais weka wachapa kazi.

4. Mapambano dhidi ya vyama vya upinzani na vuguvugu la Katiba mpya; Mhe. Rais nikuombe chondechonde Bora uonekane mpole au usiyejua majukumu yako kuliko kuanza kupambana na upinzani. Waache wafanye siasa wewe hudumia wananchi. Acha wapige kelele wawezavyo kuhusu Katiba mpya then utaona Kama Ni agenda yakuchukua na kuifanyia kazi au muda wake Bado. Wakiongea toka asubuhi Hadi jioni kuhusu Katiba mpya na wasivunje sheria ni jukumu la viongozi wa CcM kuwaziba mdomo kwa majibizano ya hoja. Wameanza kukuingiza kwenye agenda yao ya Katiba na mwisho wa siku usipowaruhusu wapambane kwa hoja utajikuta nchi inakuwa na sintofahamu, kamatakamata za kutosha na wawekezaji watakoma kuja. Usione mwangwi wa sauti zao ni mdogo, Wana sauti kali Sana na inayosikika kote Duniani. Usiwape nafasi wakuondoe kwenye mstari na Wala huna aja ya kukutana nao chamsingi waruhusu wafanye siasa Kama Katiba inavyotaka, wewe chapa kazi. Wananchi wataamua 2015.

5. Ulinzi na usalama; Nikuombe pamoja na kwamba unakaa na vyombo mara kwa mara safari hii kaa navyo kwa agenda maalumu. Wana changamoto za vitendea kazi na ilo lipo wazi, rejea moto uliowaka Kariakoo. Upo umuhimu wakukaa na vyombo na kuziba mianya ya kiutawala ndani ya vyombo hivyo, kuwapatia vifaa, kuimarisha maslahi yao na kuwatenga na amri za wqnasiasa. Ukiwajengea confidence kila kitu kitakwenda sawia.

6. Mrundikano wa wafungwa na mahabusu pamoja na uboreshaji wa miundombinu ya Magereza. Mhe Rais Kama umewafutia kesi wahujumu uchumi na nchi ipo salama naamini unaweza kumsahuri Jaji mkuu kwamba mahakama isiwajaze watu ndani,. Ofisi ya DPP ina watendaji wazembe Sana, wamekuzwa kuarisha kesi siyo kuruhusu kesi isikilizwe. Wamekuzwa kusema asipewe dhamana kwa sababu ataarobu uchunguzi badala yakukamilisha uchunguzi. Nikuombe utamke neno kwa mahakama iwe na nguvu yakumpinga DPP pale mazingira yanaporuhusu. Tuwe na mahabusu wachache. Lakini pia ikikupendeza kwa sababu unazoona zinafaa basi ongeza wigo wa msamaha wa wafungwa. Kuhusu ukarabati wa Magereza hii naomba iwe agenda na mwelekeze mkuu wa Magereza asimamie upanuzi wa Magereza kwa kutumia wafungwa lakini pia miundombinu iwe na kiwango Cha kimataifa. Tuachane na mentality za kikoloni za kumfanya binadamu anye anapolala tukiamini tunamkomoa kumbe tunawakomoa askari wanaowalinda wafungwa na mahabusu. Tukirekebisha mahabusu zetu automatically na Askari Magereza watatambua umuhimu wakuishi maisha Bora.

7. Huduma za kijamii; Malalamiko kuhusu utoaji wa huduma za afya Ni makubwa sana, watoa huduma wanajisau Sana. Elimu nayo hivyo hivyo usimamizi na umakini umeshuka, maji yamekuwa changamoto, watoa huduma za maji wamegeuka miungu watu. Kudorora kwa huduma kunatokana na wasimamizi uliowateua kutokuwa na nia ya kukusaidia bali wanajisaidia. Nikuombe soma malalamiko kwenye mails za taasisi za umma, soma comments mfano kuhusu ubovu wa huduma za DAWASCO ambao wanakurasa yao hapa JF utagundua Kama watu wanabambikiwa bili za maji na wakaguzi wa hesabu wanabalansi mahesabu yao basi lipo tatizo. Lakini pia taasisi hizi zimekuwa zikitoa huduma kwa kusua sua kwa sababu Mawaziri,makati wakuu, wakuu wa Mikoa na wilaya wapo busy na majukumu binafsi au wamejifungia ofisini. Je uoni ni wakati Sasa kuwaomba eGa wafungue mtandao ambao watu watakuwa wanatupia malalamiko yao Kama ilivyo hapa JF? Hii itwasaidia watendaji hata wakiwa ofisini kuona namna wananchi wanavyoathirika na huduma zao na kuxhukua hatua. Nikuombe utengeneza single window ya kupokea claims publically itakusaidia kujua wapo tunakwama na wapo kuko sawa.

8. Mahusiano ya kimataifa na diplomasia; Mhe. Rais utajubaliana na mimi kwamba Balozi zetu na Wizara ya Mambo ya nje wamelala usingizi wa pono. Suala la uandikishaji wageni wanaoishi nje limekuwa na changamoto kubwa si kwa sababu watu hawataki kujiandikisha kwenye register Kama ulivyoelekeza ukiwa Burundi. Tatizo ni mfumo Duni wa hutoaji huduma unaofanywa na mabolozi wetu. Wanashindwa Nini kushirikiana na eGa wakaongeza kipengele Cha online registration kwa wakaazi wa nchi za nje au pale mtu anaposafiri akafika nchi flani Basi akiwa zake hotelini anaingia kwenye website anafanya registration akitoa taarifa zake binafsi, shuguli yake, muda anaotegemea kukaa kwenye nchi hiyo, shuguli anayofanya na fursa mbalimbali tunazoona zinafaa. Kuweka huduma ya uandikishaji kwenye mtandao itatusaidia Sana kuwajua Watanzania nje na kuwahudumia. Tuache kulala vijana walioajiriwa serikali haya ndiyo majukumu yao, we need reforms ambazo Ni positive. Hii itasaidia Sana kwenye mipango ya uchumi na pia kutusaidia kuwafahamu na kuwasaidia ndugu zetu waliopo nje. Lakini pia Jambo baya zaidi, wizara ya mambo ya nje hawana mobile number ,whatasp number amabayo Watanzania wanaweza kutumia kutoa malalamiko au hoja zao hasa pale wanapokuwa hataririni nje ya nchi. Mhe. Rais jukumu langu kwenye barua hii nikuchokoza mada na kuibua discusion yakukusaidia na kuisaidia nchi yangu kwenda mbele. Mpe task Mama Mulamula aboreshe huduma zake na pelekeni vijana kwenye mabalozi yatu wenye ujuzi, suala lakuweka masecretary ndo watoe huduma ubalozini huku wakiwa hawana uelewe wowote ondokaneni nalo, pelekeni watu kutokana na area of expertise, nakumbuka wakati flan nikiwa ulaya nilishindwa kupata pasipoti ya kielektronic kisa muhudumu wa Ubalozi ajui mahitaji na awezi kufanya kazi kukamilisha maombi na kuyatuma Tanzania ikanilazimu nirudi Tanzania. Nilipofuatilia qualifications za yule mtoa huduma nikagundua Hana sifa ila alipewa shavu na Wizara ya mambo ya nje. Badilikeni Diaspora wanatisubiri tuwaone nao Ni watu

9. Biashara na uchumi; Mama yangu nakuomba hapa niandike machache ila yanayoweza kuliponya Taifa " Dunia kwa miaka mitatu Sasa inamdororo wa uchumi, Mataifa mengi yametengeneza sera na mifumo yakuwainua wafanyabiashara wasifilisike, imewajengea mazingira wananchi wake waweze kupata baadhi ya huduma free nk Sisi Tanzania tupo tofauti, tumetengeneza bajeti yenye tozo nyingi zakuwanyonya wananchi". Naomba nikuulize kwa upole, Kama Walioendelea wanalegeza masharti ya Kodi kuvutia mzunguko wa fedha na kuwawezesha watu wasikimbie sokoni sisi Tanzania tutaamini wananchi wetu fedha wamezitoa wapi? Nakuomba kwenye eneo hili ruhusu washauri wako wa usalama,diplomasia, siasa na uchumi mkae hata siku tatu mjifundie mjadili Dunia mkuihusianisha na Tanzania naamini mtagundua Kuna kosa na mlirekebishe. Lakini pia Kama nilivyoeleza hapo juu, imarisha ofisi ya Katibu Mkuu kiongozi, tengeneza independent security organ zenye confidence na pia weka Wataalamu wa uchumia na biashara ndio wawe Mawaziri achana na wasomi wa uchumi wasio na exposure.

10. Changamoto ya Ajira. Kama nilivyoeleza hapo awali kuhusu matumizi ya tehama kuwatambua Diaspora. Hapa niwaombe Idara ya kazi waachane kabisa na jukumu walilojipa la kushugulikia vibali vya kazi vya wageni huku nikupoteza muda na rasilimali za Taifa. Mgeni Hana aja ya kwenda Labour Kisha Uhamiaji kwa kazi ambayo ingeweza kufanywa na chombo kimoja. Nilifanya utafiti wa kwanini wageni wanalalamikia mfumo wa vibali vya kazi na ukaazi Tanzania , pamoja na urasimu na Rushwa sababu kubwa iliyoonekana nikuwepo kwa ofisi ya kazi iliyotofauti na ofisi ya vibali vya ukaazi . Idara ya kazi imewekeza muda wake kusajili wageni wanaofanya kazi nchini kitu ambacho si jukumu lao la msingi, wao walipaswa kuwa watafiti na wachambuzi wa mahitaji ya ajira nchini na Kisha kuwasiliana na taasisi nyingine kuwapa maeneo yakutilia mkazo kwenye Utoaji ajra. Nikushauri Mhe. Rais kwa kuanza angalia Ni namna gani wageni watashughulikia Kama Ni Uhamiaji Basi labour wafanya clearence bila kulazimisha watu kwenda ofisini kwao na Uhamiaji watoe kibali kimoja tu, hapa Ni kwa ajira kwa wageni.
Kwa watanzainia idara ya kazi iandae kanzidata au website ambayo Watanzania watajiandikisha kuomba kazi, then Idara ya kazi ifungue dawati la kushugulikia upatikanaji wa ajira kwa waajiri kuwasilisha maombi yao ya wafanyakazi, hii itawafanya idara ya kazi iwe msaada kwa Watanzania kuliko ilivyo Sasa ambavyo wanalipwa pesa za mishaara na posho kwa ajili ya kuwataftia wageni ajira hapa nchini.
Unaenda idara ya kazi unakuta wanajua wageni wangapi wanahitaji na wanahitajika sekta gani lakini hawana sehemu wanawasiadia Watanzania kupata huduma Kama hiyo. Mhe. Rais waelekeze Hawa watu wajikite kuwahudumia Watanzania wapate ajira lakini wakusanye data nakukuambia ukubwa wa changamoto ya Ajira nchini kwa Watanzania waache kutumia Kodi zetu kuwataftia kazi wageni.
Watutaftie ajira ndani na nje. Kama taasisi ndogo ndogo zinaweza kuwatafuta wafanyakazi na kuwaunganisha na waajiri kwanini sisi tusiweze?

11. Ulinzi wa rasiliamali za nchi na ukwepaji Kodi. Mhe. Rais nikuombe uimarishe ulinzi hasa wa kimfumo mipakani, weka scaner na imarisha ukaguzi wizi Ni mkubwa. Simamia udhibiti wa mizigo na watu. Imarisha maslahi ya vyombo vyetu mipakani bila kujali udogo na ukubwa mpaka hii itasiadia Sana kudhibiti utoroshaji wa rasilimali zetu na kuingiza bidhaa na vitu visivyofaa. Ukizungumza na wafanyabiashara hasa mipakani huko utabaini hakuna udhibiti unaofanya, lakini pia upo umuhimu wa kuwekeza kwenye mifumo ya TEHAMA katika kukusanya taarifa za mizigo na abiria itakusaidia sana kujua tunavyopigwa. Wekeza kwenye ili eneo litakusaidia kwenye ulinzi wa rasilimali zetu, ishu za gari kutolewa Tanzania kimagendo likaingizwa Zambia Kisha likaja kusajiliwa Tanzania zinapaswa kufa pale utakapofunga mifumo ukaachana na mifumo inayokaa dar es salaam. Juzi nilikusikia ukisema unafungua mipaka ya kigoma, rukwa na katavi. Ni hatua nzuri ila naomba ujue hiyo mipaka watendaji wamelala na sidhani Kama mfano manyovu Kuna hata mfumo wa Kodi wa TRA acha taasisi nyingine. Unapowaza kufungua mipaka hii waza zaidi kuweka mifumo itakayokusiadi kupata taarifa ukiwa popote pale ndani au nje unapoifungua.

Kwa hoja hizi naamini Leo nimeitendea haki siku yangu, nimejiondoa kwenye kundi la wale wazee wastaafu wanaoshiba wakaanza kuikosoa serikali na Sasa nimefanya kazi yakuishauri serikali kwa kuzingatia upeo wangu. Naomba nichukue fursa hii kukuomba ujipe muda wakusoma, ila usitekeleze pale niliposhauri vibaya maana wewe Kama mkuu wa nchi una macho yanayoona mbali kuliko sisi. Mchana mwema na eid njema.

Kazi iendelee
Kuna hoja nzuri na nzito zimetolewa hapa; nina imani Mh Rais atapata muda wa kuusoma uzi huu. Ubarikiwe sana kwa mawazo mema mno na kwa professionalism uliyoionyesha kwenye post yako hii
 
Back
Top Bottom