wadau nilikuwa nauliza eti barua ya maombi ya kazi inayopendekezwa ni ya kuchapa au kuandika kwa mkono. Naomba msaada wenu jamani
andika kwa mkono it more kubamba dan kutype.wadau nilikuwa nauliza eti barua ya maombi ya kazi inayopendekezwa ni ya kuchapa au kuandika kwa mkono. Naomba msaada wenu jamani
Jombaa huyo jmaa alipigwa BAN ya miaka 2 since 2009. Unacheza na jitu INVISIBLE..!wewe unaonaje? Duu Joined 2nd July 2009 one post????
sina jibu kamili coz kuna time nliomba udom kny department nikaambiwa nichape. Lakini kitaa watu wengi wananiambia kwamba niandike kwa mkono, so im on the middle of nowhere so nisaidie if you knowwewe unaonaje? Duu Joined 2nd July 2009 one post????
nlikuwa cjajua utamu wa jf ndo mana nlikuwa kimya..... Ila hiii ni bonge moja la SN.. Sijapigwa ban wala nini na invisiblewewe unaonaje? Duu Joined 2nd July 2009 one post????
hakuna cha BAN wala nini hapaJombaa huyo jmaa alipigwa BAN ya miaka 2 since 2009. Unacheza na jitu INVISIBLE..!
sina jibu kamili coz kuna time nliomba udom kny department nikaambiwa nichape. Lakini kitaa watu wengi wananiambia kwamba niandike kwa mkono, so im on the middle of nowhere so nisaidie if you know
Whether typed or handwritten, the letter should be signed by the applicant