HAZOLE
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 1,551
- 708
wasalaam,
ama baada ya salamu mi ni mzima kabisa.
Nasikitika kuwajulisha kuwa tangu sasa mkija ghetto na kuacha nguo zenu kama vile chupi, kanga, sidilia na nyinginezo mtazikuta majivu.
Pia mambo ya kujisahaulisha picha zenu na kuchomeka kwenye wallet yangu passport size nikiwa bwiii mkome.
Naamini sasa tumeelewana.
Wasalimie sana maboifrendi wenzangu, maana nyie mna ndoo, kidumu hadi jagi na mabilauri pia.
vipi mpango wako wa harusi ya maximum 300 people?? Au nyumba kubwa inabana?