bitare
Senior Member
- Jul 13, 2023
- 197
- 598
Katika mechi ya Klabu bingwa Ulaya maarufu kama UEFA, iliyo chezwa leo tar 10/4/2024 Klabu ya Barcelona imeishangaza PSG Kama si Dunia Kwa ujumla.
Hii Inathibitishwa hata na wataalamu wa soka wenyewe, ambao kabla ya mchezo huo iliwapa PSG %49 ya kushinda huku Barcelona wakipewa %26.
Kikubwa nilicho jifunza nikua Team ya Barcelona licha ya kuwa na wachezaji wenye umri mdogo wengi katika kikosi, ila karibu wote ni wachezaji wenye vipaji, huku PSG Wakitegemea wachezaji kama wa tatu tu wenye majina makubwa, huku wengine wakiwa ni wachezaji wenye uwezo wakawaida.
PSG 2-3 Barcelona.
Hii Inathibitishwa hata na wataalamu wa soka wenyewe, ambao kabla ya mchezo huo iliwapa PSG %49 ya kushinda huku Barcelona wakipewa %26.
Kikubwa nilicho jifunza nikua Team ya Barcelona licha ya kuwa na wachezaji wenye umri mdogo wengi katika kikosi, ila karibu wote ni wachezaji wenye vipaji, huku PSG Wakitegemea wachezaji kama wa tatu tu wenye majina makubwa, huku wengine wakiwa ni wachezaji wenye uwezo wakawaida.
PSG 2-3 Barcelona.