Duduwasha
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,703
- 3,653
Katika kutizama Sherehe za Uhuru nikakerwa nazo Kujimuvuzisha Star Tv Naona Mechi ya Wabunge ta Muungano na Wale wa Baraza la Wawakilishi Ambayo Imedhaminiwa Kwa Ushirikiano wa Super Doll na Serengeti Lager Sikiamini Imekuwaje hilo Baraza la Wawakilishi lililopinga Udhaini wa Pombe Visiwani na wao Wamekubali udhaminiwa nao na Nishani Wamepokea. Bora Wawape nafasi timu zao zidhaminiwe na Hayo makampuni. Wazenji wanavyopinga utadhania hawatumii kumbe kuna walevi wengi na watumia madawa ya kulevya kibao visiwani Hukumu yao siku ya Kiama sijui ni Nini