PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,725
Nimesikia kwenye BBC leo kuwa Baraza la Mawaziri litakaa siku ya Jumamosi hii (12/03/2011)kutathmini hali ya kuporomoka kwa uchumi nchini.
Akiongelea suala hilo, Waziri wa Fedha Mkullo amesema kuwa kuporomoka kwa uchumi kumesababishwa na :
i. uhaba wa chakula nchini,
ii. Kupanda kwa bei ya mafuta
iii. Matatizo ya Umeme.
Je wanajamvi, mnategemea Baraza la Mawaziri litaibuka na hoja gani ya matumaini kwa Watanzania?
Je tunawashauri nini kama altenatives za kiuchumi za ku'boost hali zilizotajwa hapo juu?
Akiongelea suala hilo, Waziri wa Fedha Mkullo amesema kuwa kuporomoka kwa uchumi kumesababishwa na :
i. uhaba wa chakula nchini,
ii. Kupanda kwa bei ya mafuta
iii. Matatizo ya Umeme.
Je wanajamvi, mnategemea Baraza la Mawaziri litaibuka na hoja gani ya matumaini kwa Watanzania?
Je tunawashauri nini kama altenatives za kiuchumi za ku'boost hali zilizotajwa hapo juu?