ibesa mau
JF-Expert Member
- Sep 17, 2015
- 2,109
- 1,692
Wakati anatangaza baraza lake pale alipofika wizara ya fedha akasema bado sijapata waziri naendelea kutafuta. Na wizara ya elimu tena hivyo hivyo , ujenzi tena hivyo hivyo na maliasili tena . Sasa mimi najiuliza hivi nchi hii ina wanaccm milioni 8 wenye kadi na karibu wana ccm milioni 5 wasio na kadi hao wote hujaona mtu. Haya ccm ina wabunge zaidi ya 250 kati ya hao umeshindwa kabisa kupata wa kujaza hizo nafasi ina maana wabunge wote walio salia ni mizigo na viazi. Wanaccm tuliosalia ina maana sis ni vilaza.
Umetuaibisha sana kwa kweli mi nakushauri nenda kaombe wakenya wazibe hizo nafasi kama unaona wabunge wote walio salia ni jamii ya akina kibajaji
Umetuaibisha sana kwa kweli mi nakushauri nenda kaombe wakenya wazibe hizo nafasi kama unaona wabunge wote walio salia ni jamii ya akina kibajaji