Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,175
Leo tuanze kwa baraka kidogo.
Zab ya 19:
12. Ni ani awezaye kuyatambua makosa yake? Unitakase na mambo ya siri
13. Umzuie mtumishi wako asitende mambo ya kiburi, Yasinitawale mimi
Ndipo nitakapokuwa kamili, Nami nitakuwa safi, sina kosa lililo kubwa.
14. Maneno ya kinywa changu, Na mawazo ya moyo wangu, Yakapate kibali mbele zako,
Ee BWANA, Mwamba wangu na mwokozi wangu.
Endelea kidogo hadi Zab ya 20.
1. Bwana akujibu siku ya dhiki, Jina la Mungu wa Yakobo likuinue
2. Akupelekee msaada toka patakatifu pake, Na kukutegemeza toka Sayuni.
3. Azikumbuke sadaka zako zote, Na kuzitakabali dhabihu zako.
4. Akujalie kwa kadiri ya haja ya moyo wako, Na kuyatimiza mashauri yako yote.
5. Na tuushangilie wokovu wako, Kwa jina la Mungu wetu, tuzitweke bendera zetu.
Bwana akutimizie matakwa yako yote.
6. Sasa najua kuwa Bwana amwokoa masihi wake, Atamjibu toka mbingu zake takatifu.
Kwa matendo makuu ya wokovu, Ya mkono wake wa kuume.
Amina, na mbarikiwe sana.
Zab ya 19:
12. Ni ani awezaye kuyatambua makosa yake? Unitakase na mambo ya siri
13. Umzuie mtumishi wako asitende mambo ya kiburi, Yasinitawale mimi
Ndipo nitakapokuwa kamili, Nami nitakuwa safi, sina kosa lililo kubwa.
14. Maneno ya kinywa changu, Na mawazo ya moyo wangu, Yakapate kibali mbele zako,
Ee BWANA, Mwamba wangu na mwokozi wangu.
Endelea kidogo hadi Zab ya 20.
1. Bwana akujibu siku ya dhiki, Jina la Mungu wa Yakobo likuinue
2. Akupelekee msaada toka patakatifu pake, Na kukutegemeza toka Sayuni.
3. Azikumbuke sadaka zako zote, Na kuzitakabali dhabihu zako.
4. Akujalie kwa kadiri ya haja ya moyo wako, Na kuyatimiza mashauri yako yote.
5. Na tuushangilie wokovu wako, Kwa jina la Mungu wetu, tuzitweke bendera zetu.
Bwana akutimizie matakwa yako yote.
6. Sasa najua kuwa Bwana amwokoa masihi wake, Atamjibu toka mbingu zake takatifu.
Kwa matendo makuu ya wokovu, Ya mkono wake wa kuume.
Amina, na mbarikiwe sana.