Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,899
- 4,623
Binafsi mimi ni mtu ambae ninapenda sana manzari nzuri hasa pale inapopambwa na uoto wa asili au miti ya kupandwa pamoja na maua. Dar ilbadilika ghafla na kuwa jiji linalovutia katika barabara zake kwa sababu ya miti na bustani.
Leo hii katika barabara za jiji mh Magofuli ameanzisha kampeni inayoenda kasi ya kukwangua miti yote kando ya barabara ili ati kupanua barabara. Mimi sikubaliani naye kwa sababu siamini kama hizo barabara ni muhimu zaidi ya hiyo miti.
Wa jf tusaidiane ni nini kilsababisha hii miti kuoteshwa mahala ambapo imekuwa ni kwa mda mfupi na ilishindikana je kuoteshwa umbali ambao hata kama barabara zitapanuliwa mara mbili hazitaigusa?
Nimepita morogoro road leo na kwa jinsi miti ilivyokuwa inapukutishwa nimeshindwa kujizuia kuililia, tena nimelia kilio cha kwikwi.
.
Leo hii katika barabara za jiji mh Magofuli ameanzisha kampeni inayoenda kasi ya kukwangua miti yote kando ya barabara ili ati kupanua barabara. Mimi sikubaliani naye kwa sababu siamini kama hizo barabara ni muhimu zaidi ya hiyo miti.
Wa jf tusaidiane ni nini kilsababisha hii miti kuoteshwa mahala ambapo imekuwa ni kwa mda mfupi na ilishindikana je kuoteshwa umbali ambao hata kama barabara zitapanuliwa mara mbili hazitaigusa?
Nimepita morogoro road leo na kwa jinsi miti ilivyokuwa inapukutishwa nimeshindwa kujizuia kuililia, tena nimelia kilio cha kwikwi.
.