CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,920
ha haa haaa haaaaaaa
anaogopa kibarua kitaisha, duh kazi zingine bana
Kachukua per diem za hadi Desemba na keshazila.........akipigwa ban bonge la kimeo
ha haa haaa haaaaaaa
anaogopa kibarua kitaisha, duh kazi zingine bana
PC huwezi login unapata ujumbe server not found nikijaribu JF ila page zingine zinafunguka.
Nimeweza login kwa simu
Ninaamini Malaria Sugu wanamlea sana apewe permanent server ban
Kachukua per diem za hadi Desemba na keshazila.........akipigwa ban bonge la kimeo
Dah..kumbe? Na mimi ni mod au?hauko addicted wewe ila upo kazini humu...
Naona unamsema Invisible..angalia asikupe na wewe IP ban!ha haa haaa haaaaaaa
anaogopa kibarua kitaisha, duh kazi zingine bana
hujambo nanihii
Hebu Invisible amfanyie zoezi tuone atatoka vipi????????????Kachukua per diem za hadi Desemba na keshazila.........akipigwa ban bonge la kimeo
Acha bwana yaani jamaa anamfuatilia kweli!!!!!!!!Kazi zingine kweli noma!!!!!!!!!nimecheka mpaka ofisi nzima wameshituka haaa haaaa....
halafu NAPE alivyo Mhuni amempa na hela achangie JF ili awe Premium Member kabisa..
yaani jamaa anatoa jicho kwenye PC 24/7
Hawawezi kumpata kirahisi maana inawezekana hatumii IP moja, nijuavyo mimi kila msikiti kama una huduma hii una IP yakePC huwezi login unapata ujumbe server not found nikijaribu JF ila page zingine zinafunguka.
Nimeweza login kwa simu
Ninaamini Malaria Sugu wanamlea sana apewe permanent server ban
Jamaa ni noma huyu
Nimeachiwa kwa sasa!