Bebz
Member
- Dec 12, 2011
- 80
- 12
Habari wandugu..
Jamani naomba msaada wenu wanajamvi.
Nimeitwa kwenye interview Bank of Baroda post ya "Credit and Operations" na sina hata idea ya kitu cha banking na nimeunganishiwa tu hiyo kazi bila kujua. Naombeni msaada wenu kujua possible questions related to the post and a bank apart from the general questions.
Jamani naomba msaada wenu wanajamvi.
Nimeitwa kwenye interview Bank of Baroda post ya "Credit and Operations" na sina hata idea ya kitu cha banking na nimeunganishiwa tu hiyo kazi bila kujua. Naombeni msaada wenu kujua possible questions related to the post and a bank apart from the general questions.