Asa mbona we mwenyewe umeandika "linawashalilisheni"🤷🤷Bango hili lipo kwenye Kituo cha Polisi Magogoni Ferry na limeandikwa na Polisi wenyewe.
Bango hili linawadhalilisheni na kuuweka bayana uwezo wenu mdogo wa kuandika.
View attachment 2890445
MALUFUKUKUTUPATAKATA HAPA |-> KA. KITUO CHA POLISI.
Àfande Chiku hebu liondoeni bango hili haraka sana.
Au ndo wale wale form 4 failures😂😂