Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Wakuu
Kama watanzania na watanganyika mnaona je. Nini kinatakiwa kufanyika? au tunashindwa nini kuwa a infunce kubwazaidi ya usafirisha bidhaa za Rwanda na Burudi kupitia tanzania na badala yake zinapitia kenya.
Kutoka kenya kabla ya kufika burundi au Rwanda lazima safari ipitie nchi nyingine(Uganda). Hii kwa tanzania ilitakiwa kuwa faida lakini haionekani hivyo
Kutoka Tanzania kukufika burundi au Rwanda hakutakiwi kuwa na tatizo sababu tuna mipaka na nchi hizo .
Lakini kwa nini bado hizi nchi baadhi ya bidhaa zao zinapitia Mombasa. Kwa zamabia huko nadhani nako bidhaa zao zinazpitia dar zinapungua mwaka hai mwaka.?
nawasilisha kwa mjadala
Kama watanzania na watanganyika mnaona je. Nini kinatakiwa kufanyika? au tunashindwa nini kuwa a infunce kubwazaidi ya usafirisha bidhaa za Rwanda na Burudi kupitia tanzania na badala yake zinapitia kenya.
Kutoka kenya kabla ya kufika burundi au Rwanda lazima safari ipitie nchi nyingine(Uganda). Hii kwa tanzania ilitakiwa kuwa faida lakini haionekani hivyo
Kutoka Tanzania kukufika burundi au Rwanda hakutakiwi kuwa na tatizo sababu tuna mipaka na nchi hizo .
Lakini kwa nini bado hizi nchi baadhi ya bidhaa zao zinapitia Mombasa. Kwa zamabia huko nadhani nako bidhaa zao zinazpitia dar zinapungua mwaka hai mwaka.?
nawasilisha kwa mjadala