Bandari walizokataa wachina zisiendelezwe, tayari zimeshaendelezwa na kupanuliwa

Elitwege

JF-Expert Member
Jun 4, 2017
5,154
10,809
Hata Lowasa alisema wakati wa kampeni 2015 atavunja ujenzi wa bandari ya bagamoyo na mara moja angeanza kujenga na kupanua bandari ya Dar ,Mtwara na Tanga ndicho kitu alichokuja kufanya JPM baada ya kushinda uchaguzi.

Tayari bandari ya Dar imepanuliwa kwa gaharama ya trilioni 1.34 na uwezo wake umeongezeka mara 3 zaidi. Bandari ya Mtwara upanuzi umekamilika kwa gharama ya billion 307 na kuanzia mwaka huu korosho zote za kusini hazitaletwa bandari ya Dar tena ,zote zitasafirishwa kupitia bandari ya mtwara. Mafuta yote ya kusini sasa hivi yanashushwa Mtwara direct.

Bandari ya Tanga kandarasi yupo site.

Je hao wachina wanaotaka kuwekeza bandari ya trillion 23 bagamoyo mizigo wataitoa wapi?
Watapitishia nini hapo?

Urithi siyo majumba na magari tu hata maneno ni urithi pia, yanaweza kuishi miaka 200 ijayo. Hapa JPM ametuachia urithi ,hiyo timu inayofanya mazungumzo lazima wazingatie maneno haya ya JPM kama guidline, wakipuuza makaburi yao yatakuja kufungwa pingu miaka 20 ijayo.

Ndugai wachina walimlipia kila kitu kwenda China kumuonyesha presentation ya jinsi gani mradi wa bagamoyo ulivyo na manufaa kwa Tanzania.!!

Bila shaka kwenye mazungumzo mkataba wa bandari ya bagamoyo utapitiwa upya na kufumua mashariti yote yasiyo na tija kwa nchi yetu.

Ila case study ya miradi kama hii tayari ipo Zambia, Kenya, Siri lanka tunaweza kwenda kujifunza na kurekebisha makosa.

Ngoja tusubiri na kuona.
View attachment 1832046
 
Hujui chochote kuhusu huo mradi wewe mataga, unabwabwaja tu.Maneno ya jiwe si ya kuaminiwa hata kidogo hasa pale ambapo hakipendi kitu.
 
Mzigo wote kutoka China lazima upitishwe kwenye Bandari ya Bagamoyo kwa muda wa miaka 99!!
 
Watuwekee wazi Mkataba na yanayo zungumzwa na hao wawekezaji yawekwe wazi kwa kila anayetaka kujua na kujiridhisha. Wasicheze na kizazi hiki cha Watanzania.
 
Hata Lowasa alisema wakati wa kampeni 2015 atavunja ujenzi wa bandari ya bagamoyo na mara moja angeanza kujenga na kupanua bandari ya Dar ,Mtwara na Tanga ndicho kitu alichokuja kufanya JPM baada ya kushinda uchaguzi.

Tayari bandari ya Dar imepanuliwa kwa gaharama ya trilioni 1.34 na uwezo wake umeongezeka mara 3 zaidi. Bandari ya Mtwara upanuzi umekamilika kwa gharama ya billion 307 na kuanzia mwaka huu korosho zote za kusini hazitaletwa bandari ya Dar tena ,zote zitasafirishwa kupitia bandari ya mtwara. Mafuta yote ya kusini sasa hivi yanashushwa Mtwara direct.

Bandari ya Tanga kandarasi yupo site.

Je hao wachina wanaotaka kuwekeza bandari ya trillion 23 bagamoyo mizigo wataitoa wapi?
Watapitishia nini hapo?

Urithi siyo majumba na magari tu hata maneno ni urithi pia, yanaweza kuishi miaka 200 ijayo. Hapa JPM ametuachia urithi ,hiyo timu inayofanya mazungumzo lazima wazingatie maneno haya ya JPM kama guidline, wakipuuza makaburi yao yatakuja kufungwa pingu miaka 20 ijayo.

Ndugai wachina walimlipia kila kitu kwenda China kumuonyesha presentation ya jinsi gani mradi wa bagamoyo ulivyo na manufaa kwa Tanzania.!!

Bila shaka kwenye mazungumzo mkataba wa bandari ya bagamoyo utapitiwa upya na kufumua mashariti yote yasiyo na tija kwa nchi yetu.

Ila case study ya miradi kama hii tayari ipo Zambia, Kenya, Siri lanka tunaweza kwenda kujifunza na kurekebisha makosa.

Ngoja tusubiri na kuona.
View attachment 1832046
Bwanamkubwa miaka imeenda Bado wewe ni yuleyule!! Kwani umewahi kusoma mradi wenyewe? Maana aim ya mradi ni usafirishaji wa mizigo ya viwanda EPZA ya bagamoyo
 
Hata Lowasa alisema wakati wa kampeni 2015 atavunja ujenzi wa bandari ya bagamoyo na mara moja angeanza kujenga na kupanua bandari ya Dar ,Mtwara na Tanga ndicho kitu alichokuja kufanya JPM baada ya kushinda uchaguzi.

Tayari bandari ya Dar imepanuliwa kwa gaharama ya trilioni 1.34 na uwezo wake umeongezeka mara 3 zaidi. Bandari ya Mtwara upanuzi umekamilika kwa gharama ya billion 307 na kuanzia mwaka huu korosho zote za kusini hazitaletwa bandari ya Dar tena ,zote zitasafirishwa kupitia bandari ya mtwara. Mafuta yote ya kusini sasa hivi yanashushwa Mtwara direct.

Bandari ya Tanga kandarasi yupo site.

Je hao wachina wanaotaka kuwekeza bandari ya trillion 23 bagamoyo mizigo wataitoa wapi?
Watapitishia nini hapo?

Urithi siyo majumba na magari tu hata maneno ni urithi pia, yanaweza kuishi miaka 200 ijayo. Hapa JPM ametuachia urithi ,hiyo timu inayofanya mazungumzo lazima wazingatie maneno haya ya JPM kama guidline, wakipuuza makaburi yao yatakuja kufungwa pingu miaka 20 ijayo.

Ndugai wachina walimlipia kila kitu kwenda China kumuonyesha presentation ya jinsi gani mradi wa bagamoyo ulivyo na manufaa kwa Tanzania.!!

Bila shaka kwenye mazungumzo mkataba wa bandari ya bagamoyo utapitiwa upya na kufumua mashariti yote yasiyo na tija kwa nchi yetu.

Ila case study ya miradi kama hii tayari ipo Zambia, Kenya, Siri lanka tunaweza kwenda kujifunza na kurekebisha makosa.

Ngoja tusubiri na kuona.
View attachment 1832046
Kumbe ni kweli katika mkataba wa Bandari ya Bagamoyo wachina walitaka bandari zingine zisiendelezwe?

Sasa hata kama zimeendelezwa watalala paka tu maana kuna kipengere kingine kinasema mzigo yote itaingia na kutoka kupitia bandari ya Bagamoyo kwa miaka 100

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa uelewa wangu mdogo bandari ya Bagamoyo itakuwa ni more advanced na itakuwa ndio lango kuu la kuingiza mizigo barani.
 
Hata Lowasa alisema wakati wa kampeni 2015 atavunja ujenzi wa bandari ya bagamoyo na mara moja angeanza kujenga na kupanua bandari ya Dar ,Mtwara na Tanga ndicho kitu alichokuja kufanya JPM baada ya kushinda uchaguzi.

Tayari bandari ya Dar imepanuliwa kwa gaharama ya trilioni 1.34 na uwezo wake umeongezeka mara 3 zaidi. Bandari ya Mtwara upanuzi umekamilika kwa gharama ya billion 307 na kuanzia mwaka huu korosho zote za kusini hazitaletwa bandari ya Dar tena ,zote zitasafirishwa kupitia bandari ya mtwara. Mafuta yote ya kusini sasa hivi yanashushwa Mtwara direct.

Bandari ya Tanga kandarasi yupo site.

Je hao wachina wanaotaka kuwekeza bandari ya trillion 23 bagamoyo mizigo wataitoa wapi?
Watapitishia nini hapo?

Urithi siyo majumba na magari tu hata maneno ni urithi pia, yanaweza kuishi miaka 200 ijayo. Hapa JPM ametuachia urithi ,hiyo timu inayofanya mazungumzo lazima wazingatie maneno haya ya JPM kama guidline, wakipuuza makaburi yao yatakuja kufungwa pingu miaka 20 ijayo.

Ndugai wachina walimlipia kila kitu kwenda China kumuonyesha presentation ya jinsi gani mradi wa bagamoyo ulivyo na manufaa kwa Tanzania.!!

Bila shaka kwenye mazungumzo mkataba wa bandari ya bagamoyo utapitiwa upya na kufumua mashariti yote yasiyo na tija kwa nchi yetu.

Ila case study ya miradi kama hii tayari ipo Zambia, Kenya, Siri lanka tunaweza kwenda kujifunza na kurekebisha makosa.

Ngoja tusubiri na kuona.
View attachment 1832046
Ajabu, watakao kupinga bila sababu Wala uelewa wa mkataba tu kwa vile umemtaja jpm
 
Mzigo wote kutoka China lazima upitishwe kwenye Bandari ya Bagamoyo kwa muda wa miaka 99!!
Siyo kutoka china pekee, hata magendo ya kwenda china yakiwemo meno ya tembo na madini bila mamlaka za nchi kuona.......huu ndo uzwazwa uliomo kwenye mkataba huu, yaani wachina wanatengeneza nchi ndani ya nchi.....
 
Siyo kutoka china pekee, hata magendo ya kwenda china yakiwemo meno ya tembo na madini bila mamlaka za nchi kuona.......huu ndo uzwazwa uliomo kwenye mkataba huu, yaani wachina wanatengeneza nchi ndani ya nchi.....
Mwendazake alifanikiwa kuwabrainwash kwa kiwango cha juu sana.
 
Mwendazake alifanikiwa kuwabrainwash kwa kiwango cha juu sana.
Weka hapa unachokijua zaidi ya nilichoongea hapo, siyo unaniletea maneno ya shombo hapa.......sina muda wa kujadili mambo ya kiswahilina.
 
Weka hapa unachokijua zaidi ya nilichoongea hapo, siyo unaniletea maneno ya shombo hapa.......sina muda wa kujadili mambo ya kiswahilina.
Kwaiyo kwenye mkataba kuna kioengele cha bagamoyo iwe nchi ya wachina?

Hizi akili hata bata maji hawezi kuwa nazo.
 
Kwaiyo kwenye mkataba kuna kioengele cha bagamoyo iwe nchi ya wachina?

Hizi akili hata bata maji hawezi kuwa nazo.
Unapotoa mamlaka kwa nchi nyingine iendeshe bandari bila oversight za mamlaka za nchi husika, unaelewa implication zake....au unaleta tu hapa ushabiki maandazi...
 
Unapotoa mamlaka kwa nchi nyingine iendeshe bandari bila oversight za mamlaka za nchi husika, unaelewa implication zake....au unaleta tu hapa ushabiki maandazi...
Vizuri unaweza kuwa umeona huo mkataba.

Tuwekee hiko kipengele na sisi tuone siyo unaleta hisia zako zinazotokana na propaganda.
 
Vizuri unaweza kuwa umeona huo mkataba.

Tuwekee hiko kipengele na sisi tuone siyo unaleta hisia zako zinazotokana na propaganda.
Bandari ni lango la kuingia nchini vyombo vya usalama visikae kimya kwa hili vishauri kwa umakini mkubwa. Viwanja vya ndege, reli, bandari ni maeneo nyeti kwa uwekezaji binafsi duniani kote maslahi ya nchi yatangulizwe.
 
Mafanikio ya Samia ni habari mbaya sana kwa Lisu maana 2025 hana chake tena.

Ccm itaendelea kupeta
Yupo hapo nyumba ya pili, sema Kama umekosa nauli ya kwenda kumwonyesha mtoto unayedai ni wake uchangiwe maana CDM ni wakarimu Sana linapofika suala la kusaidiana! Hivi Huwa unamtaja Mara ngapi kwa kutwa? Huenda jina Lissu ni muhimu sana kwako kuliko jina la Mungu! Aibu eeh!
 
Yupo hapo nyumba ya pili, sema Kama umekosa nauli ya kwenda kumwonyesha mtoto unayedai ni wake uchangiwe maana CDM ni wakarimu Sana linapofika suala la kusaidiana! Hivi Huwa unamtaja Mara ngapi kwa kutwa? Huenda jina Lissu ni muhimu sana kwako kuliko jina la Mungu! Aibu eeh!
Timu gaidi ,sindano za Samia zinawaingia
 
Back
Top Bottom