Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,870
- 155,832
Jana nililiona tangazo la msanii wa maigizo na vichekesho wa siku za nyuma kidogo ambaye amefulia kwa kukosa kabisa ubunifu Bambo.
bambo amechoka, tangazo halieleweki, anaongea lugha ya majuha, anacheza hata sehemu ambayo hakustahili kucheza.
kweli Bambo amefulia mbayaaaaaaa
bambo amechoka, tangazo halieleweki, anaongea lugha ya majuha, anacheza hata sehemu ambayo hakustahili kucheza.
kweli Bambo amefulia mbayaaaaaaa