mapinduzi daima
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 1,725
- 2,698
Wapo WawiliNi zaidi ya wawili; nadhani mwingine ni Mkuu wa Chuo cha Monduli, na mwingine anaongoza kamandi mojawapo ya jeshi.
CoS
NDC Chief
...karibu CoS...CDF
Wapo WawiliNi zaidi ya wawili; nadhani mwingine ni Mkuu wa Chuo cha Monduli, na mwingine anaongoza kamandi mojawapo ya jeshi.
Siku hiz anayumba yumba sana faza etu huyu.Pascal kuna wakati hua unatoka kabisa kwenye reli,sijui kwa nini! Mabeyo wakati anakuwa CDF alikua above 54! Alikua na 60 kabisa huko
Mwinyi, Mkapa na JK, wote kila mmoja wao alikuwa na matatizo yake lakini sio nepotism!.Wakati wa Mwinyi CDF alitoka wapi? Na wakati wa Mkapa je? Seuze JK??
😂😂😂ndo maana nimekupa na pichasikuelewa hapo kwenye nyota kumbe ndio 4 stars za Pascal Mayalla alizokuwa ananiambia
Huyu Bwana ni Mrangi wa Kondoa Irangi. Siyo Mzazibari.Zanzibar Sehem gan
General ni next rank baada ya luten general
Ni mrangi. Na ni mstaarabu mtu wa imani sana. Hana miyeyushoMaza anamjengea CV usijeshangaa, ngoja uone na kama ana asili ya visiwani basi "imeisha hiyoo" alisikika Kidagaa
😂😂😂😂😂😂😂
Hizi rank ni za zamaniMbona sioni 4 stars hapo naona 3 tuView attachment 2255070
Huyo jamaa sijui Naninani Village alinikera sana alipokatishia stori njiani!Huyu fala aliharibu stori nzima 🤣 🤣
Imeisha hiyoo........ Hii ilikuwa namna ya jamaa kumaliza stori wala haikukatishwa na Kidagaa 🤣 🤣 🤣Huyo jamaa sijui Naninani Village alinikera sana alipokatishia stori njiani!
Yaan Hawa wanasiasa ni wanafik na wapuzi kweli. Mwanajeshi na diplomasia wapi na wapi. Hivi hanma watu waliosomea udiplomasia wakawa wanapewa hivi vyeo Hadi wanajeshi. Mwanajeshi lini akajua kutangaza furusa zilizopo nchin kweliBalozi wa Tanzania Nchini Uturuki anaitwa Luten General Yacoub Mohamed
.
Asanteni Sana Wakuu
View attachment 2254455
Ahahahaha!Imeisha hiyoo........ Hii ilikuwa namna ya jamaa kumaliza stori wala haikukatishwa na Kidagaa 🤣 🤣 🤣
Tuhuza za nepotism kwa Kikwete zilikuwepo sana tu,sema Kikwete kilichokua kinambeba ni udogo wa kabila lake, hakuwa na watu wengi waliomzunguka! Hakuwa na watu wengi sana! Mfano Mnikulu Bwana Ngulumo,na Dada mmoja alikua CEO wa TACAIDS kama sijakosea! Tena alikua anaitwa kabisa somebody Dr Mrisho! Kwa Mkapa siwezi kujua sana kipindi hicho nilikua mdogo sana,hadi Mkapa anamaliza muda wake nilikua secondary,form six!Mkuu Bususwa , kwanza enzi za Mr. Clean, au Mkwere, uliwahi kusikia tuhuma zozote za nepotism?. Lakini alipoingia tuu Bulaza, tuhuma hizi zikaanza kuvurumishiwa, kwanza akina sisi tulimtetea Tuhuma za Ukabila: Wasukuma si Miongoni mwa Makabila yenye Ukabila, tatizo ndio walio wengi! lakini zilipozidi hadi watu wakaanza kuleta ushahidi wa facts, akina sisi Tulitoa wito Wito kwa Bunge letu tukufu: Mkithibisha hii Nepotism ya ajabu na zile Boeing ni TT, then hatufai!.
P
Yacoub Mohammed anatoka Zanzibar?Mkuu JokaKuu, duh...!. Baada ya Mwamunyange kufikia retirement age, Blaza akamgomea kwa hoja ya hakuna replacement muafaka, hivyo akaongezwa muda ili grooming ifanywe, the usual grooming ni kwa young juniors into seniors, kama umri uliishasonga vile?!, that means, inawezekana zile tuhuma za nepotism ni kweli na labda kuna kaji nepotism kadogo hapo kali play a role!. That being the case, hakuna ubaya na tukapata CDF kutoka upande wa pili, Mama has the right to have someone she can be very comfortable with. Enzi za Mwalimu, hawa jamaa walitoka Mara, CinC alipotoka Usukumani, CDF akawa Msukuma!, hivyo sasa maadam CinC ni kutoka Zanzibar, hakuna ubaya wowote tukawa na CDF kutoka Zanzibar as long as ana sifa stahiki na anakidhi vigezo vyote!.
P
To me sio lazima atoke Zanzibar, bali Tanzania kumpata CDF wa pili mwenye jina la kiashiria cha upande mwingine baada ya Abdalah!. Hii itajibu hoja hii Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu?. Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine?Yacoub Mohammed anatoka Zanzibar?
Huyo ndiye CDF mtarajiwa na ndiye aliyepaswa kuwa cdf kabla ya mabeyo.CDF kaishapatikana acheni ulozi