Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
Jana kwenye sherehe ya jirani yangu nilikuwa na Mjumbe wa shina wa CCM. Mwaka 2010, baada ya Dk Batilda kushindwa na Lema ktk ubunge, alisikitika sana na kudai kuwa kama Batilda angeshinda, basi angemalizia nyumba yake (angepata pesa nyingi!).
Jana nikataka kujua maoni yake kuh kuengulewa kwa Lema na Mahakama.
Alichonijibu kilinishtua sana! Anasema hata uchaguzi urudiwe wao (CCM) hawatashinda, alienda mbali zaidi kuwa ukirudiwa atawapigia CDM kura lkn bendera ya CCM ataiacha iendelee kupepea nyumbani.
Jana nikataka kujua maoni yake kuh kuengulewa kwa Lema na Mahakama.
Alichonijibu kilinishtua sana! Anasema hata uchaguzi urudiwe wao (CCM) hawatashinda, alienda mbali zaidi kuwa ukirudiwa atawapigia CDM kura lkn bendera ya CCM ataiacha iendelee kupepea nyumbani.