Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,743
Huyu si ndiye balozi aliyeenda South Africa badala ya kuwawakilisha nchi he ended up representing himself kwa maslahi yake binausi?
Mkuu watu wengi hilo wanalijua sana, nilipo ona CV mwanzo sikuelewa mleta taarifa hii alikuwa na maana GANI; hivi anafikili watanzania hilo hatulijuhi?