KakindoMaster
JF-Expert Member
- Dec 5, 2006
- 1,356
- 88
Simple
Familia kama wanajua hajafa si wamese? Au Balali mwenyewe si ajitokeze, hata kama yuko kwenye mapango ya torabora? Vinginevyo kimya chote wakati akijua kuwa hana kosa, sisi tutaendlea kuamini tunayoyasikia sasa kuwa tayari hatunaye tena.
Kwani si ameisha sikia kuwa hakuna mwenye shida naye?
Familia kama wanajua hajafa si wamese? Au Balali mwenyewe si ajitokeze, hata kama yuko kwenye mapango ya torabora? Vinginevyo kimya chote wakati akijua kuwa hana kosa, sisi tutaendlea kuamini tunayoyasikia sasa kuwa tayari hatunaye tena.
Kwani si ameisha sikia kuwa hakuna mwenye shida naye?