BAKWATA yatangaza rasmi waislam kugomea sensa!

Kweli ngozi nyeusi ni masikini kabisa kwa akili.. naheshimu michango yako hapa JF,lakini hii ni imenikwaza sana!
Imekukwaza kwa sababu ya ngozi nyeusi sio? Thats exactly maana ya sensa tujuje ngozi nyeusi ngapi, na wee ulo elimika pia uhesabiwe.
Wee weka mawazo yako maana hapa naona watu mnakuja kuponda tu halafu hatufahamu mnavyofahamu kuhusu sensa, nini umuhimu na sababu za kufanya sensa nchi yoyote ile duniani. Hlafu tutapima nani mwenye kueleza la maana ni ngozi nyeusi au nyeupe. Wengine tutajifunza pia lakini sii kuinga tu kwa sababu unaogopa matokeo.
 
Bwana wa WHO,

ddition cost ipi wakati registers zipo since zamani zina rekodi za waumini muda mrefu kwanini wasizitumie kuverify?

Yes dude I have a PhD ya economics tena from top three universities in the World!!! na Masters from top 4 universities in the world. Call me arrogant I considered it confidence as I clearly know what I am talking about kadanganye wengine dude sio sisi Adios!!! Asante sana kwa kunilinganisha na Sheikh Ponda ila sijamfikia yeye kwani amesoma sana dini mie uislamu wangu wa kuungaunga ila inshallah nitamfikia siku moja ila nakushukuru sana maana hiyo kiwango kikubwa sana cha wadhifa!

For the record.....am NOT working for WHO, I published in the WHO Bulletins! Am not a PhD holder, but am working on it...Najua 'uDini' umefunika hoja zako mpaka kuaibisha taaluma yako, na unapodhani sheikh Ponda ni bora kuliko wewe katika masuala technical (maana hili la sensa ni purely technical ila kuna watu wachache wanataka libebe sura ya kiDini kwa manufaa wanayoyajua wenyewe)..na bado unatamba una masters na PhD za top uinversities...again, waTanzania kazi tunayo!
 
Hakika hilo ndilo lengo kuu la ndugu zetu hawa, lengo lao kubwa ni kuanza kudai Ukanda mzima wa Pwani kuanzia Tanga mpaka Mtwara kuendeshwe kwa Sharia za Kiislamu, na mikoa kama Kigoma na Kagera pia iendeshwe kwa Sharia. Kama sivo boko Haramu (UAMSHO) wanaanza kulipua na huku bara jamaa sasa hivi wamejipanga kinoma kujirilipua watoe sadaka... Kama wanavyotoa huko Somalia na Nigeria
Wengi mnapindisha pindisha! Lakini lengo kuu la kujua idadi yao ni kutaka kuibadili nchi iwe ya kiislamu, wakishajua idadi yao wataanzisha lingine la kutaka ipigwe kura ya kutaka nchi iwe ya kiislamu au la na hapo ndiyo katiba mpya inafuata. Mark my words!!
 
Imekukwaza kwa sababu ya ngozi nyeusi sio? Thats exactly maana ya sensa tujuje ngozi nyeusi ngapi, na wee ulo elimika pia uhesabiwe.
Wee weka mawazo yako maana hapa naona watu mnakuja kuponda tu halafu hatufahamu mnavyofahamu kuhusu sensa, nini umuhimu na sababu za kufanya sensa nchi yoyote ile duniani. Hlafu tutapima nani mwenye kueleza la maana ni ngozi nyeusi au nyeupe. Wengine tutajifunza pia lakini sii kuinga tu kwa sababu unaogopa matokeo.

Nimeyapenda maoni yako juu ya sensa kuhusisha kipengele cha udini. Nahisi hofu ya Watanganyika wengi ni juu ya madai mbalimbali ya hila yanayofanywa na Waislamu katika Tanzania. Tangu kuanza kwa democrasia hapa nchini kumekuwa na vuguvugu la uamsho la udini katika nchi yetu hii ya Tanganyika. Huku mengi ya yaliyotokea ndiyo yameondoa hali ya umoja, upendo na mshikamano katika nchi hii. Mimi nakumbuka enzi zile za utoto wangu nilikuwa radhi kumpelekea mwislamu kuku wangu au kitoeo changu anichinjie lakini niilipobaini jinsi wanvyooniona katika hali ya utu wangu ni kaamua kamwe hakauna kufanya hivyo. Ule udugu uliokuwepo haupo tena katika mioyo yetu bali upo machoni tu huu ndio ukweli. Mimi napenda suala la udini liingizwe kwenye dodoso ili jamaa zangu waweze kudai vizuri mfumo wa sharia kwa baadhi yta mikoa hapa Tanganyika iwe kama Zanzibar na hili ndilo lililoko nyuma ya pazia. We subiri uamsho watazidi kuamsha maana ndiyo walioko yuma ya hili pia na wanafadhiliwa na viongozi wetu. Wacha watu wahesabiwe ili iwe rahisi kujua nani ni nani katika Tanganyika yetu.
 
Nimeyapenda maoni yako juu ya sensa kuhusisha kipengele cha udini. Nahisi hofu ya Watanganyika wengi ni juu ya madai mbalimbali ya hila yanayofanywa na Waislamu katika Tanzania. Tangu kuanza kwa democrasia hapa nchini kumekuwa na vuguvugu la uamsho la udini katika nchi yetu hii ya Tanganyika. Huku mengi ya yaliyotokea ndiyo yameondoa hali ya umoja, upendo na mshikamano katika nchi hii. Mimi nakumbuka enzi zile za utoto wangu nilikuwa radhi kumpelekea mwislamu kuku wangu au kitoeo changu anichinjie lakini niilipobaini jinsi wanvyooniona katika hali ya utu wangu ni kaamua kamwe hakauna kufanya hivyo. Ule udugu uliokuwepo haupo tena katika mioyo yetu bali upo machoni tu huu ndio ukweli. Mimi napenda suala la udini liingizwe kwenye dodoso ili jamaa zangu waweze kudai vizuri mfumo wa sharia kwa baadhi yta mikoa hapa Tanganyika iwe kama Zanzibar na hili ndilo lililoko nyuma ya pazia. We subiri uamsho watazidi kuamsha maana ndiyo walioko yuma ya hili pia na wanafadhiliwa na viongozi wetu. Wacha watu wahesabiwe ili iwe rahisi kujua nani ni nani katika Tanganyika yetu.
Duh, mkuu umenikumbusha mbali aise, enzi hizo bwana tulikuwa tunathaminiana bila kuona huyu ni bora zaidi ya huyu, I once did that way too!! Lakini sasa sijui kama kuna hilo tena!
 
Ndo matatizo ya kuwachagua viongozi wa dini ambao vilaza, badala ya kuimiza wafuasi wa dini yao wakazane katika elimu, shughuli za maendeleo, kumjua Mungu wa kweli n.k hao wanakomaa na ujinga ujinga tu kila siku. Hicho kipengele kitawasaidia nini katika sensa ya watu na makazi?

Wakitaka kujua idadi yao wawatangazie waumini wa kiislamu siku fulani wakusanyike kwenye misikiti yao nchi nzima na waanze kuwahesabu halafu wapate idadi yao Haiingii akilini hela za kodi ya serikali ambazo zinakusanywa kutoka dini mbalimbali na hata wasio na dini halafu mashehe ubwabwa wailazimishe serikali itumie fedha hizo kwaajili ya ajenda na matakwa ya mashehe ubwabwa.

Kwani kama mtu ukipeleka ombi la aina fulani kwa mtu lazima likubaliwe? hawajui kuwa unapoomba kuna kukubaliwa au kukataliwa, kwanini wajifanye wanashangaa ombi lao kutoingizwa katika sensa?. Waende zao huko wasilete utoto wao hapa!!!!

Hebu tueleze Nini MoU iliopo kati ya serikali na kanisa hapa tanzania. Ile sio hela ya kodi ya raia wote!!! Lakini najua sababu watu waliosomeshwa na hela za MoU utawajua tu. Hata wakieleweshwa hawaelewi. Nadhani hii inatokana na hela walizosomeshewa ni za dhulma. Tunajua siku zote Maaskofu wakisema nyeusi basi hata kama nyeupe mtakubali. jambo hili hili la sensa maaskofu wakilikubali basi nyote mtalikubali. ovyo!!! Hebu soma hii nukuu;

“ To arrive at the truth in all things, we ought always to be ready to believe that what seems to uswhite, is black, if the hierarchical church so defines”. Saint Ignatius Loyola, founder of the
Roman Catholic Jesuit Order in his Spiritual Exercise.
 
Mi najiuiliza, kama waislam wanataka kujua wako wangapi kwa nini wasifanye sensa ya kwao kama ambavyo wakristo hufanya!? wanataka kutumia mgongo wa sensa ya serikali kujijua wako wangapi! watumie gharama zao wenyewe... Serikali yetu hii haina dini! Kuweni wastaarabu nyie, mnataka serikali itumie kodi zetu kuwahesabu nyie? Mbona nyie walalamishi sana?.

serikali yetu haina dini !!!! si kweli hebu soma hii hapa;

After Eid prayers on 29 January 1998 Muslims at the Mwembechai mosque held an Eid Baraza. The Baraza discussed the recent government ruling on Eid prayers. Later, Muslims went on with the usual Eid festivities of visiting friends and enjoying sumptuous meals. On that day there was inter-religious dialogue neither at Mwembechai nor Mtambani. However, a week later, on 8 February, 1998 Padre Camillius Lwambano of the Mburahati parish in Dar es Salaam said that on Eid day he passed by Mtambani mosque in Kinondoni and Mwembechai mosque in Magomeni and heard how “The Lord Jesus Christ was being ridiculed by Muslim preachers in their public lectures.” His emotionally-charged claims were broadcast over Radio Tumaini, which is owned and run by the Roman Catholic Church. Padre Lwambano denounced the government for giving empty promises on the issue of Muslim preachers. He gave the government two alternatives: to ban blasphemous public talks and take severe measures against Muslim preachers; or to make a public admission of its failure to put an end to blasphemy in the country. That was Sunday, 8 February, 1998.

On the following day the government issued a two-pronged statement. In the first part, all Christians in the country were asked to accept the government’s sincere apology for the deep religious anguish they went through on Eid day. In the second part the government promised to take stern measures against all Muslim preachers who organised the blasphemous talks on that day. The statement was issued by the Dar es Salaam Regional Commissioner, Lt. Yusuf Makamba. That was Monday, 9 February, 1998. On the following day the Dar es Salaam Regional Police Commander, Mr. Alfred Gewe issued another statementwhich was actually a footnote to the government statement of the previous day. Mr. Gewe emphasised that the government measures would be very harsh and far-reaching. That was Tuesday, 10 February, 1998. After nightfall on the same day the arrest of Muslim leaders began. The Imams of Mtambani, Kibo and Mwenge mosques were taken out of their houses and arrested in the small hours of the morning. On 11February, 1998 a large contingent of armed policemen surrounded Ubungo Islamic High school at midnight, and unnecessarily harassed the students and teachers. They said they were looking for Sheikh Shaaban Magezi, a Muslim preacher of comparative religion. They were told that Sheikh Magezi was neither an employee of the school nor a student. And of course they did not find Magezi in the school premises. To keep themselves busy, they decided to storm into the neighbouring house of an old man, Sheikh Abdulrahman Kileo. They harassed him and his wife, Mama Zainabu. They searched his house for about two hours, they found nothing of interest and left.

Around 3.00 p.m. in the afternoon of Thursday 12 February, 1998 a group of about twelve uniformed and armed policemen raided Mwembechai mosque and abducted Sheikh Shaaban Magezi who was chatting with friends outside the mosque. There was no public lecture on that day, and except for the people who were offering prayers inside the mosque, there was no public gathering at the area. Within an hour after Sheikh Magezi’s abduction, a large band of policemen, including the para-military police force surrounded the mosque. As the whole mosque was cordoned off by heavily armed policemen, Muslims who were praying inside the mosque, fearing that they might be attacked, decided to remain in the mosque. As one of them said later, “We could not risk coming out of the mosque, because the police could maim us and then claim we had attacked or provoked them. We believed by staying inside the mosque no one could accuse us of having provoked or attacked them.” Their guess was wrong. Around 8.00 p.m. more armed policemen were brought to the area. The situation became tense and many passers-by were arrested. Around 1.00 a.m. the government ordered the Tanzania Electrical Supply Company (TANESCO) to cut power supply in the mosque. When the whole area was plunged into pitch darkness the policemen threw irritant and tear gas bombs into the mosque. People who were in the mosque were confused. At that point the policemen broke into the mosque and beat up the Muslims and dragged them into the police vans. In that operation many Muslims, especially old men and women sustained heavy injuries. By daybreak the government had discovered that the majority of those arrested and injured were very old Muslim women. Why did the government order its police force to storm into the mosque and beat up innocent worshippers? What was their crime? An explanation had to be found. In the morning the Minister for Home Affairs, Mr. Ali Ameir as well as the Dar es Salaam Regional Police Commander, Mr. Alfred Gewe issued a statement that the government ordered a power black out and a police raid into the Mwembechai mosque because it was suspected that some “ruffians and criminals” had taken refuge inside it.

On Friday, 13 February, 1998 the entire Mwembechai area was infested with plain clothes policemen. The large presence of policemen intensified the fear of Mwembechai residents and especially of Muslims who were going for Friday prayers at Mwembechai mosque with the previous night’s crackdown still very fresh in their minds. Nevertheless, Muslims turned out in great numbers. They cleaned the mosque which was besplattered with blood puddles and other stains. The Friday prayers were conducted without incident. After the prayers the Imam informed the Muslims of what had happened the previous night. Among other things he told them that many old Muslim men and women were arrested and were still being held by the police. They deliberated on the matter and decided that their immediate attention should be on bailing out those who were taken into police custody. It was decided that all those who had their Identity Cards with them should together go to the police station to apply on bail the release of their fellow Muslims who were apprehended the day before. This discussion was public and the police were fully aware of what was decided. When Muslims came out of the mosque and started going to the police station as agreed upon, they were without any warning attacked by the police and many more were arrested, thrown into police vans and driven away. Confusion ensued. A large contingent of policemen from the Field Force Unit was brought in. They immediately and indiscriminately started beating up people around the Mwembechai area and throwing teargas bombs in the streets. And as this was going on more and more people were being arrested. The brutality of the police provoked the anger of the people, including non-Muslims. They started throwing stones to the police. The police responded by opening fire on the people. And as we have already pointed out above, the commanders specifically ordered the policemen to shoot and kill.

From Mwembechai Killings and The Political Future Of Tanzania By Prof. Njozi.
 
Mkuu wangu kwanza nakuomba usiniweke maneno ambayo mimi sijayasema. Hakuna mahala nimesema Marekani wanafanya sensa kwa kufuata Ukatoliki.. Sensa ni ukusanyaji wa takwimu wa wananchi wanaoishi ktk nchi hiyo iwe hata Saudia au China. Pengine mnachukulia swala la economics juu juu tu kwa fikra za kuwa watu wote sawa wakati hakuna usawa ktk fikra na hulka za kila mmoja wetu isipokuwa sheria ndio hutazama usawa huo na kuulinda baada ya kuhesabiwa.

Hivyo jibu langu kwako kuhusu Marekani, ni kwamba wao hawahesabu watu kwa sababu ya Ukristu au Ukatoliki wao. Siamini hivyo na wala hakunakitu hicho ila wanahesabu WATU kwa sababu mfumo mzima wa Ubepari unatofautiana na UJAMAA ktk kutambua MTU ni nani.. sisi ktk Ujamaa tunajificha nyuma ya pazia wakati wao wanakuwa open UWAZI kutambua na kumdefine MTU ktk kumhesabu maana Hata Mungu mwenyewe katuumba sisi tofauti kwa nini hakutuumba sote tuwe na sura moja, umbo moja, lugha moja na kadhalika.. Na kwa imani ya dini yangu imenambia ya kwamba Mungu alituumba kwa tofauti hizi ili TUTAMBUANE yaani hizi tofauti ndizo ID ya kila mmoja wetu. Unapowahesabu watu kwa nini uziache?.. Sasa Mnataka kusema Mungu mjinga kuweka alama zote hizi ili tutambueane? Na kama sii swala la Kutambuana nambieni UMUHIMU wa sensa?.. hamtaki hadi sasa hivi.

Nasisitiza tena ya kwamba ni muhimu tukubali kwanza tofauti zetu, kisha sheria itaweza kulinda na kutambuliwa haki za hao waliohesabiwa hata iwe ktk ibada zao. Upebari unakubali usawa wa binadamu kwa lengo la kulinda haki za watu wote na sii usawa wa mgao wa keki maana sisi sote hatuna ashiki sawa, matamanio sawa, matumbo sawa wala njaa sawa!.. ila inakuhakikishia kukaa mezani maana umehesabiwa ua utalindwa.
UJAMAA unalazimisha watu wote tuwe sawa wakati hakuna usawa huo kifikra. nchi zote za kijamaa zine fail kutokana na kutokubali ukweli huu na ndio maana kuna ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu China, Russia, na nchi zote za kijamaa kuliko nchi za Kibepari. This is the main reason Ujamaa ulishindwa kutambua tofauti za binadamu kwanza na hivyo kuwalazimisha watu kuamini usawa ambao haupo na hivyo tukashindwa kulinda haki za wanyonge baina yetu.

Tumepumbazwa na mchanganyiko wa siasa za Kijamaa na Kibepari, lakini binafsi nimeweza kuelewa matumizi mabaya ya fikra hizi ktk jumuiya zetu na mazngira yetu. Wenye nchi (CCM) wanaendelea kuogopewa, kuheshimika kiasi kwamba hadi kesho wana uhakika wa wataendelea kushika madaraka na wao tu ndio haki ya kugawanya na kugawana keki ya taifa kwa sababu sheria zipo kuwalinda wao.

Mnapinga kuweka kipengele cha dini lakini kila mmoja wetu dini yake (what U believe in) kuwa MUHIMU kuliko vitu vingine vyote, tena naweza sema yawezekana kuwa muhimu zaidi kuliko hata rangi, jinsia, kabila au Uraia wa kila mmoja wetu hapa - Kwa nini tusihesabiwe?..Swala la kufikiria hizi dini zimekuja kwa nini ni swala lile lile la kujiuliza mengi hata maendeleo yenyewe unaweza kuyakana kama utapenda kwenda deep intensio ya maendeleo. It's all about money, utajiri biashara na huwezi kuzungumzia maendeleo pasipo Utajiri au money - The end justifies the means..

Kifupi kuna tofauti ndogo sana kati ya Utawala wa Kifalme na ule wa KIJAMAA ambao unatambua kundi fulani la watu kama Royal families na wanaheshimika hadi kesho. Katika Ujamaa kuna wenye nchi ambao ndio wa kwanza kwenye mgawanyo wa keki ya Taifa,. utaona tunapeana madaraka, kupeana kazi kwa kigezo cha nasaba.. Utaulizwa wewe mtoto na nani? aaaah Mkandara yule wa Chuo kikuu? nikisema hapana basi nimeshindwa interview..Hii yote ni kutokubali ukweli kwamba vita ya Udini na Ukabila inawezeshwa na ukweli ktk kulinda haki za wale wanaopuuzwa.

Na labda nikukumbushe tu ya kwamba kinachonichefua mimi hapa JF ni pale kila swala huchukuliwa Udini, ni rahisi mtu kuuliza dini ina faida gani ktk maendeleo ya nchi lakini mtu huyo huyo amepinga wazo hili kwa sababu alosema ni Muislaam. Na nikasema kama angekuwa Pengo ungesikia wakristu wote wamejipanga nyuma yake na Waislaam kuanza kupinga hoja hiyo. Jiulize kwa nini kila kinachofanyika nchini kinatazamwa kwa jicho la Udini, why wamesema Waislaam imekuwa issue kubwa hapa JF wakati wanahesabiwa pia wakristu, wapagani na Hindu na Krishna!.. au hofu yenu kubwa ni pale ikijulikana Waislaam ni wengi itakuwa kero na shida nyingine kutokana na siasa za mafichoni? elezeni hofu yenu halafu tutaipima yenyewe na sio kutaka kujua faida ya kuwepo dini ikiwa lengo ni kuweka takwimu za WATU na sio NCHI.

Uchambuzi ni mahiri sana nimeupenda sana.

Hakika inahijaji wengi wa watu miongoni mwenu kupunguza USHABIKI ima wa kiimani au hata kisiasa katika suala muhimu kama hili. Ni vizuri kuhakikisha unalitazama kwa jicho sahihi kabisa na kutazama faida zake kama unavyoweza kutazama suala la jinsia, ulemavu au umri katika suala zima la sensa ya idadi ya watu na makaazi.

Nafikiri kama mtapunguza USHABIKI suala ni muhimu na hakuna sababu ya kulipinga. Yote ni kwa ajili ya kupanga maendeleo ya nchi yenu.

 
Kujua idadi yao sio dhambi, lakini sidhani kama ni sahihi wao kulazimisha serikali iwafanyie kazi hiyo. Waandae utaratibu wao na wafanye sensa yao.
 
Mkandara na Shukuru kwa Majibu yako yasio jazba , pamoja na Mdondoaji, lakini kilicho cha msingi , mtu anapo fanya sensa anakuwa na malengo yake, sasa serikali ya Tanzania katika kuweka malengo yake imeona suala la dini sio halipunguzi au kuongezea uwezo wake wa kufanya mipango ya maendeleo, sasa naomba nyinyi mnipe kitu ambacho kinapungua kwa kutojua idadi ya waumini wa dini mbali mbali.
 
Religious Affiliation - Tolerance and Tension: Islam and Christianity in Sub-Saharan Africa - Pew Forum on Religion & Public Life

T654MK8Vpx+sPDPtHyvxETEnlvWwAAAAAElFTkSuQmCC
 
Tatizo letu ni kwamba Bakwata inaongozwa na watu ambao elimu yao ni ndogo sana, tofauti na wenzetu waKristo ambao Wachungaji na Maaskofu wana degree za uzamivu hadi PhD. Kwetu ukiwa msomi hufui dafu kupata cheo BAKWATA! Tubadilike jamani.
 
Ingekuwa serikali haipang sera za maendeleo kwa kuangalia dini basi isingekuwa inayapa makanisa pesa za kuendesha mahospitali na mashule.Ingefanya shughuli hizi yenyewe lakin mbona inawapa wakristo.Uwe na akili

Jaribu kutafuta ukweli kabla hujasema maana mwisho utaonekana una jazba.Hivi serikali ina fungu special kwa makanisa?Tafuta ukweli ukoje.Serikali ina makubaliano na mashirika ya Dini(hata dini yako inahusika kama itakidhi vigezo)kushirikiana kutoa huduma za afya kwa wananchi mahali ambapo serikali haijitoshelezi kutoa huduma hizo.Na uzuri inatoa huduma bila upendeleo wa kidini.Sasa ubaya upo wapi?Hebu fikiria bila haya mashirika ya Dini wangapi wangekosa huduma za afya katika maeneo yao?Kweli nimeamini fadhila mfadhili mbuzi!!!!!!!
 
sensa ya mwaka 1957 ya kikoloni kipengele cha kuonesha dini kilikuwepo na ndio kinachoonesha takwimu waislamu wangapi na wakristo wangapi, na ukiangalia mwaka huo 1957 waislamu walikuwa ni 65%.

Baada ya hapo sensa zote zilizofuata kipengele cha dini kilifutwa; ajabu leo hii watu wanasema wakristo wapo wengi kuliko waislamu kwa takwimu zipi ikiwa kipengele cha kuorodhesha watu dini zao hakipo.

Pili ni kwanini wanaogopa kuhesabu watu kwa kutumia kigezo cha dini? Wengi watasema wanaogopa udini, hii hoja ni dhaifu maana nchi nyingi duniani sensa zinahebabiwa kwa mtindo wakujua idadi ya watu na dini zao ni asilimia ngapi katika nchi hizo.

***** huu kidi za nini katika mambo ya kitaifa...huko uganda na uingereza serikali zao zilikuwa na kazi na takwimu hizo hapa kwetu hazina kazi yeyote kwa sasa labda kama ikifika wakati wake wa kuhitajika..waislam kama jibu mnalo kwamba mko wengi mnataka nini sasa?hamna njia zingine za kuhakiki takwimu zenu? Aya nyinyi kwanza mnaowa wanawake kibao na watoto kibao sasa shida yenu ni nini?nendeni wizara ya afya muombe kibali cha kupitia vitabu vyote vya takwimu maana hakuna mtu hajawahi kwenda hospital na hospital wana kipendele cha dini!!!!nahisi kama nyinyi ni wa kuelewa basi mmenielewa
 
Mkuu,

Nimejaribu kuwatoa ukoko wa faida za kipengele cha dini katika sensa but nilichoambulia kejeli na matusi bila ya mtu kuja na hasara za kuwepo kwa kipengele cha dini kwenye sensa. Soma hapa chini.

1- Sensa ni nini?
sensa ni zoezi la kuhesabu watu wakazi katika eneo husika likisimamiwa na chombo halali kilicho na dhamana ya kufanya hivyo. Aghalabu, sensa ya kitaifa hufanyika kila baada ya miaka kumi.

2- Lengo la sensa ni nini?
Lengo kuu la sensa ni kujua idadi ya watu kiumri, kijinsia, kimakzi ktk eneo husika, kikazi(ajira) na kidini (hapa ndiyo penye utata)

Maana ya Sensa ni kama ilivyo elezewa hapo juu bt Watu mmeshindwa kuelewa kwamba Serikali ya Tanzania Imeamua ku omit kipengele cha Dini kwenye sensa Tanzania kwa sababu wanazoamini wao ni for the greater good. which until nw it had worked positively. Sasa nw wanalichokoza na watalipata wanalolitaka
 
Sawa kwa yote ulosema lakini hakuna nchi hata moja duniani ambayo utasoma historia yake na ukakosa kipengele cha dini na makabila ya wenyeji wake na hata wahamiaji. Hii haina maana kwamba hisotiria hizo ziomejengwa kutia hofu fulani. Marekani Watu weusi ni asilimia 10 tu wakati Hispania wanafika asilimia 13 sasa hivi kama sikosei. Kulikuwa na sababu gani ya kupata hesabu hizo?..Kwa ujumla wake Immigrant wanazidi kuongezeka ktk kila states na sensa zinafanyika kila mara lakini hata siku moja hazijapokelewa kwa nia mbaya isipokuwa kuwepo kwa taarifa hizo kumeiwezesha serikali ya Marekani na watu wake kupitisha sheria, kuwezesha uhamiaji, mipango miji au maamuzi mengine ambayo yasingewezekana kama isingekuwepo sensa hizo.

Pengine unachoshindwa kufahamu ni kwamba hata mzazi hana tatizo kusema nina watoto wa kike wanne, na wa kiume watano ati kuwa sababu ya kujenga mahusiano ya kibaguzi baina yao..isipokuwa kuelewa huku kuna mrahisishia mzazi kufahamu ataweza vipi kukabiliana na maandalizi, mahitaji ya watoto hao kwa tofauti zao za kijinsia na kadhalika. Msichukulie dini kama Uadui baina ya Waislaam na Wakristu halafu swala hili Waislaam wanaiambia serikali sio tofauti zao na wakristu, lakini wakristu tayari wameisha chukulia personal na kujibu kwa niaba ya serikali. Hofu yenu nini haswa?..

Mkuu Kila nchi ina misingi yake yauendeshaje kutokana na Culture na Traditions za inchi hiyo ikiongozwa na Historia ya inchi, kuanzia ilipotoka mpka ilipo. Sasa inawezekana kudiscuss Ratio za Different Races is okey in US bt it doesnt mean it might be okey in Tanzania. Kuweka kipengele cha dini kwenye Sensa ya UK it is okey bt It is not okey Tanzania. Ni sawa sawa Uwaambie Rwanda waweke kipengele cha Kabila kwenye sensa yao, si dhani kama hiyo itachukuliwa positively kutokana na Historia yao.

Sasa i gess the government na hao waliokuwepo by then wakaamua kutoka kipengele cha udini waliona it was the right thing to do and I have to admit, we been living in Harmony mpaka when people started to discuss Udini.

Msichukulie dini kama Uadui baina ya Waislaam na Wakristu halafu swala hili Waislaam wanaiambia serikali sio tofauti zao na wakristu, lakini wakristu tayari wameisha chukulia personal na kujibu kwa niaba ya serikali. Hofu yenu nini haswa?.

I think to be Fair walioanzisha hili swala ndo wamelichukulia kidini, no matter what and how you put it, the moment you raise such issue ushacukulia Udini, Udini umewekwa.

Na hata ukisikiliza vizuri they way walivyokuwa wanasema kwenye ile Hotuba (sheikh mponda) walikuwa wanazungumzia Udini, sio kwasabb eti iwasaidie waumini wakiislamu noooooooo. Iusaidie Uislam. walikuwa wanasema wamechoka Mfumo Kristo. sio wamechoka na Mfumo wa wakristo, wamechoka na Mfumo kristo.
kumbuka:
Busara sio kua na Ufahamu wala Akili sana .
 
Hata kwenye katiba kila mtanzania ana fulsa ya kutoa maoni yake,wao waislam pia wanamaoni yao kama watanzania kwa umoja wao au muislam mmojammoja,rasimu ya kuandaa dodoso la sensa limeandaliwa na wataalamu ambao kwa umoja wao au mtaalamu mmojammoja alikua au muislam,mkristo,asiye abudu na anayeabudu dini za kimila nk.msiwabeze waislam,wengi mmetoa hoja wahesabiane misikitini kama vile dini nyingine zinavyofanya...mkasahau kwamba si waislam wote wanakwenda kuswali na si waumini wa dini zingine zote wanafika kwenye maeneo yao ya ibada...mimi nina miaka 30 sasa ,tangu nakuwa nikiwa shuleni,hospitali ,polisi,kazini,katika passport n.k naulizwa dini yangu..(mkristo-dhehebu-lutheran)..sasa kwa kuwa sensa ni ya kitaifa na kiuchumi hiyo ni fulsa kwa watanzania na dini zao wakajijua wapo wangapi,ni vema serikali ikawasikiliza islamic..lakini pia waislam msiwe na jazba..kwa maana ya kugoma muishauri serikali yetu iweke kipengere hicho katika dodoso mtafika muafaka mzuri.nachukia sana wachangiaji wengi mmekuwa na kauli ambazo si za kujenga,msiwabeze islamic,wana hoja ya msingi...kwani wao kama taasisi hawawezi kuwafikia watanzania wote ili wajijue wapo wangapi,lakini serikali inaweza.
 
BWANA YESU ANAOKOA, KWA NINI MNAUMIZA AKILI HIVI?KWA NINI MNASONONEKA?KWA NINI MNAHANGAIKA NA HII DUNIA? MPE BWANA YESU MAISHA YAKO NA KUHAKIKISHIA HUTA JUTA,roho ya hasira,chuki na mambo mabaya yataondoka nawe utakuwa mwenye furaha muda wote.KARIBU KANISA LOLOTE LILILOKARIBU NAWE LINALOAMINI WOKOVU.
AU TUWASILIANE KWA EMAIL :johnhella2007@yahoo.com hiyo email naitumia hata facebook ukisearch kwa email hiyo utanipata
 
Back
Top Bottom