AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,080
My dear Trust me,mtu yyte mfanya biashara hata akipoteza shilling 50,lazima imuume tu,in one way or the aza,itakuwa imemuumiza tu lazima,and its not about money its about the yrs they have been 2geza,miaka hiyo si midogo eti,mke/mume ambae asb ndo wa kwanza kukuona ukiamka na usiku wa mwisho kukuona ukiingia kulala + the good memories + the bad!binadam tumeumbwa na roho hatukuumbwa na pesa lazima uumie tu,hata Yesu alisema mwili ni dhaifu!,hakuna aseumizwa na mapenzi jamani hata uwe na pesa kiasi gani.
Naelewa Pearl na nakubaliana na wewe, najua kweli lazima imemuuma mana mpaka wakapelekana kwa lawyers ina mana issue ilikua kubwa na kuwa solved kinyumbani ilishindikana. Nasema Nip in the bud tokana na ukweli kwamba do you really believe vilivyotajwa hapo juu ndo vitu pekee barkresa ana own? Jamaa production yake inampelekea kua na gross turnover ya hapa inchini zaidi ya asilimia 30, hivyo vitu vilo tajwa hapo juu si vyote....