assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,904
- 4,050
Waziri wa maji anawasilisha bajeti yake huku kukiwa kuna kilio cha shida ya maji katika jiji la Dar es salaam. Je itaweza kujibi hoja nzito ya mh. Mnyika?
let us see.
let us see.
Tatizo la maji kwenye jimbo la Ubungo limekuwa sugu. 2015 Mh. Mnyikaa ajiwajibishe akikataa wananchi watamuwajibisha kwenye masanduku ya kura.
utasubili sana.Tatizo la maji kwenye jimbo la Ubungo limekuwa sugu. 2015 Mh. Mnyikaa ajiwajibishe akikataa wananchi watamuwajibisha kwenye masanduku ya kura.
Tatizo la maji kwenye jimbo la Ubungo limekuwa sugu. 2015 Mh. Mnyikaa ajiwajibishe akikataa wananchi watamuwajibisha kwenye masanduku ya kura.
bisiness as usual