Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe,Abdalla Mwinyi Khamis,(kulia) akikabidhi fedha kwa ajili ya Ubani kwa Niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,nyumbani kwa wafiwa wa Marehemu Koplo Said Abdulrahman Juma Hassan wa Jeshi la Polisi, Nyerere Mjini Zanzibar leo ,kwa niaba ya wanafamilia wa marehemu Baba Mdogo Juma Omar Salum,(wa pili kushoto),akipokea ubani, Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania IGP Said Ali Mwema,(wa pili kulia) na Baba Mzani wa Marehemu,Abdulrahman Juma Hassan,(kushoto).
Swali: Hii bahasha kwa kukisia tu itakuwa na alfu 50 au haitazidi laki, tofauti na Bahasha anazotoa Lowasa
Swali: Hii bahasha kwa kukisia tu itakuwa na alfu 50 au haitazidi laki, tofauti na Bahasha anazotoa Lowasa