Dunian kuna mambo,hv kat ya mto unaomwaka maji ziwani,na bahar kip zaid?Anaetetea mto akasema kwamba mto 7babu unamwaga mwaka mzima na kama bahari ingekua inamwaga inkua imeisha.
So wamekuja kwangu nwape jbu.Mie nmewaambia kabla cjawajbu ngoja nweke mada hii kwa wa2 wa jf,maana hao ndio w2 wenye mawazo kulko wa fb.
Washaulin.
So wamekuja kwangu nwape jbu.Mie nmewaambia kabla cjawajbu ngoja nweke mada hii kwa wa2 wa jf,maana hao ndio w2 wenye mawazo kulko wa fb.
Washaulin.