Crucifix
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 1,651
- 588
Huu upepo unaovuma sasa (uliokaribia kung'oa paa - by Sugu) unafanya wengi tumsahau huju waziri. Baada ya mabomu ya Mbagala alisikika akisema ikitokea tena atajiuzulu; ikatokea Gomz. Sasa pamoja na mawaziri wala rushwa kubanwa, huyu nae ajumuishwe.
Vyombo vya habari rudieni tena kile kipande cha habari kwa sababu mnacho kwenye maktaba zenu. Hii itasaidia kukuza moyo wa kuwajibika. Kuna mwingine kule Znz nae alisema angejiuzulu baada ya meli kuzama, lakini haya ya upande wa pili si muhimu sana. Bado nalia na Hussein Mwinyi.........
Vyombo vya habari rudieni tena kile kipande cha habari kwa sababu mnacho kwenye maktaba zenu. Hii itasaidia kukuza moyo wa kuwajibika. Kuna mwingine kule Znz nae alisema angejiuzulu baada ya meli kuzama, lakini haya ya upande wa pili si muhimu sana. Bado nalia na Hussein Mwinyi.........