Bachelor sugu naomba ushauri wenu wakuu

Mkuu huyo ulichelewa kidogo kumfunza adabu. Samaki Mkunje angali yu mbichi. Huyo hata umpige haitasaidia zaidi ya kuongeza uadui.

Ushauri: Usimshirikishe katika ishu zako. Pia muulize mhusika anataka kusomea nini au kuwa nani
Nashukuru mkuu,ni kweli aisee uzembe niliufanya mwenyewe na sasa unanigharimu.Pia ni kweli nimekuwa so open kwa hawa madogo ss nadhani ushauri wako nimeupokea wa kufanya mambo yangu kimya kimya.Asante sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kwanini mnalizimisha mty kusoma mnachotaka wewe na mdogo wako wa chuo?

lipa karo, shauri pale unapoona wanaelekea pabaya....hayo ni maisha yake...mpe uhuru wote wa kuamua anavyotaka kuwa.
Well said mkuu
 
Habari za jioni wapendwa wote.

Sawa na kichwa cha Uzi hapo juu,naombeni mchangi wenu wa mawazo katika hili.

Mimi ni mtoto wa 2 kuzaliwa katika tumbo la mama yangu nikitanguliwa na dada yangu na pia nina wadogo 3 wa kiume wa 2 na kitinda mimba wetu ni wa kike.

Nimeelemewa na ujeuri na dharau za wadogo zangu hawa wawili wa kiume hali inayonifanya nihisi kuchoka na kuhitaji kuchukua hatua ili tu niwadhihirishie kuwa mm ni kaka yao na ni mkubwa kwao.

Licha ya kuwa mm ndiye niliyewasimamia na kuwasaidia katika masomo na miongozo yote maana wazazi nguvu ziliwaishia mapema hivyo kuanzia level ya sekondari nilichukua usukani na kuwasimamia hawa madogo na niliweka nadhiri ya kuhakikisha wanapata pa kushika ilimradi kila mmoja aweze kupata namna ya kujipatia mkate wake wa kila siku.
Nashukuru Mungu kuwa mmoja alishaajiriwa serikalini tangu 2014 na huyu mmoja anaingia mwaka wa NNE hapo UDSM katika kozi flani ya mambo ya Sayansi
Jana katika conversation moja na huyu wa UDSM tukiwa tunabishana kuhusu namna ya kumuendeleza huyu kitinda mimba wetu ambaye amemaliza form four mwaka Jana na kupata matokeo mabaya huyu dogo kutokana na kujua kwake akampa amri huyu binti kuwa anatakiwa kusema Veta-Laboratory technology hivyo nililazimika kumuhoji kama kuna channel ameipata ambayo atampachika huyo binti pindi atakapomaliza hiyo kozi lakini hakuweza kunipa maelezo yaliyonyooka hali iliyopelekea mm kukataa huyu mtoto kusema hiyo kozi nikitoa altenative kuwa afunguliwe mradi ili ajiajiri.

Kiukweli mdogo wangu huyu msomi alijibu jeuri kubwa kuwa DOGO ATASOMA KOZI HIYO VYOVYOTE ITAKAVYOKUWA na kwa kuwa mie ndiye maamuzi nilimwambia hicho kitu hakitakuwepo na mlengwa mwenyewe hawezi ends kinyume na mm sababu anajua ni gharama zangu kiasi gani nimepoteza kwa ajili yake.
Kila nikiyarejea mazungumzo ya SMS tuliyoyafanya Jana kiukweli napata na hasira sana maana huyu dogo imekuwa ndio tabia yake kwa muda mrefu sasa hivyo naombeni ushauri ndugu zangu nimfanyeje ili aweze kutambua kuwa mm ni mkubwa kwake na adabu ichukue mkono wake?

Sincerely,Bachelor Sugu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana ndugu yangu i can smell the pain you are suffering for the time being, huyo dogo anatakiwa afirwe, mtafutie vijana wamtie adabu
 
Mkuu huyu dogo ana ka nature ka ujeuri coz hata huyu mkubwa wake wanaefuatana alikuwa akimdharau na kumnyanyasa sana mpaka siku bimkubwa alikereka akawaweka ulingoni akawaambia nataka mpigane mbele yangu atakayetoa machozi namuongezea fimbo basi mpambano ukaanza aisee kalinyukwa na kaka yake kakaanza kulia na bimkubwa akatimiza ahadi akakaongezea fimbo na kukapa warning kaache utovu wake wa nidham.Sasa huyo yy kidogo kanamuogopaogopa ila mi mkubwa zaidi kananizingua ndo maana nahisi upole wangu utanigharimu kwa huyu dogo

Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣😂😂🤣
 
Back
Top Bottom