Babu wa kihuni na Nesi.

Eghorohe

JF-Expert Member
Aug 29, 2011
220
78
Babu wa kihuni alienda kituo cha afya kupima malaria na kichocho,nesi alimchoma sindano kidoleni kutoa damu ya kupima,damu haikutoka babu kamwambia nesi huwa nanyonywa ndo damu inatoka,unesi ni wito basi nesi kanyonya kidole hadi damu ikatoka wakapima malaria,lakini kipindi babu ananyonywa alisikia raha/utamu hadi akawa anafumbafumba macho anakatika kiuno,nesi akamwambia babu hujatulia! Babu kamjibu una mambo balaa! Baadae nesi kampatia babu kichupa aende huko uani alete mkojo wa kupima,babu alipofika huko akaita nesiiiii,nesi kaitika nini tena babu! Babu kajibu mkojo hautoki mbona? Nesi akamwuliza kwa hiyo sasa mimi nkusaidieje! Babu kajibu njoo ufanye vile umefanya damu ikatoka! :baby:
 
Back
Top Bottom